Rais kaishiwa pumzi, karudi square one

Rais kaishiwa pumzi, karudi square one

Heshima ya utumishi Wa umma imerudi, uzembe kazini umepungua,
Hela za dili hazipatikani siku hizi ndio maana kuna kelele hamna hela mifukoni,
viwanda kama 1000 vinafunguliwa bagamoyo ili kuongeza kodi na ajira kwa vijana,
bomoa bomoa inaendelea mbez-kibaha kupanua Barbara ya mwendo kasi bila kujali nyumba ya nani iko barabarani,
mikopo inarejeshwa kwa kasi kwa waliokokopeshwa tangu 1994 hii itasaidia kukopesha idadi kubwa zaid mwakani, safari/warsha/ semina za nje zimepungua,
utegemez Wa misaada kutoka kwa wajomba zetu imepungua, ni aibu kutembeza bakuli nje wakati rasilimali ziko za kutosha
Salamu kwako Quinine
 
Ni kwa waliopungukiwa maarifa tu ndo wanaoweza kuunga mkono hoja hii ya hovyo. Ka una maarifa timamu huwezi kuleta hoja hii ukafikiri ndo jambo jema kwa nchi na kwamba tulishabikie hapa JF. Sisi kama watu waungwana yatupasa kumuunga mkono mheshimiwa raisi kuhakikisha nchi inakaa kwenye mstari na inakuwa na maendeleo chanya na si kumdhihaki na kuonyesha juhudi zake ni bure na kwamba nchi iendelee kuendeshwa hovyohovyo kwa kuendekeza wahujumu uchumi, wauza madawa ya kulevya, mafisadi na majanga mengineyo ktk nchi.

Nchi inaendeshwa kimazoea.
 
sio kweli toa viambatanishi kudhibitisha hoja zako
Ushawahi sikia bomoa bomoa siku hizi? Ajira gani zimetoka hadi saiz? Watumishi gani wamepandishwa madaraja toka kaingia huyu jamaa? Mapato ya mwezi uliopita umeyafuatilia?
 
Nashangaa umeangalia upande mmoja tu ilhali Rais kafanya mambo mengi makubwa yanayofuta hayo uliyoandika
Hebu taja mawili matatu..
Au ni zile pangaboi... au faru joni... au.. kusweka ndani wananchi... au kirudisha machinga...
[emoji83] [emoji218] wewee
 
  1. Kanunua ndege sita
  2. Ujenzi wa Reli ya Kati kwq Standard Gauge
  3. Ujenzi wa Bomba la Mafuta toka Uganda hadi Tanga
  4. Kudhibiti ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma
  5. Ujenzi wq Hostel pale UDSM
  6. Nyumba za Magomeni Kota
  7. Kupandisha bei ya korosho kutoka shilingi 1000 hado 4000
  8. Ujenzi wq Barabara ya Mwenge hadi Morocco
  9. Ununuzi wa Meli mpya Ziwa Tanganyika na Victoria
  10. Umeme wa uhakika. Hakuna mgawo kwa sasa
  11. Nk nk
Ile boti kivuko ya bagamoyo vipi haimoo?
 
Ni kweli!
Kila kitu alichodhani atakirekebisha kimeanza kurudia hali yake ya zamani.

Moto wa kupambana na mafisadi ni kama umezimika baada ya kuambiwa mahakama ya mafisadi imekosa kesi, tumerudi palepale.

Wakati anaingia alikuta TRA inakusanya bn 900 hadi tn1, yakaongezeka hadi tn1.5 leo yamerudi kule kule bn 900 sijui ya Nov inawezekana yameshuka zaidi.

Spidi ya kubomoa nyumba zilizojengwa mabondeni na kinyume cha sheria ulianza kwa mkwara ukapiga breki kwa mama Lwakatare, leo tumerudi kule kule.

Machinga ni vurugu mechi, ondoa rudisha ondoa, tatizo halijatatuliwa limebaki palepale.

Tumbua tengua teua mwisho tumeishia kuteua walewale tuliowatumbua hatuja solve kitu tumerudi kule kule.

Mikopo ya wanafunzi sio tu tumerudi tulipokuwa yaani square one bali hata uwezo wa serikali kulipa umepungua kulinganisha na serikali iliyopita.

Serikali imeshindwa hata kuajiri na kupandisha madaraja watumishi wake, ni kama tumerudi square one.

Alipoingia alizuia safari za nje akazuia sikukuu za kitaifa, leo watumishi wanasafiri kama kawaida na juzi tumesherehekea sikukuu ya Uhuru aliyoikataa mwaka jana, mambo yamekuwa business as usual.

Mapigano kati ya wakulima na wafugaji ni kama ndiyo yamezidi, pamoja na ahadi ya serikali yake kutatua kadhia hiyo ni kama tumerudi kule kule.

Kuna mengi ambayo alidhani rahisi kuyafanya yameanza kumshinda mfano, sukari ya Bharesa, pembe za ndovu, madawa ya kulevya, majangili. Nina uhakika anaweza kumaliza muda wake akayacha kama alivyoyakuta.

Naomba kutoa hoja.

Quinine.
Ila je kuna jinsi tunavyoweza kumsaidia apambane?
Mi nadhani Magufuli hakujua kuwa tumemuweka mbele akapambane kama Boxing, yeye peke yake anabaki ulingoni!
Thinking yangu ni kuwa Magufuli alijua kuwa akipambana na Mafisadi then wapinzani watakuwa on his side, watanzania watamsaidia kumtetea endapo watu wata-react, matokeo yake nini! kila akipambana na uovu, kuna genge jingine linapambana naye kwa kukosoa, kukemea, kubeza etc na wala watanzania hawashtuki!
in 3 years time atausoma mchezo naye atabaki home anatazama Tausi na kula upepo mwanana wa baharini!
Kikwete had the same attitude mwanzoni (kumbuka siku 100 za mwanzoni za JK), alipotujua watanzania, akaona ajilie trip zake kupunguza stress!
 
