Raba mbaya kama hii eti $ 98

Raba mbaya kama hii eti $ 98

gucc.PNG
 
Sio unanunua jina , kweny marketing kuna kitu kinaitwa marketing segmentation.....ukienda further more ndani yake kuna kitu kinaitwa niche market,,,, hilo ni aina ya soko ambolo targeted people ni wachache mno hivo hupelekea vitu kutengenezwa Kwa ajili ya hao tu Na huwa bei kubwa Sana.... uzuri wa hilo soko muhitaji anaweza enda kiwandand kuelekeza jinsi anavotaka kitu kitengenezwe.......Kwa hiyo basi makampun Kama Gucci hutumia hiyo!!!!!! Ila ukweli buti baya hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
umenikumbusha mbali sana 2nd yr kipindi hicho marketing management
 
I know na umelielezea kwa uzuri ila all in all jina ndio linauza hapo kwa mfano ukienda Italy utakuta watu wanauza mabegi ya designers wote ambazo ni fake
Lakini hata ukiwa mtalii ukanunua hayo mabegi unapigwa faini ya nguvu
Kama mama mmoja kanunua Louis Voitton bag kalambwa €1000 on the spot



Sent from my SM using Tapatalk
Waliomuuzia nao walifanywaje? What if nikisema sijui tofauti ya feki na og?
 
Mkuu RGforever , Ondoa kusema "masikini ndio tulivyo" Mimi naongelea ubaya wa kiatu kilivyo na bei ilivyo angalau kwa bei hiyo tungeona hata kiatu cha maana.

Au macho yangu mabovu?
Lkn ubaya uko machoni pa mtu bro. Hio raba iko mwake kabisa
 
Back
Top Bottom