Ukweli kuhusu kauli ya Papa huu hapa, vyombo vya habari vinapotosha

Cetshwayo Kampande

JF-Expert Member
Nov 28, 2018
1,013
2,278
Kristo.

Kuhusu wapenzi wa jinsia Moja Papa anasemaje?

Ukweli uko hapa!

"Fiducia suplicans". Ni barua alioandika papa juu ya maana ya Baraka katika uchungaji.

"On the pastoral meaning of blessings"

Katika barua hiyo papa aliandika kujibu maswali ambayo watu wanauliza Sana Kanisa sasa, juu ya msimamo wa kanisa juu ya wapenzi wa jinsia Moja na ndoa za Jinsia Moja. Maana Kila papa katika kipindi chake analazimika kujibu maswali ya kijamii yanayogusa Imani.

Fiducia suplicans n kilatini maanake " n kwamba tusimamie wapi? "On the pastoral meaning of blessing"


Makuhani tusimamie wapi katika maana ya kichungaji ya kutoa Baraka? Papa hazungumzii katika hii barua habari za ndoa ya jinsia Moja, bali Kwa ujumla barua yote anaelezea hasa maana ya Baraka na mapadre watoeje Baraka katika kipindi hiki chenye mchanganyiko wa watu "wema" wenye bidii na pia kipindi chenye maovu yake mchanganyiko.


ANGALIZO
Kwenye hiyo barua papa anatatua changamoto Moja kwamba je mtu huyo mdhambi anaeishi ndoa ya jinsia Moja je anahaki yakubarikiwa?

Hapo hashughuliki hasa na swali eti kubariki ndoa ya jinsia Moja, ameweka wazi kabisa kuwa haifai na haiwezekani.

Kwenye barua anajibu swali kwamba je mtu Mmoja anastahili kubarikiwa? Haisemi abarikiwe kwasabab yeye ni shoga hapana ila kwasabab yeye n mtu.

Kwa maana nyingine je Kanisa liwatenge watu ambao ni mashoga?

Swali hilo limetokea wapi? Huku ulaya nduguzanguni watu hupenda mtu Mmoja Mmoja anakwenda Kwa Padre anamwambia Padre nibariki. Sisi pia huwa mtu unakuta anasafiri anakwenda Kwa Padre, "baba naomba Baraka nasafiri". Padre anambariki. Mtu anapeleka mbegu za kupanda baba naomba Baraka, mwanafunzi anakwenda Kwa Padre baba nimeleta vifaa vyangu vya shule naomba baraka, Padre anabariki.

Watu wakamuuliza papa je mtu mdhambi akimwambia Padre baba naomba Baraka je padre akatae? Aseme Baraka ni Kwa ajili ya watu wema?

Papa akasema Kama akija mtu yoyote akaomba kubarikiwa basi Padre anaweza kumbariki hata kama anaishi dhambi zake kama huyo wa jinsia Moja. Wasibaguliwe kwamba Baraka n ya watu fulan wema

Lakini wasibarikiwe wakiwa wawili kama vile ni wanandoa! Ametoa tahadhari kubwa kuzuia fikra zozote kwamba tunawabariki kama vile Kanisa linaruhusu maisha yao hapana! Ndugu zanguni Baraka sio sakramenti. Ndio maana Padre baada ya Misa anabariki wote hatengi wema zaidi na wakosefu Zaidi. Ila sakramenti sio Kila Mmoja anaruhusiwa. Watu wa ndoa ya jinsia Moja wao pia wamejifungia masakramenti.

Kwa waraka huo Padre anaweza kubariki watu wakiwa katika kundi kama kanisani au kikundi Cha Sala au wasafiri, pia mtu Mmoja Mmoja Padre anaweza kumbariki bila kumuuliza hali yake ya dhambi, hata kama anajua huyo mtu anaishi hali yake ya dhambi Padre ambariki tu. Kwanini maana kupitia Neema za Mungu mtu huweza kubadilishwa pia.

Luka 15:1. Siku moja, watozaushuru na wenye dhambi wengi walikwenda kumsikiliza Yesu. Mafarisayo na waalimu wa sheria wakaanza kunungunika: “Mtazameni mtu huyu! Anawakaribisha wenye dhambi, na tena anakula nao.....

Ngoja tuone baadhi ya nukuu kwenye barua hiyo.

Maelezo hayo yapo kwenye barua hiyo "Fiducia suplicans". Sura ya III

"Blessings of Couples in Irregular Situations and of Couples of the same sex". Kiswahili. Baraka Kwa wanaoishi wawili/kama mume na mke katika mazingira yasiyokuwa ya kiutaratib (utaratib kulingana na Kanisa) na ya watu wanaoishi pamoja wa jinsia Moja kama vile ni mume na mke.


Sasa Kwa kichwa hicho Cha habari anasemea sio tu watu wa jinsia Moja bali hata wale ambao hawapo katika ndoa inayotambuliwa kikanisa. Mfano wachumba wasibariki ndoa, wengine wameolewa mitara wote wanahusishwa kwenye kundi hilo. Papa anasema wote Padre anaweza kumbariki tu mtu huyo mkosefu akija Padre ambariki lakin anatoa mkazo isifanyike Baraka rasmi kama vile n sakramenti. Wala wasijisikie kuwa wanahalalishwa hapana.

