faby
JF-Expert Member
- Feb 18, 2011
- 2,214
- 768
JERUSALEM, Israel
WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu hatahudhuria mazishi ya Hayati Nelson Mandela kwa sababu ni ghali mno kusafiri hadi nchini Afrika Kusini,
Kulingana na redio ya taifa la Israeli, waziri huyo itatumia kiasi cha 7.0 milioni shekels ambazo ni sawa na Sh170 milioni kusafiri nchini Afrika Kusini pamoja na walinzi wake
HAPA BONGO INAKUAJE KUHUSU SAFARI ZA WAKUU WETU UPAND EWA GHARAMA??
lakini hela za kuwaua watoto kina mama wa ki palestina wanazo? cc FaizaFoxy
Last edited by a moderator: