The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,234
Hii Raba ukiniletea hata bure sipokei inauzwa $98 yaani unapata Safari boot mpya kama nne.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni Gucci fake. Ikiwa Original ni symbol ya Status.Mkuu RGforever , Ondoa kusema "masikini ndio tulivyo" Mimi naongelea ubaya wa kiatu kilivyo na bei ilivyo angalau kwa bei hiyo tungeona hata kiatu cha maana.
Au macho yangu mabovu?
mambo ya wanyamwezi hayo
ukitaka ujue akina nyani ngabu wa huko kwa Tlampu wanavyo zimezea mate huko kwenye hood za wanao jiita nigga nenda youtube halafu uandikeHii Raba ukiniletea hata bure sipokei inauzwa $98 yaani unapata Safari boot mpya kama nne.View attachment 846733
Sent using Jamii Forums mobile app
amekwambia ndivyo yalivyo macho ya maskiniMkuu RGforever , Ondoa kusema "masikini ndio tulivyo" Mimi naongelea ubaya wa kiatu kilivyo na bei ilivyo angalau kwa bei hiyo tungeona hata kiatu cha maana.
Au macho yangu mabovu?
Hii Raba ukiniletea hata bure sipokei inauzwa $98 yaani unapata Safari boot mpya kama nne.View attachment 846733
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Raba ukiniletea hata bure sipokei inauzwa $98 yaani unapata Safari boot mpya kama nne.View attachment 846733
Sent using Jamii Forums mobile app
Abeeeh ooh nilijua umetuita hapa wanayamwezi wote.
Gucci Kasie.
Kasie tosimbana maboko.
Sijui mwenyewe yukwapi. ....
hahahaha na ww ni mnyamwezi kumbeAbeeeh ooh nilijua umetuita hapa wanayamwezi wote.
Gucci Kasie.
Kasie tosimbana maboko.
Sijui mwenyewe yukwapi. ....
Sio unanunua jina , kweny marketing kuna kitu kinaitwa marketing segmentation.....ukienda further more ndani yake kuna kitu kinaitwa niche market,,,, hilo ni aina ya soko ambolo targeted people ni wachache mno hivo hupelekea vitu kutengenezwa Kwa ajili ya hao tu Na huwa bei kubwa Sana.... uzuri wa hilo soko muhitaji anaweza enda kiwandand kuelekeza jinsi anavotaka kitu kitengenezwe.......Kwa hiyo basi makampun Kama Gucci hutumia hiyo!!!!!! Ila ukweli buti baya hiloHivi ni design ya zamani na bei ya chini kabisa
Lakini ukitaka vya bei ya juu vipo mpaka $550 maduka ya Gucci
Jina ndio unanunua sio kiatu
Ila sio fake hiyo ni sawa kwa bei hiyo ingawa shepu sio ya kuvutia
Sent from my SM using Tapatalk
I know na umelielezea kwa uzuri ila all in all jina ndio linauza hapo kwa mfano ukienda Italy utakuta watu wanauza mabegi ya designers wote ambazo ni fakeSio unanunua jina , kweny marketing kuna kitu kinaitwa marketing segmentation.....ukienda further more ndani yake kuna kitu kinaitwa niche market,,,, hilo ni aina ya soko ambolo targeted people ni wachache mno hivo hupelekea vitu kutengenezwa Kwa ajili ya hao tu Na huwa bei kubwa Sana.... uzuri wa hilo soko muhitaji anaweza enda kiwandand kuelekeza jinsi anavotaka kitu kitengenezwe.......Kwa hiyo basi makampun Kama Gucci hutumia hiyo!!!!!! Ila ukweli buti baya hilo
Sent using Jamii Forums mobile app