Rais Kikwete safarini Marekani

Rais Kikwete safarini Marekani

Daaaa rubani wake sijui ana deiwaka make route za huyu mheshimiwa noma ... Alitoka Europe akarudi kisha south karudi kisha south alafu kaunganisha marekani mwezi mmoja

Natabiri huyu mkulu atafia angani!..this is too much!
 
Umeongea kwa machungu sana hadi umeniliza
Usilie ila chukua hatua. Hatuwezi kuwa taifa la mazezeta, yaani mashabiki wa wezi na ujinga. Tunashabikia hata watu wanaokula taifa letu mchana kweupe?

Kama huamini ona watu wanavyo comment humu. Wote wametegwa na mtego mmoja tu, "..kaenda kutibiwa." Miaka nane ilopita tulidanganywa na vijimaneno "nguvu mpywa na kasi mpya." Sasa leo, "...kaenda kutibiwa" as if sio mtu huyo huyo aliyetimiza safari 392. Napenda kuwapa challenge moja wale wote wanaoamini kuwa kaenda kutibiwa, hizo safari 391, alikuwa anaenda kutibiwa?

Watanzania amkeni na teteeni taifa letu. Tunaibiwa kweupe!!! mtu mmoja humu kaja na hesabu za safari. Wengine wakambeza. Hivi kama Ikulu haiweki gharama za hizi safari wazi, inaficha nini, uovu? kama hizo gharama zingekuwa nzuri tungeambiwa tu. Ni kubwa na hivyo lazima wafiche.


Kwa sasa hatuna la kufanya. Kikatiba Jk anaruhusiwa kumaliza muda wake ila watanzania wenye mapenzi mema tuache mchezo na taifa letu. Maovu yanayofanya na viongozi mengine hayatakuw areversible. Matokeo yake litakuwa taifa la wehu kama Somalia na kwingineko. Dalili za hawa watu tunazisoma au kuambiwa haraka.

Huyu JK watu walishasema mapema kwamba he was not fit (alikuwa hafai kuwa kiongozi). Lakini kwa ushabiki tukamchagua, kwamba ni hundsome. Sasa mmeona he? kama mnabishi angalia watendaji wake wote; Mwema, mawaziri (tena siku hizi anawaita mawaziri mizigo).


Sasa hivi tunapewa warning tena ya EL. Kwamba tusipoangalia, tutaleta wauza madawa Ikulu. Watu, hasa viongozi wa dini waishaanza kuchukua michango yake. Mara utasikia ni boda boda day. Maafa watakayosababisha hawa watu kwa taifa ni makubwa sana.


Tuwakatae na uwezo tunao. Wanaweza kutuibia then waje watoe sadaka. Wanaweza kusafiri, kutuma polisi na kutupiga lakini hawawezi kupiga kura. Tuwakatae kabisa na tuandae maisha ya watoto wetu. Wao wameishajenga maisha yao na watoto wao nje ya nchi. Sisi tuijenge Tanzania.


Asanteni.
 
Rais Kikwete
amewasili Dubai usiku jana akiwa njiani kwenda marekani kwa ajili ya
matibabu na kufanya check up ya afya yake.

Maafisa wa ikulu wamethibitisha kuwa safari hii ni kwa ajili ya matibabu
tu ingawa haijasemwa anasumbuliwa na nini

asante kwa taarifa
 
Namtakia afya njema Rais wangu mpenda watu wake. Anawasaidia hata wabwia unga, anawasaidia kila aina ya raia. Ila, hili la safari tena, ah! Ni zaidi. Sidhani anaonjaga chochote pale Magogoni.
Akimaliza mda wake nadhani atashushwa kwenye ndege akidhani ndiyo nyumba yake ya kulala. Dah! Mzee wa masafa. Angejengewa chumba pale Muhumbili aagiziwe Dr. Maalum kumtibu huo ugonjwa wake wa ku.aaa.nguuka. Naona bado unamsumbua. Si amwombe Mama Rwakatare ampige power??? Ni mpaka Marekani??
 
Pathetic! Hivi safari zake, zinatugharimu shilingi ngapi kwa siku? Value for Money inazingatiwa?
 
Haya maneno mwambie Dr.Slaa ambaye alikwenda Ujerumani kutibiwa na girlfriend wake Josephine

Tabia aliyonayo baba yako si Tabia yetu sote.

Tangu niishi na Dr miaka Sita sasa sijawahi kumpeleka hospitali nje ya nchi kwa Maradhi yoyote,kwa hili namtukuza Mungu anayemtunza Na maombi ya watanzania wengi yanampa Afya njema.

Kwa taarifa yako,Afya Zetu ni imara Sana maana Yupo aliyebeba magonjwa yetu toka mwanzo.
Mara ya mwisho Dr kwenda hospitali ni Muhimbili alipofanyiwa operation ya mkono.

Naomba mtangaze uwongo wote lakini si juu ya Afya Zetu.

Narudia tena,magonjwa yetu yote yalizikwa Kalvari.
 
Last edited by a moderator:
Naona umeishiwa na hoja, kinakukera nini mtoto? au umeshashiba saa hizi unabwabwaja tu.

Hivi ukiwa mwana ccm ni lazima uwe na akili ndogo kama pilitoni! Unaamua kujitoa ufahamu kwa kutetea huyo mbaba?
 
Safari 361 times (approx) 7 days time 3000USD

361 X 7 X 3000 = $ 7,581,000/=

$7,581,000 x Tsh 1,580/= (approx) =
TSHS 11,977,980,000
(BILIONI KUMI NA MOJA NUKTA TISA TISA)!!

UTANIBEEBA LEO.......!!!

Haijakamilika! Tuwekee na pesa zilizoletwa na safari hizi, hapo utakuwa fair. Kinyume cha hapo CHUKI TU.
 
hii nchi bana haiwez kundelea hata miaka elfu 20 inayokuja., gap liliopo baina ya viongozi wa serikali na raia wake ni kubwa mnnoo., wananchi 95% ni maskini mafukara wa kutupwa., huduma mbovu katika taasisi za serikali zinazoihudumia jamii., lakini Kiongozi anajaribu kuzunguka na ndege kuzunguka kila nchi alimradi afike Marekani kuchekiwa Afya tu., ivi kweli Tanzania nzima kunakosekana daktari kumfanyia uchunguzi Rais? inachokesh sn
 
hahahah bora niendelee kubeba box..ntarudi nkizeeka
 
atarud baada ya mwaka mpya so up to now hii nchi haitakuwa na raic mpk mwaka uishe
 
Back
Top Bottom