Nanakuu hiyo barua
No 31. Uwezekano wa kutoa Baraka Kwa watu kama hao......

32. "Indeed the grace of God works in the lives of those who do not claim to be righteous but who acknowledge themselves humbly as sinners, like everyone else.".

"Hakika Neema ya Mungu hufanya kazi katika maisha ya wale ambao hawajidai kuwa wenye haki, lakini wanaojikubali Kwa unyenyekevu wakosefu "

Papa anasema Baraka hiyo ni Neema ambayo Mungu ataitumia kuwaongoa lakini Neema ya Mungu hufanya kazi ndani ya mtu anaekubali Kwa unyenyekev kuwa yeye ni mdhambi. Watu hao wakubali kuwa wao n wakosefu wampe Mungu ushirikiano.
No 33 "This is a blessing that, although not included in any liturgical rite........, "Hii ni baraka ambayo, ingawa haijajumuishwa katika ibada yoyote ya kiliturujia,

No 36 In this sense, it is essential to grasp the Holy Father’s concern that these non-ritualized blessings "kwa maana hii ni muhimu kutambua mtazamo wa baba mtakatifu kwamba hizi baraka ambazo sio rasmi kama zingine za kwenye ibada........ hapa anaonyesha ni za kawaida sio rasmi kama za kwenye liturjia

39. In any case, precisely to avoid any form of confusion or scandal, when the prayer of blessing is requested by a couple in an irregular situation, even though it is expressed outside the rites prescribed by the liturgical books, this blessing should never be imparted in concurrence with the ceremonies of a civil union, and not even in connection with them. Nor can it be performed with any clothing, gestures, or words that are proper to a wedding

39. .......this blessing should never be imparted in concurrence with the ceremonies of a civil union, and not even in connection with them. Nor can it be performed with any clothing, gestures, or words that are proper to a wedding

Baraka hizi zisitolewe Kwa namna yoyote inayoendana na muunganiko kama ule wa ndoa na Wala hata Kwa mfanano zisiendane, Wala zisifanywe kama Kwa mavaz ya ndoa ama ishara au maneno ya kubariki ndoa.

Civil union n msamiati wanaotumia zaidi Kwa watu wa jinsia moja anasema Baraka hizo zisielekee Wala Kwa namna yoyote inayoashiria kitu kama hicho.

Anaependa uisome mwenyewe kwenye mtandao "Fiducia suplicans" kuanzia no 31. Itajitokeza Kwa kiitalianoa lakin mwanzo wa document kushoto kabisa wameorodhesha lugha ya kuchagua bofya " Testo in lingua linglese" itabadilika kuwa Kwa kiingereza.
 
Kamati ya ufafanuzi ya Gerison Msigwa mmeingia kazini.

Kwamba wewe ndio umeelewa vizuri waraka wa papa ila wengine wanapotosha, sio?

Hakuna kilichopotoshwa, Papa kaamuru mashoga wakabarikiwe kanisani.

Kwa ujumla kanisa katoliki limeruhusu ndoa za jinsia moja. Mashoga wanaweza kuoana huko, wakaja kanisani kubarikiwa ama kubariki ndoa yao iwe takatifu inayopendeza machoni pa bwana😂 kwani imepata baraka zake kutoka kwa watumishi na wapakwa mafuta wake.

Kwa maana nyingine Kanisa limeruhusu sasa waumini mpakwe mafuta makalioni na wapaka mafuta wa bwana

Wakatoliki sasa mfirano ni rasmi. Wale mapadri waliokua wanafira watoto sasa wameruhusiwa rasmi kufirana na kila mtu
 
Kamati ya ufafanuzi ya Gerison Msigwa mmeingia kazini.

Kwamba wewe ndio umeelewa vizuri waraka wa papa ila wengine wanapotosha, sio?

Hakuna kilichopotoshwa, Papa kaamuru mashoga wakabarikiwe kanisani.

Kwa ujumla kanisa katoliki limeruhusu ndoa za jinsia moja. Mashoga wanaweza kuoana huko, wakaja kanisani kubarikiwa ama kubariki ndoa yao iwe takatifu inayopendeza machoni pa bwana😂 kwani imepata baraka zake kutoka kwa watumishi na wapakwa mafuta wake.

Kwa maana nyingine Kanisa limeruhusu sasa waumini mpakwe mafuta makalioni na wapaka mafuta wa bwana

Wakatoliki sasa mfirano ni rasmi. Wale mapadri waliokua wanafira watoto sasa wameruhusiwa rasmi kufirana na kila mtu
Ubaya jambo hili linajadiliwa katika mihemko ya kiimani zaidi hali inayopelekea watu wengi kutokana mlengo wake kurusha madongo kutokana na mtazamo wake na sio kujadili.......
 
Kristo.

Kuhusu wapenzi wa jinsia Moja Papa anasemaje?

Ukweli uko hapa!

"Fiducia suplicans". Ni barua alioandika papa juu ya maana ya Baraka katika uchungaji.

"On the pastoral meaning of blessings"

Katika barua hiyo papa aliandika kujibu maswali ambayo watu wanauliza Sana Kanisa sasa, juu ya msimamo wa kanisa juu ya wapenzi wa jinsia Moja na ndoa za Jinsia Moja. Maana Kila papa katika kipindi chake analazimika kujibu maswali ya kijamii yanayogusa Imani.

