Raba mbaya kama hii eti $ 98

The Businessman

JF-Expert Member
Jan 9, 2014
7,404
9,234
Hii Raba ukiniletea hata bure sipokei inauzwa $98 yaani unapata Safari boot mpya kama nne.
2017-Cheap-Adidas-Originals-NMD-X-Gucci-Black-Running-Shoes-S70166-For-Sale-600x398.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu RGforever , Ondoa kusema "masikini ndio tulivyo" Mimi naongelea ubaya wa kiatu kilivyo na bei ilivyo angalau kwa bei hiyo tungeona hata kiatu cha maana.

Au macho yangu mabovu?
 
Mkuu RGforever , Ondoa kusema "masikini ndio tulivyo" Mimi naongelea ubaya wa kiatu kilivyo na bei ilivyo angalau kwa bei hiyo tungeona hata kiatu cha maana.

Au macho yangu mabovu?
Hiyo ni Gucci fake. Ikiwa Original ni symbol ya Status.
Kama mjengo kuwa symbol of status bongo. Nchi nyingine kuwa na mjengo ni kitu cha muda mrefu, up to 20yrs of payment, kwa hiyo mkodishaji na mnunuzi huwezi kuwatofautisha.
Ka hiyo, vitu kama hivyo ndiyo mtama.
 
Hivi ni design ya zamani na bei ya chini kabisa
Lakini ukitaka vya bei ya juu vipo mpaka $550 maduka ya Gucci
Jina ndio unanunua sio kiatu
Ila sio fake hiyo ni sawa kwa bei hiyo ingawa shepu sio ya kuvutia

Sent from my SM using Tapatalk
 
Hii Raba ukiniletea hata bure sipokei inauzwa $98 yaani unapata Safari boot mpya kama nne.View attachment 846733

Sent using Jamii Forums mobile app
ukitaka ujue akina nyani ngabu wa huko kwa Tlampu wanavyo zimezea mate huko kwenye hood za wanao jiita nigga nenda youtube halafu uandike

gucci and itching powder pranks uone vituko. ukishindwa kucheka uje nikurudishie bando lako
 
vingine ni kama yeezy shoes hata mimi ukinipa bure sichukui labda kwa ajili ya kufanyia mazoezi
 
Hivi ni design ya zamani na bei ya chini kabisa
Lakini ukitaka vya bei ya juu vipo mpaka $550 maduka ya Gucci
Jina ndio unanunua sio kiatu
Ila sio fake hiyo ni sawa kwa bei hiyo ingawa shepu sio ya kuvutia

Sent from my SM using Tapatalk
Sio unanunua jina , kweny marketing kuna kitu kinaitwa marketing segmentation.....ukienda further more ndani yake kuna kitu kinaitwa niche market,,,, hilo ni aina ya soko ambolo targeted people ni wachache mno hivo hupelekea vitu kutengenezwa Kwa ajili ya hao tu Na huwa bei kubwa Sana.... uzuri wa hilo soko muhitaji anaweza enda kiwandand kuelekeza jinsi anavotaka kitu kitengenezwe.......Kwa hiyo basi makampun Kama Gucci hutumia hiyo!!!!!! Ila ukweli buti baya hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio unanunua jina , kweny marketing kuna kitu kinaitwa marketing segmentation.....ukienda further more ndani yake kuna kitu kinaitwa niche market,,,, hilo ni aina ya soko ambolo targeted people ni wachache mno hivo hupelekea vitu kutengenezwa Kwa ajili ya hao tu Na huwa bei kubwa Sana.... uzuri wa hilo soko muhitaji anaweza enda kiwandand kuelekeza jinsi anavotaka kitu kitengenezwe.......Kwa hiyo basi makampun Kama Gucci hutumia hiyo!!!!!! Ila ukweli buti baya hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
I know na umelielezea kwa uzuri ila all in all jina ndio linauza hapo kwa mfano ukienda Italy utakuta watu wanauza mabegi ya designers wote ambazo ni fake
Lakini hata ukiwa mtalii ukanunua hayo mabegi unapigwa faini ya nguvu
Kama mama mmoja kanunua Louis Voitton bag kalambwa €1000 on the spot



Sent from my SM using Tapatalk
 
Back
Top Bottom