Rais kaishiwa pumzi, karudi square one

Rais kaishiwa pumzi, karudi square one

Ni kwa waliopungukiwa maarifa tu ndo wanaoweza kuunga mkono hoja hii ya hovyo. Ka una maarifa timamu huwezi kuleta hoja hii ukafikiri ndo jambo jema kwa nchi na kwamba tulishabikie hapa JF. Sisi kama watu waungwana yatupasa kumuunga mkono mheshimiwa raisi kuhakikisha nchi inakaa kwenye mstari na inakuwa na maendeleo chanya na si kumdhihaki na kuonyesha juhudi zake ni bure na kwamba nchi iendelee kuendeshwa hovyohovyo kwa kuendekeza wahujumu uchumi, wauza madawa ya kulevya, mafisadi na majanga mengineyo ktk nchi.
Vipi kilicho ongelewa kwenye hoja ni kweli au sio kweli?
 
Ni kwa waliopungukiwa maarifa tu ndo wanaoweza kuunga mkono hoja hii ya hovyo. Ka una maarifa timamu huwezi kuleta hoja hii ukafikiri ndo jambo jema kwa nchi na kwamba tulishabikie hapa JF. Sisi kama watu waungwana yatupasa kumuunga mkono mheshimiwa raisi kuhakikisha nchi inakaa kwenye mstari na inakuwa na maendeleo chanya na si kumdhihaki na kuonyesha juhudi zake ni bure na kwamba nchi iendelee kuendeshwa hovyohovyo kwa kuendekeza wahujumu uchumi, wauza madawa ya kulevya, mafisadi na majanga mengineyo ktk nchi.
Tumia japo akili kidogo kufikiria mtoa mada akaeleza ukweli tupu na wewe tueleze aliyoyafanya tuunge mkono hata kama tunaona kinza mbele
 
Ni kwa waliopungukiwa maarifa tu ndo wanaoweza kuunga mkono hoja hii ya hovyo. Ka una maarifa timamu huwezi kuleta hoja hii ukafikiri ndo jambo jema kwa nchi na kwamba tulishabikie hapa JF. Sisi kama watu waungwana yatupasa kumuunga mkono mheshimiwa raisi kuhakikisha nchi inakaa kwenye mstari na inakuwa na maendeleo chanya na si kumdhihaki na kuonyesha juhudi zake ni bure na kwamba nchi iendelee kuendeshwa hovyohovyo kwa kuendekeza wahujumu uchumi, wauza madawa ya kulevya, mafisadi na majanga mengineyo ktk nchi.

Hebu kuwa mkweli kwa nafsi yako na useme ni mhujumu uchumi gani aliyeshughulikiwa, ni muuzaji gani wa madawa ya kulevya aliyeshughulikiwa, au labda ni fisadi gani kesi yake inanguruma mahakama ya mafisadi? Watu wengi waliweka matumaini makubwa kwa utawala wa awamu hii pale mwanzoni, ila sasa matumaini hayo yanayeyuka kila kukicha na kila kukichwa na wanajisikia kusalitiwa!
 
Ngoja tununue ndege kwanza
Wakati ukame ukipiga tukijiandaa kuomba chakula cha msaada na watumishi kutumbuliwa kwa kusababisha upungufu wa chakula
 
Ni kwa waliopungukiwa maarifa tu ndo wanaoweza kuunga mkono hoja hii ya hovyo. Ka una maarifa timamu huwezi kuleta hoja hii ukafikiri ndo jambo jema kwa nchi na kwamba tulishabikie hapa JF. Sisi kama watu waungwana yatupasa kumuunga mkono mheshimiwa raisi kuhakikisha nchi inakaa kwenye mstari na inakuwa na maendeleo chanya na si kumdhihaki na kuonyesha juhudi zake ni bure na kwamba nchi iendelee kuendeshwa hovyohovyo kwa kuendekeza wahujumu uchumi, wauza madawa ya kulevya, mafisadi na majanga mengineyo ktk nchi.
Ni wajinga tu ndo wanajisumbua kuunga mkono mambo yanayoturudish nyuma
 
Tumia japo akili kidogo kufikiria mtoa mada akaeleza ukweli tupu na wewe tueleze aliyoyafanya tuunge mkono hata kama tunaona kinza mbele
  1. Kanunua ndege sita
  2. Ujenzi wa Reli ya Kati kwq Standard Gauge
  3. Ujenzi wa Bomba la Mafuta toka Uganda hadi Tanga
  4. Kudhibiti ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma
  5. Ujenzi wq Hostel pale UDSM
  6. Nyumba za Magomeni Kota
  7. Kupandisha bei ya korosho kutoka shilingi 1000 hado 4000
  8. Ujenzi wq Barabara ya Mwenge hadi Morocco
  9. Ununuzi wa Meli mpya Ziwa Tanganyika na Victoria
  10. Umeme wa uhakika. Hakuna mgawo kwa sasa
  11. Nk nk
 
Mi nilitegemea itakuwa hivyo, hata kikwete naye alianza na mikwara tukaamini mambo sasa yatakwenda, hotuba walisema haijawahi kuhutubiwa duniani hotuba nzuri kama ile yake, moto ukaanzia na timu ya taifa baadae ukaanza kuzima mpaka tulipobakia na majivu tu, mashaka yangu safari hii naweza kuwa noma zaidi
 
Ni kwa waliopungukiwa maarifa tu ndo wanaoweza kuunga mkono hoja hii ya hovyo. Ka una maarifa timamu huwezi kuleta hoja hii ukafikiri ndo jambo jema kwa nchi na kwamba tulishabikie hapa JF. Sisi kama watu waungwana yatupasa kumuunga mkono mheshimiwa raisi kuhakikisha nchi inakaa kwenye mstari na inakuwa na maendeleo chanya na si kumdhihaki na kuonyesha juhudi zake ni bure na kwamba nchi iendelee kuendeshwa hovyohovyo kwa kuendekeza wahujumu uchumi, wauza madawa ya kulevya, mafisadi na majanga mengineyo ktk nchi.
Hujui lolote KAa kimya wewe.unataka tumuunge mkono Kivipi.. Haya kama wewe kweli mzalendo waambie police wani tafute niwaonyeshe walipo mateja na wapi madawa yanauzwa.. Hii nchi tatizo vyombo vya usalama vimejaa rushwa.. Haviwezi tena kufanya kazi vinasubiri matamko ya wanasiasa... HUWEZI kuniambia police hawajui wapi madawa ya kulevya yanauzwa.. Njoo hata Sasa hivi nikupeleke vingunguti buguruni na magomeni uone madawa NJE NJE.msitake kutuziba midomo tusiongee.. Rais anafanya kazi nzuri tatizo vyombo VYAKE na Wakuu wake WA usalama vimejaa rushwa.. Mimi mwenyewe nimesharipoti Kwa police kituo cha Riverside namna madawa yanavouzwa pale ubungo na mpaka Sasa Hamna lilitokea.. MNATAKA TUIUNGE MKONO serikali Kivipi?
 
Mahakama ya mafisadi itafanyaje kazi wakati vibaka wote mmenyooka? Thats the whole point....unapaswa kulalamika ikiwa ufisadi unaendelea huku watuhumiwa hawafikishwi mahakamani
Lakini alijitapa wakati wa kampeni kuwa majizi na mafisadi ndiyo yametufikisha hapa na kwamba ataanzisha mahakama ya mafisadi ili ayashughulikie. Tulikuwa tunasubiri hayo majizi yapate yanachostahili lakini badala yake mambo ni chali kifo cha mende.
Huyu ni sawa na Kikwete tofauti ni mikwara na kufokafoka tu lakini mvinyo ule ule.
 
Ni kwa waliopungukiwa maarifa tu ndo wanaoweza kuunga mkono hoja hii ya hovyo. Ka una maarifa timamu huwezi kuleta hoja hii ukafikiri ndo jambo jema kwa nchi na kwamba tulishabikie hapa JF. Sisi kama watu waungwana yatupasa kumuunga mkono mheshimiwa raisi kuhakikisha nchi inakaa kwenye mstari na inakuwa na maendeleo chanya na si kumdhihaki na kuonyesha juhudi zake ni bure na kwamba nchi iendelee kuendeshwa hovyohovyo kwa kuendekeza wahujumu uchumi, wauza madawa ya kulevya, mafisadi na majanga mengineyo ktk nchi.
utamuunga mukono mtu ambae kila kitu anataka afanye yy?
 
  1. Kanunua ndege sita
  2. Ujenzi wa Reli ya Kati kwq Standard Gauge
  3. Ujenzi wa Bomba la Mafuta toka Uganda hadi Tanga
  4. Kudhibiti ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma
  5. Ujenzi wq Hostel pale UDSM
  6. Nyumba za Magomeni Kota
  7. Kupandisha bei ya korosho kutoka shilingi 1000 hado 4000
  8. Ujenzi wq Barabara ya Mwenge hadi Morocco
  9. Ununuzi wa Meli mpya Ziwa Tanganyika na Victoria
  10. Umeme wa uhakika. Hakuna mgawo kwa sasa
  11. Nk nk
Nani Kakuambia Korosho zimenunuliwa sh.4000?
Kasome tena
Hizo zingene ni Ahadi bado hazijatekelezwa
Ndege sita zingine zipo wapi?
Kudhibiti Mafisadihttp://www.jamiiforums.com/index.php?posts/18989911 Akili ndogo....
 
Back
Top Bottom