Rais Magufuli: Majizi yamehamia CHADEMA

Rais Magufuli: Majizi yamehamia CHADEMA

Huwezi kutukana watu majizi bila kuwachukulia hatua za kisheria, kisha unataja watanzania wenzangu Ina maana hao majizi siyo miongoni mwa hao watt wenzako,
Sasa malalamika nini? Rais kawa rahisi Shia kuwa wote waliotoka ccm kwenda chadema ni majizi. Fanyeni vetting ya kila mmoja ikibainika ulongo chukueni hatua
 
@H.I.P

Miye nimepapenda hapa

"...Yaani mko na mafisadi na bado
mkasema mahakama ya
mafisadi imekosa kesi??????
Aibu kubwa hii....."
 
wataalamu wa sheria labda mtusaidie hapo inaposemwa "adhabu zitatolewa mtu akifikishwa mahakamani tu" je hawa wa barabarani wao wanatakiwa watoe adhabu gani?

Kipengele cha kuongea na simu, hapa panaweza kuleta shida sana hasa kwa wale polisi wasio waaminifu aka walarushwa maana ushahidi kwenye hili ni mgumu sana...
Nadhani hapa sheria iseme polisi awe na ushahidi wa picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kusema kuwa wapo watu ambao walikuwa ni wezi katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema saizi watu hao wamekimbilia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Rais Magufuli amesema hayo leo Oktoba 31, 2017 akiwa ziarani mkoani Mwanza ambapo alikuwa akiongea na wananchi wa Mkuyuni na Butimba jijini Mwanza na kusema kuwa yeye anataka maendeleo kwa kuwa anaamini Tanzania inahitaji kujengwa na Watanzania wote na kudai ndani ya vyama vya siasa kuna wezi ambao hao ndiyo wamechelewesha maendeleo ya nchini.

“Tunataka Tanzania mpya hilo ndiyo lengo langu kwa sababu yapo yalikuwa ni majizi makubwa sana Chama Cha Mapinduzi (CCM) yakakimbilia CHADEMA ndiyo maana sijasema CUF oyeee kwa sababu wapo waliomo CUF wengine ni wabaya sana. Mimi nataka maendeleo kwa sababu maendeleo yanaletwa na Watanzania wote tushikamane ndugu zangu tutachelewa tushikamane sasa hivi tuipeleke Tanzania yetu mbele” alisisitiza Rais Magufuli

======

My Take:
Eti sasa anasema majizi yame hamia CHADEMA!!!!! Aibu kubwa hii....

Hivi Magufuli anatuchukuliaje Watanzania??

Yaani mko na mafisadi na bado mkasema mahakama ya mafisadi imekosa kesi?????? Aibu kubwa hii.....

Nyie endelezi kasi ya chuki na dhuluma by the time mnaamka usingizini mmebak wawili.
 
Anawaogopaje wezi waliohamia CHADEMA siakawakamate kwani kuhamia CHADEMA ni kuhamia mbinguni ambako hawezi kufika?.
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kusema kuwa wapo watu ambao walikuwa ni wezi katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema saizi watu hao wamekimbilia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Rais Magufuli amesema hayo leo Oktoba 31, 2017 akiwa ziarani mkoani Mwanza ambapo alikuwa akiongea na wananchi wa Mkuyuni na Butimba jijini Mwanza na kusema kuwa yeye anataka maendeleo kwa kuwa anaamini Tanzania inahitaji kujengwa na Watanzania wote na kudai ndani ya vyama vya siasa kuna wezi ambao hao ndiyo wamechelewesha maendeleo ya nchini.

