Rais Magufuli: Majizi yamehamia CHADEMA

Rais Magufuli: Majizi yamehamia CHADEMA

H.T.P

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
1,169
Reaction score
1,298

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kusema kuwa wapo watu ambao walikuwa ni wezi katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema saizi watu hao wamekimbilia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Rais Magufuli amesema hayo leo Oktoba 31, 2017 akiwa ziarani mkoani Mwanza ambapo alikuwa akiongea na wananchi wa Mkuyuni na Butimba jijini Mwanza na kusema kuwa yeye anataka maendeleo kwa kuwa anaamini Tanzania inahitaji kujengwa na Watanzania wote na kudai ndani ya vyama vya siasa kuna wezi ambao hao ndiyo wamechelewesha maendeleo ya nchini.

“Tunataka Tanzania mpya hilo ndiyo lengo langu kwa sababu yapo yalikuwa ni majizi makubwa sana Chama Cha Mapinduzi (CCM) yakakimbilia CHADEMA ndiyo maana sijasema CUF oyeee kwa sababu wapo waliomo CUF wengine ni wabaya sana. Mimi nataka maendeleo kwa sababu maendeleo yanaletwa na Watanzania wote tushikamane ndugu zangu tutachelewa tushikamane sasa hivi tuipeleke Tanzania yetu mbele” alisisitiza Rais Magufuli

======

My Take:
Eti sasa anasema majizi yame hamia CHADEMA!!!!! Aibu kubwa hii....

Hivi Magufuli anatuchukuliaje Watanzania?

Yaani mko na mafisadi na bado mkasema mahakama ya mafisadi imekosa kesi? Aibu kubwa hii.

Nyie endelezeni kasi ya chuki na dhuluma by the time mnaamka usingizini mmebaki wawili.
 
Eti sasa anasema majizi yame hamia CHADEMA!!!!! Aibu kubwa hii....

Hivi Magufuli anatuchukuliaje Watanzania??

Yaani mko na mafisadi na bado mkasema mahakama ya mafisadi imekosa kesi?????? Aibu kubwa hii.....

Nyie endelezi kasi ya chuki na dhuluma by the time mnaamka usingizini mmebak wawili.
Miaka miwili anaishi naye akiwa kimya leo katoka kawa JIZI.Mbona hakumshughulikia kama alijua hivyo
 
Ametuita ..
*vilaza
*wapumbavu
*majizi
*wapiga dili
*mashetani
*mafisadi

Ivi umsafi kiasi gani ?
*mtakatifu angeanza kurudisha amani kwenye familia yake na amuombe radhi mama yake
*mtakatifu arudishe nyumba walizouziana kishkaji bwerere hadi mpwa akapewa, bila kufata taratibu za mauzo
*mtakatifu arudishe zile bilioni 6.8 alizonunulia kivuko kibovu cha mwaka 1978
*mbona bashite katajirika ghafla ?
*mtakatifu mbona hukaguliwi ?
INTERAHAMWE WALIOKOSA RADHI ZA WAZAZI..
ushindi wenyewe ni asante mkapa na asante lubuva.
ukichaa ukipanda nyumba zinadondoshwa watu wanalala juu ya matofali.
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kusema kuwa wapo watu ambao walikuwa ni wezi katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema saizi watu hao wamekimbilia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Rais Magufuli amesema hayo leo Oktoba 31, 2017 akiwa ziarani mkoani Mwanza ambapo alikuwa akiongea na wananchi wa Mkuyuni na Butimba jijini Mwanza na kusema kuwa yeye anataka maendeleo kwa kuwa anaamini Tanzania inahitaji kujengwa na Watanzania wote na kudai ndani ya vyama vya siasa kuna wezi ambao hao ndiyo wamechelewesha maendeleo ya nchini.

“Tunataka Tanzania mpya hilo ndiyo lengo langu kwa sababu yapo yalikuwa ni majizi makubwa sana Chama Cha Mapinduzi (CCM) yakakimbilia CHADEMA ndiyo maana sijasema CUF oyeee kwa sababu wapo waliomo CUF wengine ni wabaya sana. Mimi nataka maendeleo kwa sababu maendeleo yanaletwa na Watanzania wote tushikamane ndugu zangu tutachelewa tushikamane sasa hivi tuipeleke Tanzania yetu mbele” alisisitiza Rais Magufuli

======

My Take:
Eti sasa anasema majizi yame hamia CHADEMA!!!!! Aibu kubwa hii....

Hivi Magufuli anatuchukuliaje Watanzania??

Yaani mko na mafisadi na bado mkasema mahakama ya mafisadi imekosa kesi?????? Aibu kubwa hii.....

Nyie endelezi kasi ya chuki na dhuluma by the time mnaamka usingizini mmebak wawili.

Unawezaje kuikanusha kauli hii?
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kusema kuwa wapo watu ambao walikuwa ni wezi katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema saizi watu hao wamekimbilia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Rais Magufuli amesema hayo leo Oktoba 31, 2017 akiwa ziarani mkoani Mwanza ambapo alikuwa akiongea na wananchi wa Mkuyuni na Butimba jijini Mwanza na kusema kuwa yeye anataka maendeleo kwa kuwa anaamini Tanzania inahitaji kujengwa na Watanzania wote na kudai ndani ya vyama vya siasa kuna wezi ambao hao ndiyo wamechelewesha maendeleo ya nchini.

“Tunataka Tanzania mpya hilo ndiyo lengo langu kwa sababu yapo yalikuwa ni majizi makubwa sana Chama Cha Mapinduzi (CCM) yakakimbilia CHADEMA ndiyo maana sijasema CUF oyeee kwa sababu wapo waliomo CUF wengine ni wabaya sana. Mimi nataka maendeleo kwa sababu maendeleo yanaletwa na Watanzania wote tushikamane ndugu zangu tutachelewa tushikamane sasa hivi tuipeleke Tanzania yetu mbele” alisisitiza Rais Magufuli

======

My Take:
Eti sasa anasema majizi yame hamia CHADEMA!!!!! Aibu kubwa hii....

Hivi Magufuli anatuchukuliaje Watanzania??

Yaani mko na mafisadi na bado mkasema mahakama ya mafisadi imekosa kesi?????? Aibu kubwa hii.....

Nyie endelezi kasi ya chuki na dhuluma by the time mnaamka usingizini mmebak wawili.


It's unfortunate to have a manager of this kind of thinking.
 
Kama hata yeye analalama hivyo na kuwaita wanaomkimbia 'majizi', ndivyo hivyo watu hawatachukulia hizo ngonjera zake za 'maendeleo' serious.

Rais hapashwi kabisa kufanya mzaha na mambo serious kama haya. Ukiona mtu anakukimbia na kuuacha ubunge na benefits zake zote kisha wewe unafanya mzaha, may be you need to seek an appointment with your psychiatrist immediately.
 
Mbwa kabisa huyo......kumbe anakaa ma majizi ambayo yanajulikana yakihamia upinzani......
Ule mradi wake na gambo uliobuma anauelezeaje......
rais mhuni na anayejenga uadui wa kiitikadi kikaknda na kikabila hatumtaki
Nyalandu kafanikiwa sana. Namimi ngoja nigombee uongozi CCM nikipata nafasi niiibeee nikiona nataka kushughulikiwa tu nakimbilia CDM nikapate utetezi
 
Back
Top Bottom