Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Mmemsakama kuwa awafukuze uwaziri mashosti wake , ameona afadhali akimbie ili upepo upite na akirudi mtakuwa mmesahau kuwa alitakiwa awafukuze kazi genge la wakina Kawambwa na Malima,kama mlivyosahau kuwa Alhaj Juma Kapuya alitakiwa kutiwa mbaroni kwa kumbaka mtoto wa watu na kumuambukiza ukimwi!!!! Mkweree hawezi kutoa maamuzi magumu.
exactly,chezea ------ wewe