Rais hakuwatuma Polisi wamkamate Mbowe na kumpa kesi ya ugaidi

Ila chadema na watu wao kama mdude nyagali,,yericko nyerere na kigogo ndiyo mnaona Wana akili eeh??
Kwanza hao wote uliowataja sio saizi yako infact unawajua hawakujui , unawafuatilia hawakufuatili

Sasa jiulize kwanini wewe mwenye akili unawajua wajinga wasiokujua?
 
Friends and Enemies,

Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,

Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...

Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,

Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,

After all chadema hawapo real kwenye HILI suala la katiba,they are not fighting for constitution reforms, instead they are after regime changes tuh,ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa hivi,hii ni kwa maslahi yao tuh,

Kama wanamanisha kweli basi wangeanza na chama Chao kwanza kufanya hizo reforms,kama wameshindwa ndan ya chama Chao kufanya hizo reforms wataanzaje kuwaza katiba ya nchi??

Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...
Alipokosea mama alikuwa awaite mapema awasikilize maoni yao awape muda zaidi.

Sasa tunaona wasaidizi wake wanafanya Mambo ya kuichafua Tanzania. Hata Kama itakuwa ni kweli watanzania hawawezi kuamini Mbowe ni Gaidi. Hata Mimi nitakiwa mmoja wapo wakukataa.

Turudishe dhamira zetu kwa mungu na tupendane.

Ile kauli ya mama kosoa kwa staha naipenda sana na ilikuwa na maana kubwa sana.

Ukiwaita Sasa hivi watakujibu kwa hasira. Wape tarehe ya mbali maumivu yapungue.
 
Ain't nobody give a damn about chadema,

Nan anahangaika nao?wao ndiyo wanahangaika na sisi wananchi Tena kwa maslahi yao,lin sisi tumewatuma chadema kupambana kwa jasho na dam hivyo kudai katiba mpya?lin...
KWELI WATANZANIA TUNA KAZI KUBWA KUBWA MBELE YAMKINI BADO TUNA VIJANA WENYE AKILI KAMA ZAKO BASI INAKATISHA TAMAA
Mmesahau katiba ya wananchi ya jaji warioba mmeifungia kwenye makabati kwa uoga ubinafsi wa CCM,Ile ina maoni ya watanzania wanataka kujitawala kwa namna gani,hatuhitaji katiba ya CCM wala CHADEMA tunaitaka ile ya wananchi wa TANZANIA.
 
Sikuwahi kuwa upande wa mwendazake siyo kwa kuwa ni mkristo,Kwan hawa chadema ambao mwendazake alikua akawapa kibano ni waislam?ni wakristo wenzake hawa kina Mbowe,lkn nilimkataa kwa movement zake,Ila amekuja ambae at least anaonesha kutaka kufanya kaz na hawa wanasiasa uchwara kama chadema wanajifanya wanataka kuwa majabali wataweza vip kushindana na dola?

Hata Afrika kusini akina Mandela walipambana na dola, tena ilikuwa na nguvu kuliko hawa wanaotumia mbinu za karne iliyopita ya kina Mahita kubambikia kesi. Au unadhani dola ni kitu kipya? Kama ww umeshindwa kupambana na dola ya majizi ya kura, wachie wenye sababu halisi wafanye. ww baki ukimtetea huyo msikiti mwenzio.
 
Unaelewa maana ya utawala wa katiba na sheria wewe kilaza?
Wameambiwa mikusanyiko lazima ipate kibali kutoka kwao,na hiyo ni order kama Wana kaidi sasa unataka wafanywe nin,

Pia nanyinyi muache ufala wa kulalamika tuh kwenye keyboard kwann hamuingii barabaran kuandamana??

Mtakaa kifala fala kwenye social media had Lin??ingien barabaran makamanda
 
Mikusanyiko ya Simba na Yanga
Police said,their god-damned chairman got a terrorism charges...we na mm tunawezaje kukataa na hatuna ushahid?

