Natafuta mteja wa chap chap nauza tv mpya inch 55 aiwa, imekufa kioo. Bei alfu 70 mazungumzo yapo.

Oct 31, 2021
32
52
Tv ipo dar es salaam location za mansese, tv ni mpya kabisa lakini imekufa kioo tu. Kwa iyo nauza hivyo hivyo ilivyo. Naposema nauza tv iliyokufa kioo sio wote watanielewa! Taarifa hii inawahusu watu wachache sana, Call 0783 708437.
20231101_174434.jpg
20231101_174500.jpg
IMG-20231030-WA0001.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 20230808_124925.jpg
    20230808_124925.jpg
    16.7 KB · Views: 7
Back
Top Bottom