Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

Hivi na wao huwa wanakuja kutuaga?

Waafrika huwa wanakuja ila sio wazungu. Sam Nujoma wa Namibia alikuja kuaga na kushukuru mwa malezi yetu wakati wa kupigania uhuru wa nchi yao
 
Hizi ndizo nchi bwana,equal playing ground.Sio huu upuuzi unaoendelea hapa kwetu.
Rais Wa Tanzania ndugu Jakaya Mrisho Kikwete amezuiliwa kuingia Denmark kutokana na vuguvugu la uchaguzi nchini humo baada ya kubainika kuwepo kwake kungempa nafasi zaidi ya kuonekana waziri mkuu Wa sasa kitendo kilichotafsirika Kama kumpigia kampeni.

RAIS Jakaya Kikwete ambaye amekuwa katika ziara za kuaga washirika wa mandeleo katika nchi za Scandinavia, amekataliwa kuingia Denmark kwa madai kuwa ziara yake itatumika kisiasa kumnufaisha Waziri Mkuu wa sasa wa Denmark.

Nchi hiyo inatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu wiki ijayo. Zuio hilo limekuja baada ya vyombo vya habari na vyama vya siasa kudai kuwa ziara hiyo ingetumika kumnufaisha Waziri Mkuu aliyepo kwa kumpa muda wa ziada mbele ya vyombo hivyo wakati huu wa kampeni.

Vyama vyote vya kisiasa vinapata muda sawa mbele ya vyombo vya habari na kwa hiyo uwepo wa Rais Kikwete nchini Denmark ungesababsha Waziri Mkuu aliyepo madarani kuonekana mara nyingi akimpokea mgeni wake.

Rais Kikwete hivi karibuni amefanya ziara katika nchi za Finland, Sweden, Uholanzi ikiwa ni sehemu ya kuaga kutokana na muda wake wa kuwa madarakani kufikia ukingoni.


MY TAKE:
Vyombo vya habari hapa kwetu vijifunze kutoka kwa Wenzetu viache ushabiki na viweke mizani sawa kwa wagombea na vyama vyote.....
 
Rais Wa Tanzania ndugu Jakaya Mrisho Kikwete amezuiliwa kuingia Denmark kutokana na vuguvugu la uchaguzi nchini humo baada ya kubainika kuwepo kwake kungempa nafasi zaidi ya kuonekana waziri mkuu Wa sasa kitendo kilichotafsirika Kama kumpigia kampeni.

RAIS Jakaya Kikwete ambaye amekuwa katika ziara za kuaga washirika wa mandeleo katika nchi za Scandinavia, amekataliwa kuingia Denmark kwa madai kuwa ziara yake itatumika kisiasa kumnufaisha Waziri Mkuu wa sasa wa Denmark.

Nchi hiyo inatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu wiki ijayo. Zuio hilo limekuja baada ya vyombo vya habari na vyama vya siasa kudai kuwa ziara hiyo ingetumika kumnufaisha Waziri Mkuu aliyepo kwa kumpa muda wa ziada mbele ya vyombo hivyo wakati huu wa kampeni.

Vyama vyote vya kisiasa vinapata muda sawa mbele ya vyombo vya habari na kwa hiyo uwepo wa Rais Kikwete nchini Denmark ungesababsha Waziri Mkuu aliyepo madarani kuonekana mara nyingi akimpokea mgeni wake.

Rais Kikwete hivi karibuni amefanya ziara katika nchi za Finland, Sweden, Uholanzi ikiwa ni sehemu ya kuaga kutokana na muda wake wa kuwa madarakani kufikia ukingoni.


MY TAKE:
Vyombo vya habari hapa kwetu vijifunze kutoka kwa Wenzetu viache ushabiki na viweke mizani sawa kwa wagombea na vyama vyote.....
Wewe ndo Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu mpaka utoe hiyo taarifa? Acha kupotosha watu bhana, hiyo taarifa siyo ya kweli, acha kunywa viroba ukaamza kuota mchana mchana kweupeeee!
 
Wewe ndo Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu mpaka utoe hiyo taarifa? Acha kupotosha watu bhana, hiyo taarifa siyo ya kweli, acha kunywa viroba ukaamza kuota mchana mchana kweupeeee!

Wameshaichezea Leo? Kama bado endelea kujiegesha watakuja hapa si mahala pake kima wewe!!!
 
kikwete badala uwaage wakuu wa wilaya na watendaji kata wewe unaenda kuaga wazungu, on a sasa wanavyo kuzalilisha

Mabalozi alishawaaga wengine naona atawafwata!!
 