Fiducia suplicans n kilatini maanake " n kwamba tusimamie wapi? "On the pastoral meaning of blessing"


Makuhani tusimamie wapi katika maana ya kichungaji ya kutoa Baraka? Papa hazungumzii katika hii barua habari za ndoa ya jinsia Moja, bali Kwa ujumla barua yote anaelezea hasa maana ya Baraka na mapadre watoeje Baraka katika kipindi hiki chenye mchanganyiko wa watu "wema" wenye bidii na pia kipindi chenye maovu yake mchanganyiko.


ANGALIZO
Kwenye hiyo barua papa anatatua changamoto Moja kwamba je mtu huyo mdhambi anaeishi ndoa ya jinsia Moja je anahaki yakubarikiwa?

Hapo hashughuliki hasa na swali eti kubariki ndoa ya jinsia Moja, ameweka wazi kabisa kuwa haifai na haiwezekani.

Kwenye barua anajibu swali kwamba je mtu Mmoja anastahili kubarikiwa? Haisemi abarikiwe kwasabab yeye ni shoga hapana ila kwasabab yeye n mtu.

Kwa maana nyingine je Kanisa liwatenge watu ambao ni mashoga?

Swali hilo limetokea wapi? Huku ulaya nduguzanguni watu hupenda mtu Mmoja Mmoja anakwenda Kwa Padre anamwambia Padre nibariki. Sisi pia huwa mtu unakuta anasafiri anakwenda Kwa Padre, "baba naomba Baraka nasafiri". Padre anambariki. Mtu anapeleka mbegu za kupanda baba naomba Baraka, mwanafunzi anakwenda Kwa Padre baba nimeleta vifaa vyangu vya shule naomba baraka, Padre anabariki.

Watu wakamuuliza papa je mtu mdhambi akimwambia Padre baba naomba Baraka je padre akatae? Aseme Baraka ni Kwa ajili ya watu wema?

Papa akasema Kama akija mtu yoyote akaomba kubarikiwa basi Padre anaweza kumbariki hata kama anaishi dhambi zake kama huyo wa jinsia Moja. Wasibaguliwe kwamba Baraka n ya watu fulan wema

Lakini wasibarikiwe wakiwa wawili kama vile ni wanandoa! Ametoa tahadhari kubwa kuzuia fikra zozote kwamba tunawabariki kama vile Kanisa linaruhusu maisha yao hapana! Ndugu zanguni Baraka sio sakramenti. Ndio maana Padre baada ya Misa anabariki wote hatengi wema zaidi na wakosefu Zaidi. Ila sakramenti sio Kila Mmoja anaruhusiwa. Watu wa ndoa ya jinsia Moja wao pia wamejifungia masakramenti.

Kwa waraka huo Padre anaweza kubariki watu wakiwa katika kundi kama kanisani au kikundi Cha Sala au wasafiri, pia mtu Mmoja Mmoja Padre anaweza kumbariki bila kumuuliza hali yake ya dhambi, hata kama anajua huyo mtu anaishi hali yake ya dhambi Padre ambariki tu. Kwanini maana kupitia Neema za Mungu mtu huweza kubadilishwa pia.

Luka 15:1. Siku moja, watozaushuru na wenye dhambi wengi walikwenda kumsikiliza Yesu. Mafarisayo na waalimu wa sheria wakaanza kunungunika: “Mtazameni mtu huyu! Anawakaribisha wenye dhambi, na tena anakula nao.....

Ngoja tuone baadhi ya nukuu kwenye barua hiyo.

Maelezo hayo yapo kwenye barua hiyo "Fiducia suplicans". Sura ya III

"Blessings of Couples in Irregular Situations and of Couples of the same sex". Kiswahili. Baraka Kwa wanaoishi wawili/kama mume na mke katika mazingira yasiyokuwa ya kiutaratib (utaratib kulingana na Kanisa) na ya watu wanaoishi pamoja wa jinsia Moja kama vile ni mume na mke.


Sasa Kwa kichwa hicho Cha habari anasemea sio tu watu wa jinsia Moja bali hata wale ambao hawapo katika ndoa inayotambuliwa kikanisa. Mfano wachumba wasibariki ndoa, wengine wameolewa mitara wote wanahusishwa kwenye kundi hilo. Papa anasema wote Padre anaweza kumbariki tu mtu huyo mkosefu akija Padre ambariki lakin anatoa mkazo isifanyike Baraka rasmi kama vile n sakramenti. Wala wasijisikie kuwa wanahalalishwa hapana.

Nanakuu hiyo barua
No 31. Uwezekano wa kutoa Baraka Kwa watu kama hao......

32. "Indeed the grace of God works in the lives of those who do not claim to be righteous but who acknowledge themselves humbly as sinners, like everyone else.".

