Sijui kwann hata mm nnamaono haya 😥😥😥Kwa kuangalia lugha za mwili kwa Mgombea Uraisi wa CCM,Tabia zake,wapambe wake na watu wananonufaika naye.
Ni kwamba Kama akichaguliwa na akarudi madarakani juweni kuwa hatoki Tena baada ya miaka mitano ijayo.Anakwenda kubadili katiba na Kuondoa ukomo wa muda wa Rais kukaa madarakani.
Huo ndio ukweli mchungu.
Wanufaika wake wameisha Anza kuandaliwa kutaka aendeleee,mfano Juma Nkamia,Ali mwinyi na wabunge wengi tu waliopita.
Umpende usimpende huyo utakua nae mpaka Mungu atakapo mpenda yeye.
Tusubiri muda utathibitisha niyasemYo.
Someni alama za nyakati mtagundua.
Hebu fikiria mateso yote haya halafu unakuabnae kwa muda usiokua na kikomo,kila kitu anaamua yeye na hamna wa kumpinga Wala kumkosoa.
Eee Mungu ingilia Kati.
Ni Hadi ahakikishe nchi imefirisika kabisa Kama ZimbabweNdugu zangu Watanzania tufunge na kuomba kwa imani shetani asipate tena mpenyo kutuletea mateso. Kama watumishi wa umma tunateseka , je jobless huko wanavyoteseka?
Sisi ni maiti Hilo linapita chance pekee ni OctoberSijui kwann hata mm nnamaono haya 😥😥😥
Ubaya hawana ujanja tena
Watu waovu uchelewa kufamsiwe na wasiwasi viongozi kama hawa MUNGU huwa anawauwa kwa chango
Hiyo nidhamu ya kazi tutaenda kupika tuinywee na chai?Watumishi wa umma si nasikia amewarudishia nidhamu ya kazi?
Kwa kuangalia lugha za mwili kwa Mgombea Uraisi wa CCM,Tabia zake,wapambe wake na watu wananonufaika naye.
Ni kwamba Kama akichaguliwa na akarudi madarakani juweni kuwa hatoki Tena baada ya miaka mitano ijayo.Anakwenda kubadili katiba na Kuondoa ukomo wa muda wa Rais kukaa madarakani.
Huo ndio ukweli mchungu.
Wanufaika wake wameisha Anza kuandaliwa kutaka aendeleee,mfano Juma Nkamia,Ali mwinyi na wabunge wengi tu waliopita.
Umpende usimpende huyo utakua nae mpaka Mungu atakapo mpenda yeye.
Tusubiri muda utathibitisha niyasemYo.
Someni alama za nyakati mtagundua.
Hebu fikiria mateso yote haya halafu unakuabnae kwa muda usiokua na kikomo,kila kitu anaamua yeye na hamna wa kumpinga Wala kumkosoa.
Eee Mungu ingilia Kati.
Ndugu zangu Watanzania tufunge na kuomba kwa imani shetani asipate tena mpenyo kutuletea mateso. Kama watumishi wa umma tunateseka , je jobless huko wanavyoteseka?
Wakifanya suu,tunafanya swaaaaa
Maalim Seif-2020