Bess
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 555
- 661
Heshima ya utumishi Wa umma imerudi, uzembe kazini umepungua,
Hela za dili hazipatikani siku hizi ndio maana kuna kelele hamna hela mifukoni,
viwanda kama 1000 vinafunguliwa bagamoyo ili kuongeza kodi na ajira kwa vijana,
bomoa bomoa inaendelea mbez-kibaha kupanua Barbara ya mwendo kasi bila kujali nyumba ya nani iko barabarani,
mikopo inarejeshwa kwa kasi kwa waliokokopeshwa tangu 1994 hii itasaidia kukopesha idadi kubwa zaid mwakani, safari/warsha/ semina za nje zimepungua,
utegemez Wa misaada kutoka kwa wajomba zetu imepungua, ni aibu kutembeza bakuli nje wakati rasilimali ziko za kutosha
Salamu kwako Quinine
Hela za dili hazipatikani siku hizi ndio maana kuna kelele hamna hela mifukoni,
viwanda kama 1000 vinafunguliwa bagamoyo ili kuongeza kodi na ajira kwa vijana,
bomoa bomoa inaendelea mbez-kibaha kupanua Barbara ya mwendo kasi bila kujali nyumba ya nani iko barabarani,
mikopo inarejeshwa kwa kasi kwa waliokokopeshwa tangu 1994 hii itasaidia kukopesha idadi kubwa zaid mwakani, safari/warsha/ semina za nje zimepungua,
utegemez Wa misaada kutoka kwa wajomba zetu imepungua, ni aibu kutembeza bakuli nje wakati rasilimali ziko za kutosha
Salamu kwako Quinine