Anaaga kwani wao ndio waliomuweka Madarakani????

Mbona hatusikii Maraisi wao wakizunguka Dunia Nzima Kuaga kuwa wanamaliza vipindi Vyao Madarakani? Hizi Pesa za Wananchi zinachezewa Sana Haki ya Nani...
 
Rais Wa Tanzania ndugu Jakaya Mrisho Kikwete amezuiliwa kuingia Denmark kutokana na vuguvugu la uchaguzi nchini humo baada ya kubainika kuwepo kwake kungempa nafasi zaidi ya kuonekana waziri mkuu Wa sasa kitendo kilichotafsirika Kama kumpigia kampeni.

RAIS Jakaya Kikwete ambaye amekuwa katika ziara za kuaga washirika wa mandeleo katika nchi za Scandinavia, amekataliwa kuingia Denmark kwa madai kuwa ziara yake itatumika kisiasa kumnufaisha Waziri Mkuu wa sasa wa Denmark.

Nchi hiyo inatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu wiki ijayo. Zuio hilo limekuja baada ya vyombo vya habari na vyama vya siasa kudai kuwa ziara hiyo ingetumika kumnufaisha Waziri Mkuu aliyepo kwa kumpa muda wa ziada mbele ya vyombo hivyo wakati huu wa kampeni.

Vyama vyote vya kisiasa vinapata muda sawa mbele ya vyombo vya habari na kwa hiyo uwepo wa Rais Kikwete nchini Denmark ungesababsha Waziri Mkuu aliyepo madarani kuonekana mara nyingi akimpokea mgeni wake.

Rais Kikwete hivi karibuni amefanya ziara katika nchi za Finland, Sweden, Uholanzi ikiwa ni sehemu ya kuaga kutokana na muda wake wa kuwa madarakani kufikia ukingoni.


MY TAKE:
Vyombo vya habari hapa kwetu vijifunze kutoka kwa Wenzetu viache ushabiki na viweke mizani sawa kwa wagombea na vyama vyote.....

Waseme ukweli tu wanafahamu jamaa ni mwizi na angechafua wenzake ambao hawataki kuonekana kula na kafisadi papa.
 
Wanaboard.

Serikali ya Demark iliyoko madarakani ina wakati mgumu sana kwa walipa kodi wake na wananchi wote wa Demark kwa Ujumla.

Walijifunga mkanda ili waweze kuwasaidia watanzania kuendesha serikali yao na misaada mengineyo ga maendeleo.

Badala yake kodi zao zimetumika vinginevyo.

Hasira ya wapiga kura wa Demark ni kuona kodi yao imetumika vingenevyo. Kodi yao imetumika kwa safari za kila siku za presidential convoy America, ulaya na Asia kila kukicha. Kodi zao zinatumika kifisidi kama vile hamna serimali. Wakati waziri wao mkuu anaenda kanisani na gari la 1500cc.

Kuonekana kwa mkuu wetu kungeamsha hasira zaidi.

Inauma sana pale unapojifunga kumsaidia mtu ili aweze kula halafu mtu yule unayemsadia anatumia msaada wako kifisadi.

Ni Aibu yetu sote.
 
Sijui km mkwere mwengine atakuja kupewa hata unaibu waziri!!!!!
 
Mkuu Rais Wa nchi halazimiki kuwa na mwaliko pia ziara hii ni yeye ndo kajipeleka ati kuwaaga wahisani wetu....

So hakuitwa kaenda mwenyewe kwa mapenzi yake.....

Huku kwetu tunalazimishwa kuangalia TBCCM
 
Mambo ya Kiswahili haya , eti kwa kuwa nipo hapa jirani na kwa Mzee Mwarubadu , basi ngoja naye nipite nimuage, Mwarubadu haja kualika wala hana habari .....ona sasa aibu hizi .....
 
Hakuwa na mualiko huyu anapenda kweli kwenda kwa watu..yaani huyu akiona wazungu anaweza kuwafuata nyuma nyuma mpaka wanaingia kwao ..anapenda kweli wazungu..hana muda wa kusimamia chama mpaka wauza madafu wanachukua fomu kugombea urais wa chama chake
MView attachment 259085
Na kweli, naona wamemchoka, kila siku hodi!Naendelea kuona maajabu ya Jk, hivi kweli ni lazima kuzunguka duniani nzima kwenda 'kuaga'?
 
Ndo ubaya wa kuondoka bila kuaga, angetuaga haya majanga yasingemkuta!
 
Back
Top Bottom