"Hakika Neema ya Mungu hufanya kazi katika maisha ya wale ambao hawajidai kuwa wenye haki, lakini wanaojikubali Kwa unyenyekevu wakosefu "

Papa anasema Baraka hiyo ni Neema ambayo Mungu ataitumia kuwaongoa lakini Neema ya Mungu hufanya kazi ndani ya mtu anaekubali Kwa unyenyekev kuwa yeye ni mdhambi. Watu hao wakubali kuwa wao n wakosefu wampe Mungu ushirikiano.
No 33 "This is a blessing that, although not included in any liturgical rite........, "Hii ni baraka ambayo, ingawa haijajumuishwa katika ibada yoyote ya kiliturujia,

No 36 In this sense, it is essential to grasp the Holy Father’s concern that these non-ritualized blessings "kwa maana hii ni muhimu kutambua mtazamo wa baba mtakatifu kwamba hizi baraka ambazo sio rasmi kama zingine za kwenye ibada........ hapa anaonyesha ni za kawaida sio rasmi kama za kwenye liturjia

39. In any case, precisely to avoid any form of confusion or scandal, when the prayer of blessing is requested by a couple in an irregular situation, even though it is expressed outside the rites prescribed by the liturgical books, this blessing should never be imparted in concurrence with the ceremonies of a civil union, and not even in connection with them. Nor can it be performed with any clothing, gestures, or words that are proper to a wedding

39. .......this blessing should never be imparted in concurrence with the ceremonies of a civil union, and not even in connection with them. Nor can it be performed with any clothing, gestures, or words that are proper to a wedding

Baraka hizi zisitolewe Kwa namna yoyote inayoendana na muunganiko kama ule wa ndoa na Wala hata Kwa mfanano zisiendane, Wala zisifanywe kama Kwa mavaz ya ndoa ama ishara au maneno ya kubariki ndoa.

Civil union n msamiati wanaotumia zaidi Kwa watu wa jinsia moja anasema Baraka hizo zisielekee Wala Kwa namna yoyote inayoashiria kitu kama hicho.

Anaependa uisome mwenyewe kwenye mtandao "Fiducia suplicans" kuanzia no 31. Itajitokeza Kwa kiitalianoa lakin mwanzo wa document kushoto kabisa wameorodhesha lugha ya kuchagua bofya " Testo in lingua linglese" itabadilika kuwa Kwa kiingereza.
Wacha porojo ndefu, papa kabariki ushoga kwa wakatoliki.

Ni wazi kwa wakatoliki sasa ushoga rukhsa rasmi na wanaweza kwenda kubarikiwa ndoa zao kanisani.
 
Hili jambo limepokelewa kwa taharuki sana na kwenye taharuki watu huongea na kunena mambo mengi sana......
Hii ni vita Kati ya Freemason na Jesuit, media zote kubwa zinamilikiwa na Illuminati.

Hakuna hata mtu mmoja Tanzania utakayemuuliza ulimsikia Kwa masikio yako Papa ameongea nini? hakuna hata mmoja atakayekujibu amemsikia Papa.

Watu wasiojuwa nguvu ya mashoga hawawezi kuelewa kinachoendelea na hii siyo habari ya Leo inarudiwa rudiwa Tu na chombo kikuu kinachotumiwa ni BBC.

BBC ni Uingereza, kanisa Lao ni Church of England Anglican wao walishamalizana nao, Kwa sasa kikwazo ni Vatican, wenye akili timamu wacha tukae pembeni tuone kwenye vita hii Nani ataibuka mshindi.

Ila ni fursa nzuri Kwa Manabii na mitume wa Leo kina Mwamposa kupata wafuasi zaidi.
 
Binafsi maelezo yako nimeyaelewa vizuri,suala la kuyakubali ni jambo lingine,ila kuelewa nimeyaelewa.

Kama nimeelewa vizuri ni kwamba papa ameruhusu mashoga wabarikiwe sio kwa sababu ya ushoga wao bali ni kwa sababu ya kuwa wao ni binadamu kama binadamu wengine.

Kwa maana kama ambavyo mwizi akienda kanisani anataka baraka kwa jambo lake ambalo halihusiani na wizi basi padre atambariki na baraka hizo haziendi kwenye kubariki wizi wake huo.

nimeelewa vyema kwamba ushoga ni dhambi kama zilivyo dhambi zingine za wizi,uzinifu,ufisadi n.k

Hivyo kama mwizi,mzinifu,fisadi,mla rushwa huwa wanaenda kanisani kupata baraka tena sio baraka za kubariki dhambi hizo basi na shoga nae pia anayo haki hiyo kupata baraka hizo ambazo hazihusiani na kubariki ushoga.

HOja hizi zina make sense kwa kila mtu lakini nadhani wapo watu ambao watachukuahii kama fimbo ya kuchapa watu fulani.

Baadhi yetu wa dini isiyokuwa ukristo tutatumia fimbo hii kuwachapia wakristo.

Na hata wasioamini dini watatukia hii kama fimbo kuwachapa watu wa dini.

NA pengine hata wakristo ambao sio wa dhehebu hilo watatumia hiyo kama fimbo kuwachapa watu wa dhehebu hili.
 
Kamati ya ufafanuzi ya Gerison Msigwa mmeingia kazini.

Kwamba wewe ndio umeelewa vizuri waraka wa papa ila wengine wanapotosha, sio?

Hakuna kilichopotoshwa, Papa kaamuru mashoga wakabarikiwe kanisani.

Kwa ujumla kanisa katoliki limeruhusu ndoa za jinsia moja. Mashoga wanaweza kuoana huko, wakaja kanisani kubarikiwa ama kubariki ndoa yao iwe takatifu inayopendeza machoni pa bwana kwani imepata baraka zake kutoka kwa watumishi na wapakwa mafuta wake.