Tusubir polisi watuthibitishie,also we are resting to the cemetery many many of our loved ones,because of this third wave, mikusanyiko ya nini??
 
Friends and Enemies,

Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,

Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...

Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,

Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,

After all chadema hawapo real kwenye HILI suala la katiba,they are not fighting for constitution reforms, instead they are after regime changes tuh,ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa hivi,hii ni kwa maslahi yao tuh,

Kama wanamanisha kweli basi wangeanza na chama Chao kwanza kufanya hizo reforms,kama wameshindwa ndan ya chama Chao kufanya hizo reforms wataanzaje kuwaza katiba ya nchi??

Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...

This is a new level of stupid! Unazungumziaje katiba kama hutaki mabadiliko yake? Yes, hata regime change ni moja ya vitu vya kupiganiwa! Si sahihi kuwa na maelefu ya watu wasiolipa kodi lakini tunawatunza kuanzia nyumba, umeme mpaka maji na wanachokifanya ni kuhakikisha regime inafuraha! Ni kwa sababu regime ina mamlaka na watu hao (wakuu wa wilaya, DAS, RCs, RASs). Makamu wa Rais na Waziri Mkuu. Regime structure iliyo na gharama kubwa kwa mnyonge wa uswahilini!! Yes, regime change!!

Badala ya kuonyesha kidole kwa Chadema, vipi CCM walioanzisha mchakato kwa kukataa maini ya wananchi yaliyokusanywa na Tume ya Katiba na kisha kupendekeza ile waliyokuwa na control nayo kupitia Bunge la Katiba halafu kila aliyefuata anasema sio kipaumbele na mwingine anasema tufanye maendeleo kwanza! Ni nani kati ya hawa hana nia njema ya Katiba??? Hata tu mamlaka ya kuamua kufunga au kufungulia vyombo vya habari ni maswala yanayohusu regime powers. Ipo siku tutapata Rais atakayetumia regime powers kufanya anachotaka bila yeyote kumzuia wala hata kusema!!

You are not Big Show but Big Shyte! Big body, small brain!! Partisan and a buffoon!
 
Friends and Enemies,

Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,

Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...

Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,

Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,

After all chadema hawapo real kwenye HILI suala la katiba,they are not fighting for constitution reforms, instead they are after regime changes tuh,ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa hivi,hii ni kwa maslahi yao tuh,

Kama wanamanisha kweli basi wangeanza na chama Chao kwanza kufanya hizo reforms,kama wameshindwa ndan ya chama Chao kufanya hizo reforms wataanzaje kuwaza katiba ya nchi??

Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...
RPC wa Mwanza ndiyo aliyesema kuwa katumwa na Rais kumteka Mbowe.
 
T
This is a new level of stupid! Unazungumziaje katiba kama hutaki mabadiliko yake? Yes, hata regime change ni moja ya vitu vya kupiganiwa! Si sahihi kuwa na maelefu ya watu wasiolipa kodi lakini tunawatunza kuanzia nyumba, umeme mpaka maji na wanachokifanya ni kuhakikisha regime inafuraha! Ni kwa sababu regime ina mamlaka na watu hao (wakuu wa wilaya, DAS, RCs, RASs). Makamu wa Rais na Waziri Mkuu. Regime structure iliyo na gharama kubwa kwa mnyonge wa uswahilini!! Yes, regime change!!

Badala ya kuonyesha kidole kwa Chadema, vipi CCM walioanzisha mchakato kwa kukataa maini ya wananchi yaliyokusanywa na Tume ya Katiba na kisha kupendekeza ile waliyokuwa na control nayo kupitia Bunge la Katiba halafu kila aliyefuata anasema sio kipaumbele na mwingine anasema tufanye maendeleo kwanza! Ni nani kati ya hawa hana nia njema ya Katiba??? Hata tu mamlaka ya kuamua kufunga au kufungulia vyombo vya habari ni maswala yanayohusu regime powers. Ipo siku tutapata Rais atakayetumia regime powers kufanya anachotaka bila yeyote kumzuia wala hata kusema!!

