Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 266
Kwangu mimi 'cheating' haina mjadala. Nikijua demu wangu kamegwa nje..uhusiano wetu kwishnehi. Haijalishi muda, fedha, watoto, wala kingine chochote.
Siwezi kabisa kudhalilishwa uanamume wangu na mwanamke kwa kuniibia na mwanamume mwingine.
How old are you?