Kwa maana nyingine Kanisa limeruhusu sasa waumini mpakwe mafuta makalioni na wapaka mafuta wa bwana

Wakatoliki sasa mfirano ni rasmi. Wale mapadri waliokua wanafira watoto sasa wameruhusiwa rasmi kufirana na kila mtu
Hakuna popote Pope karuhusu ndoa za jinsia moja, tusome kwa kuelewa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Binafsi maelezo yako nimeyaelewa vizuri,suala la kuyakubali ni jambo lingine,ila kuelewa nimeyaelewa.

Kama nimeelewa vizuri ni kwamba papa ameruhusu mashoga wabarikiwe sio kwa sababu ya ushoga wao bali ni kwa sababu ya kuwa wao ni binadamu kama binadamu wengine.

Kwa maana kama ambavyo mwizi akienda kanisani anataka baraka kwa jambo lake ambalo halihusiani na wizi basi padre atambariki na baraka hizo haziendi kwenye kubariki wizi wake huo.

nimeelewa vyema kwamba ushoga ni dhambi kama zilivyo dhambi zingine za wizi,uzinifu,ufisadi n.k

Hivyo kama mwizi,mzinifu,fisadi,mla rushwa huwa wanaenda kanisani kupata baraka tena sio baraka za kubariki dhambi hizo basi na shoga nae pia anayo haki hiyo kupata baraka hizo ambazo hazihusiani na kubariki ushoga.

HOja hizi zina make sense kwa kila mtu lakini nadhani wapo watu ambao watachukuahii kama fimbo ya kuchapa watu fulani.

Baadhi yetu wa dini isiyokuwa ukristo tutatumia fimbo hii kuwachapia wakristo.

Na hata wasioamini dini watatukia hii kama fimbo kuwachapa watu wa dini.

NA pengine hata wakristo ambao sio wa dhehebu hilo watatumia hiyo kama fimbo kuwachapa watu wa dhehebu hili.
Hiki ndio maana yake, ila watu wanapotosha kwa makusudi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kristo.

Kuhusu wapenzi wa jinsia Moja Papa anasemaje?

Ukweli uko hapa!

"Fiducia suplicans". Ni barua alioandika papa juu ya maana ya Baraka katika uchungaji.

"On the pastoral meaning of blessings"

Katika barua hiyo papa aliandika kujibu maswali ambayo watu wanauliza Sana Kanisa sasa, juu ya msimamo wa kanisa juu ya wapenzi wa jinsia Moja na ndoa za Jinsia Moja. Maana Kila papa katika kipindi chake analazimika kujibu maswali ya kijamii yanayogusa Imani.

Fiducia suplicans n kilatini maanake " n kwamba tusimamie wapi? "On the pastoral meaning of blessing"


Makuhani tusimamie wapi katika maana ya kichungaji ya kutoa Baraka? Papa hazungumzii katika hii barua habari za ndoa ya jinsia Moja, bali Kwa ujumla barua yote anaelezea hasa maana ya Baraka na mapadre watoeje Baraka katika kipindi hiki chenye mchanganyiko wa watu "wema" wenye bidii na pia kipindi chenye maovu yake mchanganyiko.


ANGALIZO
Kwenye hiyo barua papa anatatua changamoto Moja kwamba je mtu huyo mdhambi anaeishi ndoa ya jinsia Moja je anahaki yakubarikiwa?

Hapo hashughuliki hasa na swali eti kubariki ndoa ya jinsia Moja, ameweka wazi kabisa kuwa haifai na haiwezekani.

Kwenye barua anajibu swali kwamba je mtu Mmoja anastahili kubarikiwa? Haisemi abarikiwe kwasabab yeye ni shoga hapana ila kwasabab yeye n mtu.

Kwa maana nyingine je Kanisa liwatenge watu ambao ni mashoga?

Swali hilo limetokea wapi? Huku ulaya nduguzanguni watu hupenda mtu Mmoja Mmoja anakwenda Kwa Padre anamwambia Padre nibariki. Sisi pia huwa mtu unakuta anasafiri anakwenda Kwa Padre, "baba naomba Baraka nasafiri". Padre anambariki. Mtu anapeleka mbegu za kupanda baba naomba Baraka, mwanafunzi anakwenda Kwa Padre baba nimeleta vifaa vyangu vya shule naomba baraka, Padre anabariki.

Watu wakamuuliza papa je mtu mdhambi akimwambia Padre baba naomba Baraka je padre akatae? Aseme Baraka ni Kwa ajili ya watu wema?

Papa akasema Kama akija mtu yoyote akaomba kubarikiwa basi Padre anaweza kumbariki hata kama anaishi dhambi zake kama huyo wa jinsia Moja. Wasibaguliwe kwamba Baraka n ya watu fulan wema

Lakini wasibarikiwe wakiwa wawili kama vile ni wanandoa! Ametoa tahadhari kubwa kuzuia fikra zozote kwamba tunawabariki kama vile Kanisa linaruhusu maisha yao hapana! Ndugu zanguni Baraka sio sakramenti. Ndio maana Padre baada ya Misa anabariki wote hatengi wema zaidi na wakosefu Zaidi. Ila sakramenti sio Kila Mmoja anaruhusiwa. Watu wa ndoa ya jinsia Moja wao pia wamejifungia masakramenti.

