inategemea na anaekutongoza
Wht do u mean?
inategemea na anaekutongoza
unajua mimi nilikuwa nakupenda sana ila tatizo ni wewe ulinizingua
Hivi siku hizi watu bado wanatongoza?
Haaah haaah ICHANA umenichekesha sana, mnaambiwa nini tu kama hamtongozwi?
hivi kuna kutongozana sikuhizi..
Wanaume wako wapi watongozaji?? Hadi ning' ate vidole, nikatekate majani, nisugue na miguu chini kwa jicho LA aibu, barua za kuchora hadi moyo, ukinywa maji unaniona....
Now day simple wassap, badoo, fb mnachat Mara tuonane Mara guest ushavuliwa bila kutongozwa
Mda wa kutongoza upo wap??
Sikuhizi tunamalizana kwenye mtandao kama Whatssap nk. Tukionana ni finishing tu, sijui ninapokukusomesha wewe unakuwa kwenu unakuwa ktk hali gani, ila ukiombwa no ya simu umetongozwa tayari.
Na hii inawapunguzia maksi za kuwa creative na tunaendelea kusamarize vitu hadi vya chumban...ukiombwa no jua kapenda...mkachat ....ukisikia kuonana juu ndo game kupigwa. Baada ya week kuachana
natamani kujua ulivokuwa enzi mzee anakutupia maneno matamu!
UNAKUMBUKA HII SIKU??
![]()