kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,013
- 11,952
Muogope sana mtu asiyekata tamaa, huwa anabuni mbinu kila uchwao na mara nyingi huwa ana piga mapigo ya chini kwa chini, ulishawahi kufikilia wapinzani bila kupigwa kolabo serikali na CCM CDM ingekuwaje?Molemo,
Chadema hii hii iliyokimbiwa na madiwani wake juzi pale Arusha na kuhamia CCM?!!!
ACT wazalendo walau wana umakini kidogo!