Uyo Boniface JACOb nae Ni wa kupuuzwa Kama wapuuzi wengine.
Lakini washua wote wanaishi kinondoniTusipotezeane muda na wala tusibishe kwa hili Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli yupo sahihi kwani Ilala ndiyo Dar es Salaam na Tanzania vile vile. Na hata Watoto wa Mjini wote wapo Ilala na siyo Kwingineko ambako kumejaa tu Washamba na Malofa watupu japo wenyewe ( wao ) wanajiona Wajanja.
Nchi imekosa maonoYaani Mkazi wa Osterbay, Masaki, Mikocheni na Mbezi Beach wanaishi Manispaa wakati wakazi wa Ulongoni, Gongolamboto, Buguruni kwa Mnyamani, Chanika wako Jiji la Dar😃😃 Tutaelewana tu hata kama itachukua muda ila mwishoni tutaelewana.
Mikumi Sasa siyo Mitano tena.
Hujui kwamba Masaki na Oysterbay Kuna maofisi mengi kuliko makazi? Migahawa, night clubs, shopping malls, mahoteli ya kitalii yako mengi.Huko masaki zaidi ya wanadiplomasia na vigogo kwenda kulala kuna uzalishaji gani? Unaweza ukakuta pato la stendi ya gomzi ni Kubwa kuliko kinachoingizwa Kata nzima ya masaki sijui ni kata kijiji au tarafa.
Masaki ni mtaa ulioko kwenye kata ya Msasani. Nakuhakikishia makusanyo ya kata ya Msasani ni makubwa mno ukilinganisha na kata ya Gongo la MbotoHuko masaki zaidi ya wanadiplomasia na vigogo kwenda kulala kuna uzalishaji gani? Unaweza ukakuta pato la stendi ya gomzi ni Kubwa kuliko kinachoingizwa Kata nzima ya masaki sijui ni kata kijiji au tarafa.
Lakini washua wote wanaishi kinondoni
Asa atafanyaje kwa mfanoWala hujakosea maana nilidandia gunia za mkaa na saa hii nakaa kwa Lulenge nyuma ya airport tu hapo ila si bado nipo Dar, Utafanyaje sasa mkuu
Hivi wabongo mna shida gani hasa. Why bad blood always towards each other. Nlidhani as country we're truly related in one way or other. Kipi kinakuwa kizito kuchukia mtu ambae anacriticise kitu cha nchi yake aweze elewa. Kipi kinakuumiza kutumia nguvu ya kutukana watu ambao hujui hata kusema wengine ni wakubwa kwako humu au wana nafasi fulani hata kwa Mungu. Unapata faida gani hasa ukimchukia m2 ambae hata ID yake ni fake? 2badilike jamani kuhoji sio kosa kisheria wala dhambi. Kutukana je? Jenga hoja elewesha watu waelewe hata kama hawataelewa jaribu mpaka utakapo ona yafaa.Watu wanaochangia hapa ni wapumbavu sijapata kuona
Ninadhani haujagundua kuwa haukugundua mapema. Na ambacho haukugundua wewe ni mahali lilipo jiji na maeneo linayoyahudumia!Yaani Mkazi wa Osterbay, Masaki, Mikocheni na Mbezi Beach wanaishi Manispaa wakati wakazi wa Ulongoni, Gongolamboto, Buguruni kwa Mnyamani, Chanika wako Jiji la Dar Tutaelewana tu hata kama itachukua muda ila mwishoni tutaelewana.
Mikumi Sasa siyo Mitano tena.