Rais hakuwatuma Polisi wamkamate Mbowe na kumpa kesi ya ugaidi

Kwann mnahangaika na chadema isiyo miliki hata rungu sembuse silaha au jeshi mna akili kweli,au mnapiga dili ya kulamba kodi zetu kupitia kamatakamata.
Maana KILA siku kamata achia kamata achia ieleweke hii biashara ya watu

Ain't nobody give a damn about chadema,

Nan anahangaika nao?wao ndiyo wanahangaika na sisi wananchi Tena kwa maslahi yao,lin sisi tumewatuma chadema kupambana kwa jasho na dam hivyo kudai katiba mpya?lin...
 
Friends and Enemies,

Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,

Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...

Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,

Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,

After all chadema hawapo real kwenye HILI suala la katiba,they are not fighting for constitution reforms, instead they are after regime changes tuh,ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa hivi,hii ni kwa maslahi yao tuh,

Kama wanamanisha kweli basi wangeanza na chama Chao kwanza kufanya hizo reforms,kama wameshindwa ndan ya chama Chao kufanya hizo reforms wataanzaje kuwaza katiba ya nchi??

Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...
Labda kwa taarifa yako na wengine wenye akili nyembamba kama uliyonayo ni kwamba bila kujali ni polisi wenyewe au ni Samia , Freeman Mbowe , Mwamba mwenyewe hajawahi kuogopa wala kuhofia kukamatwa na Polisi wa Tanzania , kwa sababu polisi wanamheshimu sana Mbowe kuliko unavyodhani na ndio wanaompa siri zote za wanaowatuma
 
Ain't nobody give a damn about chadema,

Nan anahangaika nao?wao ndiyo wanahangaika na sisi wananchi Tena kwa maslahi yao,lin sisi tumewatuma chadema kupambana kwa jasho na dam hivyo kudai katiba mpya?lin...
Why mnawapa big time kuwakamata.
Civilized educated people kelele za chura haxiwazuui kunywa maji.Watu hawana silaha zaidi Wana mdomo wa kuongea usiku wanalala.Nani kakwambia upinzani ni tishio la usalama wa nchi, upinzani una nguvu nyakati za uchaguzi ndipo uungwa mkono.
 
Katiba ya Chadema imewahi kufanyiwa mabadiliko mengi
Labda ulitaka katiba ya CHADEMA iweje kwa mfano?
Unadhani kuna kitu gani kibaya ndani ya katiba ya CHADEMA?
Hebu ilete humu katiba ya chadema nayo tuipitie… maana yawezekana wanadai kitu ambacho kwao ndani kimewashinda
 
EEti polisi walikuwa wanatimiza Jukumu lao,kwa hiyo ni jukumu la Polisi kukamata watu pasipo makosa??

Wameambiwa mikusanyiko lazima ipate kibali kutoka kwao,na hiyo ni order kama Wana kaidi sasa unataka wafanywe nin,

Pia nanyinyi muache ufala wa kulalamika tuh kwenye keyboard kwann hamuingii barabaran kuandamana??

Mtakaa kifala fala kwenye social media had Lin??ingien barabaran makamanda
 
Wameambiwa mikusanyiko lazima ipate kibali kutoka kwao,na hiyo ni order kama Wana kaidi sasa unataka wafanywe nin,

Pia nanyinyi muache ufala wa kulalamika tuh kwenye keyboard kwann hamuingii barabaran kuandamana??

Mtakaa kifala fala kwenye social media had Lin??ingien barabaran makamanda
Mikutano ya ndani haihitaji kibali!
Au unataka kwa sababu ni order basi waitii hata kama ni order haramu?
 
Friends and Enemies,

Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,

Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...

Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,

Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,

After all chadema hawapo real kwenye HILI suala la katiba,they are not fighting for constitution reforms, instead they are after regime changes tuh,ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa hivi,hii ni kwa maslahi yao tuh,

Kama wanamanisha kweli basi wangeanza na chama Chao kwanza kufanya hizo reforms,kama wameshindwa ndan ya chama Chao kufanya hizo reforms wataanzaje kuwaza katiba ya nchi??

Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...
Tunapotezeana muda tu, katiba mpya bila na mechanism ya kuhakikisha inatekelezwa ni upuuzi kwani hii iliyopo si inavunjwa tu. Katiba ni kitabu kama cheti cha ndoa ilivyo karatasi; mbona watu wanavinjari na michepuko kama hawana akili nzuri ingawa utaambiwa, ukitaka niwe wako tu, tufunge ndao
 
Friends and Enemies,

Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,

Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...

Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,

Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,

After all chadema hawapo real kwenye HILI suala la katiba,they are not fighting for constitution reforms, instead they are after regime changes tuh,ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa hivi,hii ni kwa maslahi yao tuh,

Kama wanamanisha kweli basi wangeanza na chama Chao kwanza kufanya hizo reforms,kama wameshindwa ndan ya chama Chao kufanya hizo reforms wataanzaje kuwaza katiba ya nchi??

Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...
Tatizo halipo kwa chadema. Serikali ijitambue kuwa mwendazake alishachafua Tanzania kimataifa. Kitendo alichofamyiwa Lissa dunia haikuamini Kama ni Tanzania ile wanayoijua.

Serikali inajua figisu nyingi wanazowafanyia watanzania. Wakasahau sio watanzania wote wajinga. Na hao CNN na BBC wanna watu wao wanafanya kazi zao huko Tanzania.

Mama Samia Rais watu achana na hao wanaokushauri kwa kubahatisha. Waite wapinzani wote uongee nao. Achana nahao wanaotetea vitumbua vyao. Nadhani taarifa nyingi za ukweli unazipata kwa wapinzani.

Mfano hili la Mbowe litathimini ili tabia hiyo ife tumbua waweke wazi majina yao.

La tozo nalo kula kichwa wakae pembeni. Watafafanyakazi kwa vinyongo na watasumbua attention za wananchi wako.
 
Why mnawapa big time kuwakamata.
Civilized educated people kelele za chura haxiwazuui kunywa maji.Watu hawana silaha zaidi Wana mdomo wa kuongea usiku wanalala.Nani kakwambia upinzani ni tishio la usalama wa nchi, upinzani una nguvu nyakati za uchaguzi ndipo uungwa mkono.

Police said,their god-damned chairman got a terrorism charges...we na mm tunawezaje kukataa na hatuna ushahid?

Tusubir polisi watuthibitishie,also we are resting to the cemetery many many of our loved ones,because of this third wave, mikusanyiko ya nini??
 
Udikteta wa Magufuli ulikuwa unaukemea leo unausifia ili upate justification ya kumlinda mama yako alieko ikulu, nyie wajinga mpo tayari kuona watanzania wanapata matatizo ili kulinda "interest" zenu ni wanafiki na wasaliti wakubwa wa hili taifa.
Udini ni useng..e
 
Friends and Enemies,

Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,

Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...

Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,

Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,

After all chadema hawapo real kwenye HILI suala la katiba,they are not fighting for constitution reforms, instead they are after regime changes tuh,ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa hivi,hii ni kwa maslahi yao tuh,

Kama wanamanisha kweli basi wangeanza na chama Chao kwanza kufanya hizo reforms,kama wameshindwa ndan ya chama Chao kufanya hizo reforms wataanzaje kuwaza katiba ya nchi??

Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...
Kumbe
JamiiForums-1797793390.jpg
 
Jamaa ni bogus sana, wana uwezo mdogo wa kuchambua mambo na kuyajengea hoja ya kueleweka.
Wazee wa kuomba tende uarabuni.
Si unaona hata ziito kabwe kisa udini hana kelele sana si mnakumbuka hata kpnd cha kikwete
 
Friends and Enemies,

Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,

Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...

Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,

Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,

After all chadema hawapo real kwenye HILI suala la katiba,they are not fighting for constitution reforms, instead they are after regime changes tuh,ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa hivi,hii ni kwa maslahi yao tuh,

Kama wanamanisha kweli basi wangeanza na chama Chao kwanza kufanya hizo reforms,kama wameshindwa ndan ya chama Chao kufanya hizo reforms wataanzaje kuwaza katiba ya nchi??

Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...

Hizi dini zilizoletwa na meli zimeharibu akili zetu waAfrika hadi tunatia kinyaa.

