Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kusema kuwa wapo watu ambao walikuwa ni wezi katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema saizi watu hao wamekimbilia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Rais Magufuli amesema hayo leo Oktoba 31, 2017 akiwa ziarani mkoani Mwanza ambapo alikuwa akiongea na wananchi wa Mkuyuni na Butimba jijini Mwanza na kusema kuwa yeye anataka maendeleo kwa kuwa anaamini Tanzania inahitaji kujengwa na Watanzania wote na kudai ndani ya vyama vya siasa kuna wezi ambao hao ndiyo wamechelewesha maendeleo ya nchini.
“Tunataka Tanzania mpya hilo ndiyo lengo langu kwa sababu yapo yalikuwa ni majizi makubwa sana Chama Cha Mapinduzi (CCM) yakakimbilia CHADEMA ndiyo maana sijasema CUF oyeee kwa sababu wapo waliomo CUF wengine ni wabaya sana. Mimi nataka maendeleo kwa sababu maendeleo yanaletwa na Watanzania wote tushikamane ndugu zangu tutachelewa tushikamane sasa hivi tuipeleke Tanzania yetu mbele” alisisitiza Rais Magufuli
======
My Take:
Eti sasa anasema majizi yame hamia CHADEMA!!!!! Aibu kubwa hii....
Hivi Magufuli anatuchukuliaje Watanzania??
Yaani mko na mafisadi na bado mkasema mahakama ya mafisadi imekosa kesi?????? Aibu kubwa hii.....
Nyie endelezi kasi ya chuki na dhuluma by the time mnaamka usingizini mmebak wawili.
Polisi wenu mahakama zenu tena na mahakama ya mafisadi ipo. Mnshindwa nini kuwapeleka hayo majizi mahakamani mpaka mngoje watoke.Chadema ni chaka salama la majizi na sasa majangili
Na kwanini isiwe jukwaani, mbona CCM na chairman wake wanaongelea jukwaaniCHADEMA hawawezi kuongea popote zaid ya jukwaani?
Kuna mkuu Mmja wa Nchi alisema fedha za escrow syo za ummaHivi wale wa ESCROW wako chama gani
Hiki chama kitakuwa extremely poweful, majizi yanakimbilia huko na hayafanywi chochote na dola??Chadema ni kikapu cha majizi...no other way of puting it...hamjajifunza 2015...
Mikutano ya kisiasa ni haki yao ya kikatibaCHADEMA hawawezi kuongea popote zaid ya jukwaani?
Kwani uongo, majizi yanazidi kulifuata jizi kuu laigwanani!Rais ana rap kama msanii
Ina maana hayo "majizi" yakihamia Chadema hayakamatiki tena???Chadema ni chaka salama la majizi na sasa majangili
Tena kuachwa ni shughuli Pevu!Kuachwa ni shiida!!
Kwani uongo, majizi yanazidi kulifuata jizi kuu laigwanani!
bora kubaki wawili safi kuliko kuwa na mafisadi 100Nyie endelezi kasi ya chuki na dhuluma by the time mnaamka usingizini mmebak wawili.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kusema kuwa wapo watu ambao walikuwa ni wezi katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema saizi watu hao wamekimbilia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Rais Magufuli amesema hayo leo Oktoba 31, 2017 akiwa ziarani mkoani Mwanza ambapo alikuwa akiongea na wananchi wa Mkuyuni na Butimba jijini Mwanza na kusema kuwa yeye anataka maendeleo kwa kuwa anaamini Tanzania inahitaji kujengwa na Watanzania wote na kudai ndani ya vyama vya siasa kuna wezi ambao hao ndiyo wamechelewesha maendeleo ya nchini.
“Tunataka Tanzania mpya hilo ndiyo lengo langu kwa sababu yapo yalikuwa ni majizi makubwa sana Chama Cha Mapinduzi (CCM) yakakimbilia CHADEMA ndiyo maana sijasema CUF oyeee kwa sababu wapo waliomo CUF wengine ni wabaya sana. Mimi nataka maendeleo kwa sababu maendeleo yanaletwa na Watanzania wote tushikamane ndugu zangu tutachelewa tushikamane sasa hivi tuipeleke Tanzania yetu mbele” alisisitiza Rais Magufuli
======
My Take:
Eti sasa anasema majizi yame hamia CHADEMA!!!!! Aibu kubwa hii....
Hivi Magufuli anatuchukuliaje Watanzania??
Yaani mko na mafisadi na bado mkasema mahakama ya mafisadi imekosa kesi?????? Aibu kubwa hii.....
Nyie endelezi kasi ya chuki na dhuluma by the time mnaamka usingizini mmebak wawili.