Kwa waraka huo Padre anaweza kubariki watu wakiwa katika kundi kama kanisani au kikundi Cha Sala au wasafiri, pia mtu Mmoja Mmoja Padre anaweza kumbariki bila kumuuliza hali yake ya dhambi, hata kama anajua huyo mtu anaishi hali yake ya dhambi Padre ambariki tu. Kwanini maana kupitia Neema za Mungu mtu huweza kubadilishwa pia.

Luka 15:1. Siku moja, watozaushuru na wenye dhambi wengi walikwenda kumsikiliza Yesu. Mafarisayo na waalimu wa sheria wakaanza kunungunika: “Mtazameni mtu huyu! Anawakaribisha wenye dhambi, na tena anakula nao.....

Ngoja tuone baadhi ya nukuu kwenye barua hiyo.

Maelezo hayo yapo kwenye barua hiyo "Fiducia suplicans". Sura ya III

"Blessings of Couples in Irregular Situations and of Couples of the same sex". Kiswahili. Baraka Kwa wanaoishi wawili/kama mume na mke katika mazingira yasiyokuwa ya kiutaratib (utaratib kulingana na Kanisa) na ya watu wanaoishi pamoja wa jinsia Moja kama vile ni mume na mke.


Sasa Kwa kichwa hicho Cha habari anasemea sio tu watu wa jinsia Moja bali hata wale ambao hawapo katika ndoa inayotambuliwa kikanisa. Mfano wachumba wasibariki ndoa, wengine wameolewa mitara wote wanahusishwa kwenye kundi hilo. Papa anasema wote Padre anaweza kumbariki tu mtu huyo mkosefu akija Padre ambariki lakin anatoa mkazo isifanyike Baraka rasmi kama vile n sakramenti. Wala wasijisikie kuwa wanahalalishwa hapana.

Nanakuu hiyo barua
No 31. Uwezekano wa kutoa Baraka Kwa watu kama hao......

32. "Indeed the grace of God works in the lives of those who do not claim to be righteous but who acknowledge themselves humbly as sinners, like everyone else.".

"Hakika Neema ya Mungu hufanya kazi katika maisha ya wale ambao hawajidai kuwa wenye haki, lakini wanaojikubali Kwa unyenyekevu wakosefu "

Papa anasema Baraka hiyo ni Neema ambayo Mungu ataitumia kuwaongoa lakini Neema ya Mungu hufanya kazi ndani ya mtu anaekubali Kwa unyenyekev kuwa yeye ni mdhambi. Watu hao wakubali kuwa wao n wakosefu wampe Mungu ushirikiano.
No 33 "This is a blessing that, although not included in any liturgical rite........, "Hii ni baraka ambayo, ingawa haijajumuishwa katika ibada yoyote ya kiliturujia,

No 36 In this sense, it is essential to grasp the Holy Father’s concern that these non-ritualized blessings "kwa maana hii ni muhimu kutambua mtazamo wa baba mtakatifu kwamba hizi baraka ambazo sio rasmi kama zingine za kwenye ibada........ hapa anaonyesha ni za kawaida sio rasmi kama za kwenye liturjia

39. In any case, precisely to avoid any form of confusion or scandal, when the prayer of blessing is requested by a couple in an irregular situation, even though it is expressed outside the rites prescribed by the liturgical books, this blessing should never be imparted in concurrence with the ceremonies of a civil union, and not even in connection with them. Nor can it be performed with any clothing, gestures, or words that are proper to a wedding

39. .......this blessing should never be imparted in concurrence with the ceremonies of a civil union, and not even in connection with them. Nor can it be performed with any clothing, gestures, or words that are proper to a wedding

Baraka hizi zisitolewe Kwa namna yoyote inayoendana na muunganiko kama ule wa ndoa na Wala hata Kwa mfanano zisiendane, Wala zisifanywe kama Kwa mavaz ya ndoa ama ishara au maneno ya kubariki ndoa.

Civil union n msamiati wanaotumia zaidi Kwa watu wa jinsia moja anasema Baraka hizo zisielekee Wala Kwa namna yoyote inayoashiria kitu kama hicho.

Anaependa uisome mwenyewe kwenye mtandao "Fiducia suplicans" kuanzia no 31. Itajitokeza Kwa kiitalianoa lakin mwanzo wa document kushoto kabisa wameorodhesha lugha ya kuchagua bofya " Testo in lingua linglese" itabadilika kuwa Kwa kiingereza.
Kwani Biblia inasemaje ?

Au tuongeze CHAPTER na VERSE mpya.

Wakatoriki wengi ni wanafiki. Dini sio chama kwamba lazima awepo kiongozi bali miongozo inatosha. Papa ndio huyo na ndio kishasema hajamumunya iwe kubariki mashoga ama ushoga wenyewe.

(Ninachokijua Mimi , huo ni mtazamo wake binafsi sio wa wakatoriki)

Vinginevyo na wewe ni PAPA tu. Tena PAPA mkubwa mkubwa.
 
Kristo.

Kuhusu wapenzi wa jinsia Moja Papa anasemaje?

Ukweli uko hapa!

"Fiducia suplicans". Ni barua alioandika papa juu ya maana ya Baraka katika uchungaji.

