Rais Kikwete safarini Marekani

Afya Muhimu, lakini sisi tutapanga foleni huku huku Isingiro Mission Hospital na hamna checkup. Unaenda wakati umezidiwa tu
 
jk amebuni aina mpya ya ufisadi,ni kula maposho kwa safari zisizo na tija,huu ni ufisadi unaoratibiwa kwa ufundi wa hali ya juu.Nilikuwa na busara ya hali ya juu kwa kutompigia kura mwaka 2005..
 
Nyie pro-Chadema najua mna chuki sana na rais wetu JK hata kama anakwenda kutibiwa tatizo lipo wapi acheni unafiki basi, juzi hapa kiongozi wenu Dr.Slaa kaongozana na girlfriend wake Josephine kwenda Ujerumani kuangaliwa afya mlishangilia sana leo JK mnaanza kuponda acheni siasa za makengengeza.
Una hakika na unachokisema?alienda kupima afya kweli au unataka kuandika?hukumbuki ilikuwa ni safari iliyohusu moja ya mashirika makubwa hapa Tanzania yanayotoa huduma za afya,ambalo ni CCBRT? hujui kama alikwenda kufanya mazungumzo na moja ya mashirika wafadhili wanaochangia ktk uendeshaji wa hospital ya CCBRT?
 
Kazi tunadanganywa na wana siasa tuu. Wote ni hao hao wezi hata wao wakipewa uongozi watakula km wenzao tena watazid :):):). Madaraka matamu asikwambie mtu uchu kila mwanasiasa anao wa kula mali.
 
Hakujifunza kwa mzee mandela kutibiwa nyumbani!yaani viongozi wa africa kufia nje ya nchi zao wanaona sifa

Mandela alishawahi kwenda Saudi Arabia kutibiwa macho, huu wakati (1990) naona wewe bado ulikuwa kichinchiri;

d340c823-7895-4d23-8582-37dbddf145d0_4x3_690x515.jpeg

This 1990 file photo shows Saudi Gazette Editor-in-Chief Khaled Almaeena with Nelson Mandela in Riyadh. (Photo courtesy: Saudi Gazette)

Upon his release from jail in 1990, Mandela came to Riyadh. This, I think, was part of a tour of countries in Africa and abroad to thank those who had supported the ANC during the years of struggle. Diplomatic relations between South Africa and Saudi Arabia were formalized during Mandela’s visit to the kingdom in November 1994.
If I remember correctly, during his first visit Mandela had his eyes checked in a Riyadh hospital. Years of breaking rocks in a quarry as a prisoner in Robben Island had taken a heavy toll on his eyes. I am sure Mandela might have considered it a small price to pay for opening the eyes of the whole world to the brutalities and inequities of the apartheid regime in South Africa.

Soma zaidi: http://english.alarabiya.net/en/views/news/world/2013/12/08/Personal-reminiscences-on-Mandela.html

Kumbuka hapa ni JF. usije na habari kabla ya kufanyia japo kautafiti kadogo, utaumbuka.
 
Hivi kwann tusijenge ikulu nyingine marekani huyu mzururaji akakae huko?

wiki moja trip zaidi ya tano?

Hivi marekani hawana sera ya kukamata wazururaji kama hawa?
 
And who is going to pay for his hospital expenses?...It's us again!Tanzanians we are in big trouble!
 
Una hakika na unachokisema?alienda kupima afya kweli au unataka kuandika?hukumbuki ilikuwa ni safari iliyohusu moja ya mashirika makubwa hapa Tanzania yanayotoa huduma za afya,ambalo ni CCBRT? hujui kama alikwenda kufanya mazungumzo na moja ya mashirika wafadhili wanaochangia ktk uendeshaji wa hospital ya CCBRT?
Wewe ndiyo hauna kumbukumbu ndiyo maana umeona wenzako wamekaa kimya.
 
Wadau, msimlaumu, amekwenda kutibiwa, na sio kutembea, huenda amepewa referral kuwa maradhi yanayomsumbua tiba iko Marekani pekee na sio India wala Afrika Kusini.
 
Mandela alishawahi kwenda Saudi Arabia kutibiwa macho, huu wakati (1990) naona wewe bado ulikuwa kichinchiri;

d340c823-7895-4d23-8582-37dbddf145d0_4x3_690x515.jpeg

This 1990 file photo shows Saudi Gazette Editor-in-Chief Khaled Almaeena with Nelson Mandela in Riyadh. (Photo courtesy: Saudi Gazette)

Upon his release from jail in 1990, Mandela came to Riyadh. This, I think, was part of a tour of countries in Africa and abroad to thank those who had supported the ANC during the years of struggle. Diplomatic relations between South Africa and Saudi Arabia were formalized during Mandela's visit to the kingdom in November 1994.
If I remember correctly, during his first visit Mandela had his eyes checked in a Riyadh hospital. Years of breaking rocks in a quarry as a prisoner in Robben Island had taken a heavy toll on his eyes. I am sure Mandela might have considered it a small price to pay for opening the eyes of the whole world to the brutalities and inequities of the apartheid regime in South Africa.

