Kwa wasiokuwa na akili kabisa kama wewe ndio hatoweza kuona kama tumerudi nyumba au la. Labda mm niongezee tu kuwa tumerudi nyuma mpaka kwenye rejected region.Ni kwa waliopungukiwa maarifa tu ndo wanaoweza kuunga mkono hoja hii ya hovyo. Ka una maarifa timamu huwezi kuleta hoja hii ukafikiri ndo jambo jema kwa nchi na kwamba tulishabikie hapa JF. Sisi kama watu waungwana yatupasa kumuunga mkono mheshimiwa raisi kuhakikisha nchi inakaa kwenye mstari na inakuwa na maendeleo chanya na si kumdhihaki na kuonyesha juhudi zake ni bure na kwamba nchi iendelee kuendeshwa hovyohovyo kwa kuendekeza wahujumu uchumi, wauza madawa ya kulevya, mafisadi na majanga mengineyo ktk nchi.
.....Wewe Quinene Mungu anakuona... "Tumerudi kulekule..."
Hayo yote hakuna lililoanza hata moja zaidi ya tarumbeta tu
- Kanunua ndege sita
- Ujenzi wa Reli ya Kati kwq Standard Gauge
- Ujenzi wa Bomba la Mafuta toka Uganda hadi Tanga
- Kudhibiti ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma
- Ujenzi wq Hostel pale UDSM
- Nyumba za Magomeni Kota
- Kupandisha bei ya korosho kutoka shilingi 1000 hado 4000
- Ujenzi wq Barabara ya Mwenge hadi Morocco
- Ununuzi wa Meli mpya Ziwa Tanganyika na Victoria
- Umeme wa uhakika. Hakuna mgawo kwa sasa
- Nk nk
Wewe ndo umeleweshwa na buku 7CHADEMA wamechanganyikiwa sana. 2020 hawana Mgombea
Hakuna kazi ni kujipendekeza na unafiki ndo kilichobakia tuUmeona Mabaya Mazuri ujayaona. kwenda zako.
# HAPA KAZI TU!
......Nashangaa umeangalia upande mmoja tu ilhali Rais kafanya mambo mengi makubwa yanayofuta hayo uliyoandika
....Nani Kakuambia Korosho zimenunuliwa sh.4000?
Kasome tena
Hizo zingene ni Ahadi bado hazijatekelezwa
Ndege sita zingine zipo wapi?
Kudhibiti Mafisadihttp://www.jamiiforums.com/index.php?posts/18989911 Akili ndogo....
Yeye hatakufa njaaAsubiri balaa la njaa linakuja mda si mrefu
kweli tuna safari ndefu,kama unaweza kuwasitishia mkopo wanafunzu walioko nje ya nchi,sijui wanaishije uko.![]()
Ndege mfananao mnaruka sambamba.....siku hizi nakuelewa sana mleta mada
Mungu akulinde na mabaya yote
Kweli KABISA ila haujapinga kwa hoja ila yatupasa kumuunga RAIS MKONONi kwa waliopungukiwa maarifa tu ndo wanaoweza kuunga mkono hoja hii ya hovyo. Ka una maarifa timamu huwezi kuleta hoja hii ukafikiri ndo jambo jema kwa nchi na kwamba tulishabikie hapa JF. Sisi kama watu waungwana yatupasa kumuunga mkono mheshimiwa raisi kuhakikisha nchi inakaa kwenye mstari na inakuwa na maendeleo chanya na si kumdhihaki na kuonyesha juhudi zake ni bure na kwamba nchi iendelee kuendeshwa hovyohovyo kwa kuendekeza wahujumu uchumi, wauza madawa ya kulevya, mafisadi na majanga mengineyo ktk nchi.
Uliyoyasema yote hayanauhusiano na post. Kwa kifupi hujasema chochote,Ni kwa waliopungukiwa maarifa tu ndo wanaoweza kuunga mkono hoja hii ya hovyo. Ka una maarifa timamu huwezi kuleta hoja hii ukafikiri ndo jambo jema kwa nchi na kwamba tulishabikie hapa JF. Sisi kama watu waungwana yatupasa kumuunga mkono mheshimiwa raisi kuhakikisha nchi inakaa kwenye mstari na inakuwa na maendeleo chanya na si kumdhihaki na kuonyesha juhudi zake ni bure na kwamba nchi iendelee kuendeshwa hovyohovyo kwa kuendekeza wahujumu uchumi, wauza madawa ya kulevya, mafisadi na majanga mengineyo ktk nchi.