“Tunataka Tanzania mpya hilo ndiyo lengo langu kwa sababu yapo yalikuwa ni majizi makubwa sana Chama Cha Mapinduzi (CCM) yakakimbilia CHADEMA ndiyo maana sijasema CUF oyeee kwa sababu wapo waliomo CUF wengine ni wabaya sana. Mimi nataka maendeleo kwa sababu maendeleo yanaletwa na Watanzania wote tushikamane ndugu zangu tutachelewa tushikamane sasa hivi tuipeleke Tanzania yetu mbele” alisisitiza Rais Magufuli

======

My Take:
Eti sasa anasema majizi yame hamia CHADEMA!!!!! Aibu kubwa hii....

Hivi Magufuli anatuchukuliaje Watanzania??

Yaani mko na mafisadi na bado mkasema mahakama ya mafisadi imekosa kesi?????? Aibu kubwa hii.....

Nyie endelezi kasi ya chuki na dhuluma by the time mnaamka usingizini mmebak wawili.

Hv hizi sio kampeni??
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kusema kuwa wapo watu ambao walikuwa ni wezi katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema saizi watu hao wamekimbilia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Rais Magufuli amesema hayo leo Oktoba 31, 2017 akiwa ziarani mkoani Mwanza ambapo alikuwa akiongea na wananchi wa Mkuyuni na Butimba jijini Mwanza na kusema kuwa yeye anataka maendeleo kwa kuwa anaamini Tanzania inahitaji kujengwa na Watanzania wote na kudai ndani ya vyama vya siasa kuna wezi ambao hao ndiyo wamechelewesha maendeleo ya nchini.

“Tunataka Tanzania mpya hilo ndiyo lengo langu kwa sababu yapo yalikuwa ni majizi makubwa sana Chama Cha Mapinduzi (CCM) yakakimbilia CHADEMA ndiyo maana sijasema CUF oyeee kwa sababu wapo waliomo CUF wengine ni wabaya sana. Mimi nataka maendeleo kwa sababu maendeleo yanaletwa na Watanzania wote tushikamane ndugu zangu tutachelewa tushikamane sasa hivi tuipeleke Tanzania yetu mbele” alisisitiza Rais Magufuli

======

My Take:
Eti sasa anasema majizi yame hamia CHADEMA!!!!! Aibu kubwa hii....

Hivi Magufuli anatuchukuliaje Watanzania??

Yaani mko na mafisadi na bado mkasema mahakama ya mafisadi imekosa kesi?????? Aibu kubwa hii.....

Nyie endelezi kasi ya chuki na dhuluma by the time mnaamka usingizini mmebak wawili.

Sasa chadema yanakuja kuiba nini atuambie, istoshe kma akiwa ccm sio mwizi akiwa cdm ndio mwizi,kuna haja ya kumpeleka india kwa matibabu
 
pombe ametuita ..
*vilaza
*wapumbavu
*majizi
*wapiga dili
*mashetani
*mafisadi
Ivi pombe umsafi kiasi gani ?
*mtakatifu angeanza kurudisha amani kwenye familia yake na amuombe radhi mama yake
*mtakatifu arudishe nyumba walizouziana kishkaji bwerere hadi mpwa akapewa, bila kufata taratibu za mauzo
*mtakatifu arudishe zile bilioni 6.8 alizonunulia kivuko kibovu cha mwaka 1978
*mbona bashite katajirika ghafla ?
*mtakatifu mbona hukaguliwi ?
INTERAHAMWE WALIOKOSA RADHI ZA WAZAZI..
ushindi wenyewe ni asante mkapa na asante lubuva.
ukichaa ukipanda nyumba zinadondoshwa watu wanalala juu ya matofali.
Mkuu yeye anajifanya alishinda....ndiyo maana kila akienda sehemu utamsikia akiwashukuru watu "ninawashukuru sana nyie mlinipa kura nyingi na kunifanya niwe rais" mkuu siunajua ukiwa umefanya kitu magumashi unavyo jishtukia! wataalamu WA saikolojia tunajua anakuwa anamaanisha nini.. Mkapa na lubuva mungu awaona.....
 