Soma zaidi: http://english.alarabiya.net/en/views/news/world/2013/12/08/Personal-reminiscences-on-Mandela.html

Kumbuka hapa ni JF. usije na habari kabla ya kufanyia japo kautafiti kadogo, utaumbuka.

Kikwete aliwahi fungwa jela ipi?
 
Hakujifunza kwa mzee mandela kutibiwa nyumbani!yaani viongozi wa africa kufia nje ya nchi zao wanaona sifa
Haumwi huyo, anaenda kuangalia miradi yake. Kama mmegundua, siku hizi yeye ni kama mgeni Tanzania. Akirudi tu, anafanya ka ziara mikoani, anapiga picha na wajinga hili kuonesha alikuwepo, then anatokomea anakokujua.
Inawezekana ni maagano ya kishirikina kwamba asikae nchini zaidi ya muda fulani. Hadi kina michuzi waishamchoka sasa. Akifika Marekani, piga picha, Michuzi naye anapiga picha za majengo kuweka kwenye blog yake then wanarudi. Taifa linawalipa million 600.
Huyu baba hana huruma na watanzania, hapendi nchi yetu. Ni kama Zitto tu.
Watanzania mkiamua, hawa watu mtawatoa siku moja tu.
Ni wale wale. Hakuna cha Lowasa wala harambee. Inabidi bunge lifanye mkakati wa kuzuia malipo yake kwenye safari na kama rais. Tunamlipa kwa lipi sasa? Anatuhujumu mara mbili huyu juha. Tunamlipa bila kukaa ofisini na bado tunagharamia mamillion ya safari zisizo na tija?
Bunge liweke wazi badget ya safari zake na afungwe speed governor miguuni. Tuombe huko anakoenda wampime ubongo wake. Sidhani kama ni mzima huyu baba.
Hata mkuu wa mkoa Dar aishachoka kumpokea. Siku hizi anarudi kinyemera.
Hana tofauti na majangiri wanaotaifisha rasilimali zetu. Tena yeye anawazidi wale maana hata ukiua Tembo wote, huwezi kupata hela kama anayolipwa huyu mweu kwenye safari mbili.
 
Kikwete aliwahi fungwa jela ipi?

Mkikosa hoja mnaanza viroja.

Umtuwe Rais wetu amuepushie mdege mbaya. Uliokosa haya wewe wala kujuwa vibaya. Kuna mtu anamuombea mwenzake kwenda jela? Unafikiri Mandela alipenda kwenda Jela?
 
Mkikosa hoja mnaanza viroja.

Umtuwe Rais wetu amuepushie mdege mbaya. Uliokosa haya wewe wala kujuwa vibaya. Kuna mtu anamuombea mwenzake kwenda jela? Unafikiri Mandela alipenda kwenda Jela?

White Widow nahisi hujamuelewa Awo

Jamaa anakubaliana na ww kuwa Mandela alienda kutibiwa Saudia macho mara tu alipotoka jela,na ilimlazimu akatibiwe maana mwanga wa kukaa ndani miaka 27 lkn ulimuathiri!

Awo anauliza JK anavyo hangaika na njia nae alifungwa jela kama Mandela so sasa uraiani afya yake inayumba na inabidi watz tumpe excuse ya kutibiwa kila mara nje ya nchi?
 
Mmhh kwa taarifa yako nyerere hakutaka kwenda huko nje Mkapa ndo alimlazimisha!

Jambo usilo lijua ni kama usiku wa kiza. Wakti wa uongozi wake mara zote afya yake alikuwa anaenda ku check UK na sio kwingine. Japo muhimbili ilikuwa pale pamoja na hospital nyingine huko Tanzania.

Mkapa alifuata nyayo zake ndio maana akampeleka UK kutibiwa. Lakin kubwa zaidi Daktari wake alikuwa ni Prof Mwakyusa. Je inaingia akilini Mtz asomeshwe medicine mpaka kufikia U Profesa alafu amtibie mtu mmoja? Huo sio ubadhilifu na kutumia vibaya resource za taifa lenu?

Siku zote maji yanafuata mkondo. usichukie ndio misingi ya nchi yenu na utaratibu ulivyojengwa viongozi kutibiwa nje ya nchi na raa wa kawaida hospitali za ndani ya nchi yenu.

 
JAKAYAAAAAA,hivi ni kweli umeenda tena marekani na dubai? Mbona nyumbani hapakaliki,vp kulikoni au kazi yako umeikamilisha hapa TZ hvyo imebaki kufanya matanuzi? Kama ni hospitali Mhimbili mbona ipo. Hakika kikwete ni rais kituko kuwahi kusikia.
 
Back
Top Bottom