Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

Wanaboard.

Serikali ya Demark iliyoko madarakani ina wakati mgumu sana kwa walipa kodi wake na wananchi wote wa Demark kwa Ujumla.

Walijifunga mkanda ili waweze kuwasaidia watanzania kuendesha serikali yao na misaada mengineyo ga maendeleo.

Badala yake kodi zao zimetumika vinginevyo.

Hasira ya wapiga kura wa Demark ni kuona kodi yao imetumika vingenevyo. Kodi yao imetumika kwa safari za kila siku za presidential convoy America, ulaya na Asia kila kukicha. Kodi zao zinatumika kifisidi kama vile hamna serimali. Wakati waziri wao mkuu anaenda kanisani na gari la 1500cc.

Kuonekana kwa mkuu wetu kungeamsha hasira zaidi.

Inauma sana pale unapojifunga kumsaidia mtu ili aweze kula halafu mtu yule unayemsadia anatumia msaada wako kifisadi.

Ni Aibu yetu sote.

yaaani utumwa hautaisha!! yaani anaaga kwa kodi zetu..
kweli ukistajabu ya mussa uyaona ya filauni...
njooo utuage ss!!
 
JK; hod humu.
Denmark; who are you?
JK; am the president of Tanzania.
Denmark; where are u going?
JK; Ha-ha-haa...(blablaa)
Denmark; be serious mr. president!!
JK;you know,..eeh.am coming to bid farewell.
Denmark; No way, we ar dealing with serious issues.come aftr three monthz.
JK; Hatuwez kuchakachua? i mean to manipulate.
Denmark; ar yo really the president of tz? We ar not of that shit busness.ok?

Duuuuuu safi
 
Safi sana. Hii bid'a ya kuaga kisiasa haiko Ulaya, wala hawajui maana ya kuaga. Huo uchaguzi ni kisingizio tu. Huyu jamaa haoni hata haya. Tena nilipokuwa Denmark wanachi walikuwa wapiga kelele sana juu ya nchi yao kutoa misaada kwa nchi zinazoendelea kutokana na kodi kubwa wanazokatwa wananchi. Kwa kwell ifikia kiasti cha chuki. Sasa huyu anajitokeza kuomba zaidi!
Haijatokea rais kurudishwa uwanjani. Wadhani wangefanya hivyo kwa kiongoizi serious?
 
huyu bibi ni mkwere original,wenyewe kula,kucheza ngoma basi mambo mengine hawajui.Huyu kiwete yeye anaona poa kushinda anazunguku kwenye nchi za watu

Mkware au...............?
 
Sasa wewe inakuuma nini? Na wewe kamlete mjapan kwenu

Hainiumi ila ni upunguani kuvunja sheria zilizowekwa,hairuhusiwi balozi au kiongozi wa nchi nyingine kushiriki katika siasa zetu.
We kweli bogus
 
ukistaajabu ya kikwete utayaona ya mkulima wa darasa la saba aliyetangaza nia
 
yaani huyu kikwete baada abaki nchini kukinusuru chama yeye anatangatanga kwa wazungu. Ona sasa yaliyomkuta
 
Issue ni kwamba mkuu wetu hana kazi za msingi hapa nyumbani mpaka aanze kuzurura kwenye nchi za watu kuaga? Ona sasa aibu hii sio kwake tu na hata kwetu wananchi maana wengine tuna marafiki raia wa Denmark, watajiuliza hii nchi ya watu wa aina gani? Maana kiongozi wetu yeye ni kutembea tu kwa watu eti anaaga. Mungu atusaidie
Nyie si kila porojo mnayoletewa kwenye mtandao ni ukweli.
 
Hakuwa na mualiko huyu anapenda kweli kwenda kwa watu..yaani huyu akiona wazungu anaweza kuwafuata nyuma nyuma mpaka wanaingia kwao ..anapenda kweli wazungu..hana muda wa kusimamia chama mpaka wauza madafu wanachukua fomu kugombea urais wa chama chake
MView attachment 259085


Ha ha ha ha ha kaazi kweli kweli!!
 
Toka lini walikwambia hawaachi porojo?

Mbona tumekuuliza hujajibu huko juu, airport ipi hiyo aliporudishwa?

Acha upumbavu wewe!!

Nimekuuliza hoja nyingi tu hujajibu unajifanya kipofu...

Nimekuuliza kuzuiliwa ni kurudishwa airport?
 
Acha upumbavu wewe!!

Nimekuuliza hoja nyingi tu hujajibu unajifanya kipofu...

Nimekuuliza kuzuiliwa ni kurudishwa airport?

Unajuwa maana ya "kuzuiliwa kuingia"?

Punguani wahed.
 
Aibu kubwa mno kwa JK,

Kama kilichompeleka huko ni hiki bora wamzuie tu! Anatia kinyaa na hasira kama anadiriki kutumia fedha za walipa kodi na misaada anayopewa kwenda kupokea zawadi ya sahani. Ama kweli Prof. Dr. tunaye...
 

Attachments

  • KIKWETE AKIOMBA.jpg
    KIKWETE AKIOMBA.jpg
    76.4 KB · Views: 154
Back
Top Bottom