Haki yyt inatakiwa iendane na wajibu. Je unafikiri kwa kauli zinazotolewa na wapinzan zinaakisi UZALENDO DHIDI YA SERIKALI NA NCHI YAO?Wengi wanadai haki lkn wajibu hawajui uko vipi.Kila mtu anahaki ya kutoa maoni bila kuingiliwa na mtu yyt.lkn je nini wajibu wake ktk kutoa maoni?Je anatimza wajibu wa kulinda heshima ya mtu?Je anatimiza wajibu wa kuhakikisha haleti sintofaham ktk jamii?Mtu anaulizwa nini kazi za chama cha UPINZANI anajibu ni kuwachochea wananchi waione SERIKALI yao haifai,kweli?Kiongoz kama huyu anadai haki ya mikutano ya kisiasa.

Kingine Mbunge kachaguliwa awatetee wananchi wa Jimbo lake lkn pia anaweza kuwatetea wananchi nje ya Jimbo lake.Mbunge jimbo lake la kawe linashida tele,badala ya kupambana awasaidie yy analilia kwenda kufanya mkutano mbeya. Ni vitu vya ajabu.Kwanini kila mbunge asisimame kwenye Jimbo lake kila siku apaze sauti kuwapigania wananchi wake na kushirikiana ktk kutatua changamoto zaid anataka aende Arusha akafanye siasa?Kuna mattz yanahitaji utashi wa mbunge na wananchi ili kuyatatua,kwanini hawafanyi hivo kila siku wako DAR kukimbizana na POLISI?Shule haina choo,mbunge anahimiza kila mwananchi aje na tofari mbili kwa ajili ya ujenzi,inashindikana nn?Au hapo panahitaji uende kwenye majukwaa ndio upige kelele?

Yako mengi sana.mimi naona wanaolilia mikutano ya kisiasa hawana hoja za mcng ktk kumkomboa mtanzania zaid ya kujinufaisha wao kisiasa. Umeambiwa piga siasa kwenye Jimbo lako,we hutak unataka uende kwenye Jimbo la mwenzio. Kwamba Jimbo lako mattz hamna?Kwamba Jimbo lako huwezi kusikilizwa au sababu ya mcng mbunge kulilia kupiga siasa kwenye Jimbo la mwenzie ni nn?
So mkuu kumuita mtanzania mwenzako jizi sio uchochezi?
 
“Majizi yamehamia CHADEMA, lakini sijasema CUF hoyee, kwasababu kina watu wabaya sana”

Hapo ni mixer ya kachumbari ya ndulele na pilipili kichaa!😀
 
Chadema ni kichaka kipya cha mafisadi; Siasa za nchii ni za aina yake; Iba; Kimbilia Chadema watakuficha ipasavyo, kwa jasho na damu.
 
Hata nape ambaye wiki mbili zijazo atatangaza kujivua kila kitu ataitwa fisadi
Hata yule waziri nae ataitwa fisadi kwa mtindo huu
 
Kwani huyu Juma Pumba alisomea wapi? Kiongozi mkubwa kama yeye anawezaje kutojua matumizi ya punctuation wakati wa hotuba? Kweli mchuma janga hula na wa kwao. Hili nalo janga tu, sasa tunalila!!

Kweli Mkuu Mchuma Janga Hula Na wakwao Hili Janga Atalila yeye na Lumumba.
 
It is a pty watu walikuwa wanamshangilia! Hawajui kuwa ni na mtoto wa Nyani kushangilia msitu unaungua. Ilipofika jioni akapata majibu ya kukenua meno.. hana pa kulala!
 
Sio issue ya kuachwa tuu, huyu jamaa ni zaidi ya kituko. Iweje unafikia cheo kikubwa chenye kila aina ya usaidizi, ushauri, stress free na kila utakacho kisha uwe mropokaji?
Huyu siku ana step down hao ccm watamtukana mpaka hata amini masikio yake
Hakuna ku-step down mkuu dola ipo itasaidia...!!!
 
Back
Top Bottom