"On the pastoral meaning of blessings"

Katika barua hiyo papa aliandika kujibu maswali ambayo watu wanauliza Sana Kanisa sasa, juu ya msimamo wa kanisa juu ya wapenzi wa jinsia Moja na ndoa za Jinsia Moja. Maana Kila papa katika kipindi chake analazimika kujibu maswali ya kijamii yanayogusa Imani.

Fiducia suplicans n kilatini maanake " n kwamba tusimamie wapi? "On the pastoral meaning of blessing"


Makuhani tusimamie wapi katika maana ya kichungaji ya kutoa Baraka? Papa hazungumzii katika hii barua habari za ndoa ya jinsia Moja, bali Kwa ujumla barua yote anaelezea hasa maana ya Baraka na mapadre watoeje Baraka katika kipindi hiki chenye mchanganyiko wa watu "wema" wenye bidii na pia kipindi chenye maovu yake mchanganyiko.


ANGALIZO
Kwenye hiyo barua papa anatatua changamoto Moja kwamba je mtu huyo mdhambi anaeishi ndoa ya jinsia Moja je anahaki yakubarikiwa?

Hapo hashughuliki hasa na swali eti kubariki ndoa ya jinsia Moja, ameweka wazi kabisa kuwa haifai na haiwezekani.

Kwenye barua anajibu swali kwamba je mtu Mmoja anastahili kubarikiwa? Haisemi abarikiwe kwasabab yeye ni shoga hapana ila kwasabab yeye n mtu.

Kwa maana nyingine je Kanisa liwatenge watu ambao ni mashoga?

Swali hilo limetokea wapi? Huku ulaya nduguzanguni watu hupenda mtu Mmoja Mmoja anakwenda Kwa Padre anamwambia Padre nibariki. Sisi pia huwa mtu unakuta anasafiri anakwenda Kwa Padre, "baba naomba Baraka nasafiri". Padre anambariki. Mtu anapeleka mbegu za kupanda baba naomba Baraka, mwanafunzi anakwenda Kwa Padre baba nimeleta vifaa vyangu vya shule naomba baraka, Padre anabariki.

Watu wakamuuliza papa je mtu mdhambi akimwambia Padre baba naomba Baraka je padre akatae? Aseme Baraka ni Kwa ajili ya watu wema?

Papa akasema Kama akija mtu yoyote akaomba kubarikiwa basi Padre anaweza kumbariki hata kama anaishi dhambi zake kama huyo wa jinsia Moja. Wasibaguliwe kwamba Baraka n ya watu fulan wema

Lakini wasibarikiwe wakiwa wawili kama vile ni wanandoa! Ametoa tahadhari kubwa kuzuia fikra zozote kwamba tunawabariki kama vile Kanisa linaruhusu maisha yao hapana! Ndugu zanguni Baraka sio sakramenti. Ndio maana Padre baada ya Misa anabariki wote hatengi wema zaidi na wakosefu Zaidi. Ila sakramenti sio Kila Mmoja anaruhusiwa. Watu wa ndoa ya jinsia Moja wao pia wamejifungia masakramenti.

Kwa waraka huo Padre anaweza kubariki watu wakiwa katika kundi kama kanisani au kikundi Cha Sala au wasafiri, pia mtu Mmoja Mmoja Padre anaweza kumbariki bila kumuuliza hali yake ya dhambi, hata kama anajua huyo mtu anaishi hali yake ya dhambi Padre ambariki tu. Kwanini maana kupitia Neema za Mungu mtu huweza kubadilishwa pia.

Luka 15:1. Siku moja, watozaushuru na wenye dhambi wengi walikwenda kumsikiliza Yesu. Mafarisayo na waalimu wa sheria wakaanza kunungunika: “Mtazameni mtu huyu! Anawakaribisha wenye dhambi, na tena anakula nao.....

Ngoja tuone baadhi ya nukuu kwenye barua hiyo.

Maelezo hayo yapo kwenye barua hiyo "Fiducia suplicans". Sura ya III

"Blessings of Couples in Irregular Situations and of Couples of the same sex". Kiswahili. Baraka Kwa wanaoishi wawili/kama mume na mke katika mazingira yasiyokuwa ya kiutaratib (utaratib kulingana na Kanisa) na ya watu wanaoishi pamoja wa jinsia Moja kama vile ni mume na mke.


Sasa Kwa kichwa hicho Cha habari anasemea sio tu watu wa jinsia Moja bali hata wale ambao hawapo katika ndoa inayotambuliwa kikanisa. Mfano wachumba wasibariki ndoa, wengine wameolewa mitara wote wanahusishwa kwenye kundi hilo. Papa anasema wote Padre anaweza kumbariki tu mtu huyo mkosefu akija Padre ambariki lakin anatoa mkazo isifanyike Baraka rasmi kama vile n sakramenti. Wala wasijisikie kuwa wanahalalishwa hapana.

Nanakuu hiyo barua
No 31. Uwezekano wa kutoa Baraka Kwa watu kama hao......

32. "Indeed the grace of God works in the lives of those who do not claim to be righteous but who acknowledge themselves humbly as sinners, like everyone else.".

