pascal mafuru
New Member
- Sep 16, 2017
- 4
- 0
Ni xhida.
Pogba hamnazo jizi wamekaa naye kwa muda wa miaka 20 hamjamkamata Leo kahama Eti kawa mwizi.
Mna mahakama ya mafisadi wapeleni ili tusijue ni porojoChadema ni chaka salama la majizi na sasa majangili
UVCCM mpaka watafute dictionaryKama hata yeye analalama hivyo na kuwaita wanaomkimbia 'majizi', ndivyo hivyo watu hawatachukulia hizo ngonjera zake za 'maendeleo' serious.
Rais hapashwi kabisa kufanya mzaha na mambo serious kama haya. Ukiona mtu anakukimbia na kuuacha ubunge na benefits zake zote kisha wewe unafanya mzaha, may be you need to seek an appointment with your psychiatrist immediately.
Kesi kubwa za wizi ni za wanaccmHakuna mwizi hata awe mpumbavu kiasi gani anayeweza kutimkia CHADEMA akahama CCM sehemu salama kwa wezi na kuhamia CHADEMA sehemu rahisi ya kukamatwa na kufungwa gerezani hata kama huna kosa la kukufanya ufungwe gerezani.
Chadema inadola au ni upuuzi unakusumbua?Chadema ni kichaka kipya cha mafisadi; Siasa za nchii ni za aina yake; Iba; Kimbilia Chadema watakuficha ipasavyo, kwa jasho na damu.
Mbona alipokuwa ccm hamkuwahi kumsema? imekuwaje leo? kama mlivyomsakama lowasa! ccm bana mna mambo.nyalandu anajulikana ni fisadi mzuri tu
Hata mimi nilijiuliza ivoivo.bora mwizi kuliko muuwaji.Jizi na uaji lipi baya