Tangu lini umekuwa msemaji wa Ikulu !.Rais angekuwa Irene au Stellah ungekuja na andiko lako la kipuuzi na unafiki.
 
Udikteta wa Magufuli ulikuwa unaukemea leo unausifia ili upate justification ya kumlinda mama yako alieko ikulu, nyie wajinga mpo tayari kuona watanzania wanapata matatizo ili kulinda "interest" zenu ni wanafiki na wasaliti wakubwa wa hili taifa.
@Mohamed Said Na THE BIG SHOW ni wadini kupindukia.
Leo hii hawa hawaoni baya kwa uongozi wa Mh.Samia kisa tu ni muislam mwenzao.
Watanzania wenye msimamo tumebaki wachache kama idadi ya faru weupe.
 
Tunapotezeana muda tu, katiba mpya bila na mechanism ya kuhakikisha inatekelezwa ni upuuzi kwani hii iliyopo si inavunjwa tu. Katiba ni kitabu kama cheti cha ndoa ilivyo karatasi; mbona watu wanavinjari na michepuko kama hawana akili nzuri ingawa utaambiwa, ukitaka niwe wako tu, tufunge ndao


Umeongea point Sana,

Mfano hai,kwa hii hii katiba tuliyonayo...inavunjwa waz waz kama hii ishu ya covid-19 hawa wa chadema...

Imetumika nguvu gan hasa hata ya kupelekea wananchi kuona uzito wa hilo suala lenyewe,si unaona wamerud kukaa kimya wakisubir huruma ya CCM??

Wangekuwa na akili kidogo wangeanza kudai tume huru ya uchaguz,wanaacha kuanza na vitu vya msingi wanakimbilia mambo MAKUBWA ambayo hata wenyewe ndan ya Chama yamewashinda
 
Friends and Enemies,

Miez kadhaa iliyopita enz za uongoz wa Magufuli,the so called constitution reform heroes walipewa jibu MOJA tuh na mwendazake,nalo ni siyo kipaombele chake,

Walikaaa kimya,na wengine walikimbilia Dubai na wengine Canada wengine wakahama chama na kumfuata kwenda kuunga mkono juhud za mwendazake,kumbe walimuelewa...JPM alikuwa anazungumza lugha ambayo kumbe kwao ilikua inaeleweka...

Baada ya samia Hassan SULUHU kuingia madarakan,wakaja Tena na hoja hiyo akawapa majibu kuwa nimewaskia,give me time nitaifanyia Kaz,nitarudisha uhuru wa habar, demokrasia na pia Soon or later nitakutana na wapinzan tuyazungumze kwa pamoja na kutibu majeraha ya pande zote mbili,, I guess like that was a huge mistake that president SAMIA did,..hawakuilewa lugha ile, instead ndipo wanaanza harakat zao wanazoziita constitution reforms,na mambo mengine mengi kisa wameona huyu alieopo saiz ni weak na ni mwanamke,she's weak kama alivyokawa kikwete ngoja tumuendeshe had ashindwe kuongoza nchi hii,,

Madam president,hakuwatuma polisi wamkamate mbowe na kumpa kesi ya ugaid,hiyo ni kaz ya polisi,

After all chadema hawapo real kwenye HILI suala la katiba,they are not fighting for constitution reforms, instead they are after regime changes tuh,ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa hivi,hii ni kwa maslahi yao tuh,

Kama wanamanisha kweli basi wangeanza na chama Chao kwanza kufanya hizo reforms,kama wameshindwa ndan ya chama Chao kufanya hizo reforms wataanzaje kuwaza katiba ya nchi??

Kama chadema wameamua kumfundisha madam president lugha ambayo wao chadema wanaielewa vyema kama ambavyo walikuwa wanaielewa ile ya marehem JPM basi wazungumze nae hiyo lugha,kukimbilia CNN au BBC haitawasaidia...
Kila dikteta lazima apingwe!
Lazima nchi ipate katiba bora!
Katiba bora itatupatia viongozi bora!
Kiongozi asiye tii katiba huyo ni mbovu na hafai.
 
Back
Top Bottom