Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
Ukomo wa mkiti kuongoza uliondolewa kinyemela na AbubakarKatiba ya Chadema imewahi kufanyiwa mabadiliko mengi
Labda ulitaka katiba ya CHADEMA iweje kwa mfano?
Unadhani kuna kitu gani kibaya ndani ya katiba ya CHADEMA?