Kweli kabisa ukiwa jizi we kimbilia chadema hata serikali haiwezi kukugusaChadema ni chaka salama la majizi na sasa majangili
Irudisheni kwenye website ya chama tuisomeHIVI KATIKA ILE LIST OF SHAME NI WANGAPI LEO HII WAPO CHADEMA NA WANGAPI WAKO CCM?
ukiguswa utasikia ni visasiKweli kabisa ukiwa jizi we kimbilia chadema hata serikali haiwezi kukugusa
Hayanaga aibuNimemuelewa inamaana kwa kauli yake hii CCM kwasasa haina majizi wamekwisha ,ni safi kabisa.
Sasa tuje kuwasikia mnaropoka tena siku mbunge mwingine kahamia chadema kwamba ni mwizi
nyalandu anajulikana ni fisadi mzuri tu
Sasa wew umeandika nini...mpolepole akiona hivi ile posho huwezi pataSasa umeandika nini hapa!!!
Uongo, pengine wewe ni kipofu na kiziwiukiguswa utasikia ni visasi