Nkobe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 2,162
- 3,162
Katika hali ambayo isiyo ya kawaida kwa sisi wasikilizaji wa BBC kipindi cha jioni. Radio Free wamekata ghafla matangazo ya BBC wakati Padre akielezea juu ya tahadhari ya Corona. Katika mahojiano hayo, Padre alisema kuwa kipindi cha nyuma wao kama viongozi wa dini walikuwa wakiitwa mara chache kuendesha ibada za mazishi, lakini sasa wamekuwa wakiitwa misiba mingi katika Parokia zao.
Baada ya kutamka neno hilo, ghafla Radio Free ikakatisha matangazo na kuwa kimya kwa muda, baada ya hapo wakaja na mada tofauti. Ikumbukwe kuwa Radio zote na Madaktari hawaruhusiwi kusema kuwa nchi ina Corona
Baada ya kutamka neno hilo, ghafla Radio Free ikakatisha matangazo na kuwa kimya kwa muda, baada ya hapo wakaja na mada tofauti. Ikumbukwe kuwa Radio zote na Madaktari hawaruhusiwi kusema kuwa nchi ina Corona