Kila kitu alichodhani atakirekebisha kimeanza kurudia hali yake ya zamani.

Moto wa kupambana na mafisadi ni kama umezimika baada ya kuambiwa mahakama ya mafisadi imekosa kesi, tumerudi palepale.

Wakati anaingia alikuta TRA inakusanya bn 900 hadi tn1, yakaongezeka hadi tn1.5 leo yamerudi kule kule bn 900 sijui ya Nov inawezekana yameshuka zaidi.

Spidi ya kubomoa nyumba zilizojengwa mabondeni na kinyume cha sheria ulianza kwa mkwara ukapiga breki kwa mama Lwakatare, leo tumerudi kule kule.

Machinga ni vurugu mechi, ondoa rudisha ondoa, tatizo halijatatuliwa limebaki palepale.

Tumbua tengua teua mwisho tumeishia kuteua walewale tuliowatumbua hatuja solve kitu tumerudi kule kule.

Mikopo ya wanafunzi sio tu tumerudi tulipokuwa yaani square one bali hata uwezo wa serikali kulipa umepungua kulinganisha na serikali iliyopita.

Serikali imeshindwa hata kuajiri na kupandisha madaraja watumishi wake, ni kama tumerudi square one.

Alipoingia alizuia safari za nje akazuia sikukuu za kitaifa, leo watumishi wanasafiri kama kawaida na juzi tumesherehekea sikukuu ya Uhuru aliyoikataa mwaka jana, mambo yamekuwa business as usual.

Mapigano kati ya wakulima na wafugaji ni kama ndiyo yamezidi, pamoja na ahadi ya serikali yake kutatua kadhia hiyo ni kama tumerudi kule kule.

Kuna mengi ambayo alidhani rahisi kuyafanya yameanza kumshinda mfano, sukari ya Bharesa, pembe za ndovu, madawa ya kulevya, majangili. Nina uhakika anaweza kumaliza muda wake akayacha kama alivyoyakuta.

Naomba kutoa hoja.

Quinine.
Kutumia nguvu pasipo mipango huwezi kwenda mbali ...
 
Sijui unashangilia au unasikitika, hebu declare interest! Nionavyo mimi, this is work in progress, kuna mambo yataenda kasi sana na mengine yatasuasua, such is life na baada ya tathmini na strategic re-engineering; tutasonga mbele, tusiwe kama watu tusiojua tunachokitaka in life, Tanzania mpya, tusisahau kwamba wengi tulichoka sana na serikali inayoendeshwa holela hobela, nchi ya kikambale, kila mtu ana mamlaka ya kila kitu!
 
Ni kwa waliopungukiwa maarifa tu ndo wanaoweza kuunga mkono hoja hii ya hovyo. Ka una maarifa timamu huwezi kuleta hoja hii ukafikiri ndo jambo jema kwa nchi na kwamba tulishabikie hapa JF. Sisi kama watu waungwana yatupasa kumuunga mkono mheshimiwa raisi kuhakikisha nchi inakaa kwenye mstari na inakuwa na maendeleo chanya na si kumdhihaki na kuonyesha juhudi zake ni bure na kwamba nchi iendelee kuendeshwa hovyohovyo kwa kuendekeza wahujumu uchumi, wauza madawa ya kulevya, mafisadi na majanga mengineyo ktk nchi.
Mstsri gani huku unaumiza wasiohusika na unajisifia?? Umesimamisha maswala ya ajira ambalo ni tegemeo kubwa la wanyonge wa nchi hii maana hawana hata MTU wa kuwapa laki mbili za mtaji,umesimamisha ongezeko la mishahara ambalo huwasaidia sana wanyonge wenye kipato kidogo kuliko hao wenye mishahara mikubwa,mikopo ya chuo imekuwa shida kuliko awamu zote,sasa hakuna vigezo vya wazi tofauti na awamu zilizopita,ni wanyonge gani anaowatetea huyu mzee?? Mbona wanyonge ndo tunaoumia zaidi??
 
Ushawahi sikia bomoa bomoa siku hizi? Ajira gani zimetoka hadi saiz? Watumishi gani wamepandishwa madaraja toka kaingia huyu jamaa? Mapato ya mwezi uliopita umeyafuatilia?
utapataje ajira huna vigezo vya kuajiliwa??
 
  1. Kanunua ndege sita
  2. Ujenzi wa Reli ya Kati kwq Standard Gauge
  3. Ujenzi wa Bomba la Mafuta toka Uganda hadi Tanga
  4. Kudhibiti ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma
  5. Ujenzi wq Hostel pale UDSM
  6. Nyumba za Magomeni Kota
  7. Kupandisha bei ya korosho kutoka shilingi 1000 hado 4000
  8. Ujenzi wq Barabara ya Mwenge hadi Morocco
  9. Ununuzi wa Meli mpya Ziwa Tanganyika na Victoria
  10. Umeme wa uhakika. Hakuna mgawo kwa sasa
  11. Nk nk
Ndege sita isije kuwa hela za rambirambi zimetumika, bomba la mafuta kwani tunajenga sisi, reli ya standard gauge hivi imefika wapi vile, meli mpya isije kuwa kama ahadi ya Kigoma kuwa Dubai.
 
Back
Top Bottom