Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Uzuri Mwenyekiti wako anaelewa nguvu ya Chadema...Molemo,
Chadema hii hii iliyokimbiwa na madiwani wake juzi pale Arusha na kuhamia CCM?!!!
ACT wazalendo walau wana umakini kidogo!
Ameua
Amepiga risasi wabunge kwa lengo la kuua
Ameteka
Ametesa
Amenunua wabunge
Amenunua madiwani
Amevuruga chaguzi
LAKINI CHADEMA IKO VILEVILE, INTACT, NA INAZIDI KUPENDWA NA KUPENDEZA
Kakojoe Ulale Shehe wangu!