"Hakika Neema ya Mungu hufanya kazi katika maisha ya wale ambao hawajidai kuwa wenye haki, lakini wanaojikubali Kwa unyenyekevu wakosefu "

Papa anasema Baraka hiyo ni Neema ambayo Mungu ataitumia kuwaongoa lakini Neema ya Mungu hufanya kazi ndani ya mtu anaekubali Kwa unyenyekev kuwa yeye ni mdhambi. Watu hao wakubali kuwa wao n wakosefu wampe Mungu ushirikiano.
No 33 "This is a blessing that, although not included in any liturgical rite........, "Hii ni baraka ambayo, ingawa haijajumuishwa katika ibada yoyote ya kiliturujia,

No 36 In this sense, it is essential to grasp the Holy Father’s concern that these non-ritualized blessings "kwa maana hii ni muhimu kutambua mtazamo wa baba mtakatifu kwamba hizi baraka ambazo sio rasmi kama zingine za kwenye ibada........ hapa anaonyesha ni za kawaida sio rasmi kama za kwenye liturjia

39. In any case, precisely to avoid any form of confusion or scandal, when the prayer of blessing is requested by a couple in an irregular situation, even though it is expressed outside the rites prescribed by the liturgical books, this blessing should never be imparted in concurrence with the ceremonies of a civil union, and not even in connection with them. Nor can it be performed with any clothing, gestures, or words that are proper to a wedding

39. .......this blessing should never be imparted in concurrence with the ceremonies of a civil union, and not even in connection with them. Nor can it be performed with any clothing, gestures, or words that are proper to a wedding

Baraka hizi zisitolewe Kwa namna yoyote inayoendana na muunganiko kama ule wa ndoa na Wala hata Kwa mfanano zisiendane, Wala zisifanywe kama Kwa mavaz ya ndoa ama ishara au maneno ya kubariki ndoa.

Civil union n msamiati wanaotumia zaidi Kwa watu wa jinsia moja anasema Baraka hizo zisielekee Wala Kwa namna yoyote inayoashiria kitu kama hicho.

Anaependa uisome mwenyewe kwenye mtandao "Fiducia suplicans" kuanzia no 31. Itajitokeza Kwa kiitalianoa lakin mwanzo wa document kushoto kabisa wameorodhesha lugha ya kuchagua bofya " Testo in lingua linglese" itabadilika kuwa Kwa kiingereza.
Fuata maelekezo ya kiongozi wako, tafuta bwana uolewe
Screenshot_20231220-062836.jpg
 
Hii ni vita Kati ya Freemason na Jesuit, media zote kubwa zinamilikiwa na Illuminati.

Hakuna hata mtu mmoja Tanzania utakayemuuliza ulimsikia Kwa masikio yako Papa ameongea nini? hakuna hata mmoja atakayekujibu amemsikia Papa.

Watu wasiojuwa nguvu ya mashoga hawawezi kuelewa kinachoendelea na hii siyo habari ya Leo inarudiwa rudiwa Tu na chombo kikuu kinachotumiwa ni BBC.

BBC ni Uingereza, kanisa Lao ni Church of England Anglican wao walishamalizana nao, Kwa sasa kikwazo ni Vatican, wenye akili timamu wacha tukae pembeni tuone kwenye vita hii Nani ataibuka mshindi.

Ila ni fursa nzuri Kwa Manabii na mitume wa Leo kina Mwamposa kupata wafuasi zaidi.
Basi tueleze wewe papa kasemaje kuhusu machoko?
 
Binafsi maelezo yako nimeyaelewa vizuri,suala la kuyakubali ni jambo lingine,ila kuelewa nimeyaelewa.

Kama nimeelewa vizuri ni kwamba papa ameruhusu mashoga wabarikiwe sio kwa sababu ya ushoga wao bali ni kwa sababu ya kuwa wao ni binadamu kama binadamu wengine.

Kwa maana kama ambavyo mwizi akienda kanisani anataka baraka kwa jambo lake ambalo halihusiani na wizi basi padre atambariki na baraka hizo haziendi kwenye kubariki wizi wake huo.

nimeelewa vyema kwamba ushoga ni dhambi kama zilivyo dhambi zingine za wizi,uzinifu,ufisadi n.k

Hivyo kama mwizi,mzinifu,fisadi,mla rushwa huwa wanaenda kanisani kupata baraka tena sio baraka za kubariki dhambi hizo basi na shoga nae pia anayo haki hiyo kupata baraka hizo ambazo hazihusiani na kubariki ushoga.

HOja hizi zina make sense kwa kila mtu lakini nadhani wapo watu ambao watachukuahii kama fimbo ya kuchapa watu fulani.

Baadhi yetu wa dini isiyokuwa ukristo tutatumia fimbo hii kuwachapia wakristo.

Na hata wasioamini dini watatukia hii kama fimbo kuwachapa watu wa dini.

NA pengine hata wakristo ambao sio wa dhehebu hilo watatumia hiyo kama fimbo kuwachapa watu wa dhehebu hili.
Naona mnajaribu kuutetea ushoga na usenge kwa nguvu zote
Mwizi akienda kanisani utamjuaje mzinifu utamjuaje
Ila shoga likienda kanisani na mumewe au mkewe mwanaume mwenzie
Au sagaji likienda na mkewe au mmewe mwanamke mwenzie
Endeleeni kuutetea usenge na usagaji mnatumia nguvu kuubwa kuhalalisha upuuzi upuuzi
 
Back
Top Bottom