Si waboresha hospitali za nyumbani jamani. Kuna siku watapata emergency kufika airport ikawa issue. Boresha hospitali zetu zitawakomboa siku moja.
Tatizo lako wewe kauza kila siku unabadilisha ID lakini maneno yale yale...
Matola ASHA Mohamed Kigoma boy Yericko Nyerere
haya mambo mweleze mzee wako yeye akiumwa abaki nyumbani kwake asiende hospital kwani nani kakudanganya kuwa jk ameenda kwenye matibabu kama kaenda kufirisi mali za mafisadi kama wale walioficha pesa dubai.
Si ana daktari wake huyu au hana vitendea kazi?
Sasa hayo angeanza kuulizwa Nyerere, Kwani ni yeye alitibiwa na hata kufia UK. Je muhimbili ilikuwa wapi? Kwanini mumsakame JK au muna lenu jambo!
Shame on u!
Narudia tena..huyu baba asipojua kuendesha ndege mwaka huu atakuwa na kichwa kigumu sana
Tulikosea sana kumchagua huyu baba. kila siku kiguu na njia!!!
kwa kweli tuna kila sababu ya kuichukia ccm.
kuugua ni kitu cha kawaida kwa binaadamu wacha kuongea pumba hapa.ama umepata gongo tayar koz wengine wanaanguka chini kwa gongo hapa.tokea babu atoe neno
Hakujifunza kwa mzee mandela kutibiwa nyumbani!yaani viongozi wa africa kufia nje ya nchi zao wanaona sifa
kama hawaamini madaktari wa ndani ya nchi si awaite hao anaowaamini waje wamfanyie matibabu humhumu ndani.......lkn kinachonipa moyo hawezikuzikwa dubai wala amerika utarudi tuMadiba pamoj na umuhimu wake kwa SA lakini hakupandishwa ndege kuvuka mipaka ya South kufuata matibabu nje....kwa hali hiyo si rahisi kuboresha hospitali zetu kwa kuwa wao wana fursa ya kwenda nje kwa gharama yoyote ya walipa kodi. Who cares daaah!!
Kila la kheri Rais Wetu, tunakuombea kwa Allah S.W.T akupe afya njema, maisha marefu na busara nyingi zaidi... Nasikia Wamarekani wamekukatalia kuwakubalia Investors wa kutoka China waliotaka kuleta ndege za bei nafuu hapa bongo, kama habari hizi ni zakweli basi weka wazi ili tujue kuwa tunakilimbitwa na hatuna sauti ndani ya nchi yetu...Rais Kikwete amewasili Dubai usiku jana akiwa njiani kwenda marekani kwa ajili ya matibabu na kufanya check up ya afya yake.
Maafisa wa ikulu wamethibitisha kuwa safari hii ni kwa ajili ya matibabu tu ingawa haijasemwa anasumbuliwa na nini
Umejifunza nini kwa maneno hayo. Wakati mwingine na wewe una maneno machafu kwa wengine.
Hivi wewe unaweza kazi ya kupokea mgeni mmoja Ubungo kila baada ya siku 3?