mzalendo-wa-tz
JF-Expert Member
- Dec 15, 2014
- 404
- 187
Mafaili gani wewe? na hao watangaza kura wote wanajulikana na wengi kama si wote yeye ndiyo bosi wao kwa sasa, labda atokee asiyejulikana.
Hata iwe kuna mafaili, hivi mnafikiri siku hizi bado watu wanakimbizana na mafaili ya makaratasi? Ofisi sasa hivi ni popote.
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Issue ni kwamba mkuu wetu hana kazi za msingi hapa nyumbani mpaka aanze kuzurura kwenye nchi za watu kuaga? Ona sasa aibu hii sio kwake tu na hata kwetu wananchi maana wengine tuna marafiki raia wa Denmark, watajiuliza hii nchi ya watu wa aina gani? Maana kiongozi wetu yeye ni kutembea tu kwa watu eti anaaga. Mungu atusaidie