You are not Big Show but Big Shyte! Big body, small brain!! Partisan and a buffoon!
Tatizo lenu nyie ni mabingwa wa matusi. Kwa utafiti wangu ni kwamba asilimia kubwa ya watu ya aina yako mnaishi kwa frustration kubwa za kimaisha. Mkuu muone waziri Lukuvi akutafutia hata kishamba huko Mkuranga ukalime ili upunguze hizi stress
 
Kwanza hao wote uliowataja sio saizi yako infact unawajua hawakujui , unawafuatilia hawakufuatili

Sasa jiulize kwanini wewe mwenye akili unawajua wajinga wasiokujua?

Ofcourse siyo size yangu,

Mimi unifananishe na mafala Njaa kali wasio na mbele Wala nyuma kama yericko na mdude,hao ni bavicha wenzako mnaokaa nao na kudanganyana eti Wana harakat,teh teh ten
 
T

Tatizo lenu nyie ni mabingwa wa matusi. Kwa utafiti wangu ni kwamba asilimia kubwa ya watu ya aina yako mnaishi kwa frustration kubwa za kimaisha. Mkuu muone waziri Lukuvi akutafutia hata kishamba huko Mkuranga ukalime ili upunguze hizi stress

Wanachoshangaza Zaid,wakiambiwa waingie barabaran hawaendi wanategea...

Sijui ni makamanda gan hawa
 
Wanachoshangaza Zaid,wakiambiwa waingie barabaran hawaendi wanategea...

Sijui ni makamanda gan hawa
Unafikiri hata hao wajeda wote wanafurahiya Mambo yamayofanyika? Sema hivi vihela vya kupiga kiatu rangi inawasitirisha. Na watanzania hawapendi misukosuko ila vijana wa kisasa ni wabishi wataenda.

Tuseme Asante shule za kata zimesaidia vijana kujitambua.
 
Laiti Polisi wangekuwa taasisi huru kihivyo, kwamba wamkamate Kiongozi Mkuu wa Upinzani bila maelekezo toka kwa anayewateua. It is not so.

Na acheni lugha ya vijembe kama "mwanamke wa Kikurya"na mjikite kwenye kujenga hoja.

Kama ingekuwa kweli Polisi wamemkamata Mbowe bila kutumwa na Rais basi aamuru wamwachie awe huru.

The President is answerable for the actions of the Police. If it is true that they fouled up this way then she must sack the IGP. Amfukuze kazi kwani amemharibia sana. Amemdhalilisha na kudhalilisha taifa sana sana. We are back to looking like a banana republic.
Friends and Enemies,

Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,

Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...

Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,

Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,

After all chadema hawapo real kwenye HILI suala la katiba,they are not fighting for constitution reforms, instead they are after regime changes tuh,ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa hivi,hii ni kwa maslahi yao tuh,

Kama wanamanisha kweli basi wangeanza na chama Chao kwanza kufanya hizo reforms,kama wameshindwa ndan ya chama Chao kufanya hizo reforms wataanzaje kuwaza katiba ya nchi??

Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...
 
Friends and Enemies,

Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,

Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...

Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,

Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,

After all chadema hawapo real kwenye HILI suala la katiba,they are not fighting for constitution reforms, instead they are after regime changes tuh,ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa hivi,hii ni kwa maslahi yao tuh,

Kama wanamanisha kweli basi wangeanza na chama Chao kwanza kufanya hizo reforms,kama wameshindwa ndan ya chama Chao kufanya hizo reforms wataanzaje kuwaza katiba ya nchi??

Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...
Ndugu,
Acha kabisa hizo porojo. SSR alisema WAZIWAZI katiba mpya ni mpaka amalize kwanza kujenga uchumi, SIJUI lini.
Keshaeleweka kuwa hataki katiba mpya, anataka hii hii ya 1977 inayowaunda miunguwatu.
 
Back
Top Bottom