Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,916
Ulikuwa wizi wa ajabu sana lakini pia uliopitiliza viwango vya uoga na kutoogopa sheria.. Kulikuwa na tatizo kubwa mahali.. Tatizo ka kimfumo na kiutendaji katika kada nzima ya ulinzi na usalama wa raia na mali zako
Kilichotisha zaidi wizi huu ulikuwa wa kuanzia vitu vidogo mpaka vitu vya gharama kubwa.. Na sometimes mnunuzi alijua kabisa hicho kitu ni cha wizi na baadhi ya vikundi vya wizi vilimilikiwa ama kufadhiliwa na haohao wanunuzi
Unakatiza mitaani na raba yako kali.. Mtu anaulizwa unaitaka ile? Ukikubali mnapatana bei kabisa na kutoa advance.. Chini ya lisaa unaletewa mzigo wako na kumalizia pesa
Viatu, saa, nguo simu tv radio nknk viliuzwa kwa mtindo huo.. Kinapataniwa bei kikiwa chini ya umiliki wako.. Na watakichukua tu iwe
Kwa kuibiwa
Kwa kuporwa
Kutapeliwa ama hata kunyang'anywa kwa nguvu
Kuna wengine walifanyiwa hivyo mpaka kwenye vitu vikubwa kama magari, nyumba mashamba na viwanja! Na huna cha kuwafanya hata ukithubutu kwenda mbele ya sheria.. Mfumo uliingiliwa na dosari kubwa
Sasa ni kama haya mambo yanataka kurudi tena! Lakini sasa si kwenye mali bali kwenye uhai..
Yaani unapangiwa kudhulumiwa haki yako ya kuishi hivi hivi mchana kweupe na watu hawajali wala kuogopa!
Nimekuta mahali taarifa ya kifo imetolewa siku moja kabla mhusika umma haujatangaziwa kifo chake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilichotisha zaidi wizi huu ulikuwa wa kuanzia vitu vidogo mpaka vitu vya gharama kubwa.. Na sometimes mnunuzi alijua kabisa hicho kitu ni cha wizi na baadhi ya vikundi vya wizi vilimilikiwa ama kufadhiliwa na haohao wanunuzi
Unakatiza mitaani na raba yako kali.. Mtu anaulizwa unaitaka ile? Ukikubali mnapatana bei kabisa na kutoa advance.. Chini ya lisaa unaletewa mzigo wako na kumalizia pesa
Viatu, saa, nguo simu tv radio nknk viliuzwa kwa mtindo huo.. Kinapataniwa bei kikiwa chini ya umiliki wako.. Na watakichukua tu iwe
Kwa kuibiwa
Kwa kuporwa
Kutapeliwa ama hata kunyang'anywa kwa nguvu
Kuna wengine walifanyiwa hivyo mpaka kwenye vitu vikubwa kama magari, nyumba mashamba na viwanja! Na huna cha kuwafanya hata ukithubutu kwenda mbele ya sheria.. Mfumo uliingiliwa na dosari kubwa
Sasa ni kama haya mambo yanataka kurudi tena! Lakini sasa si kwenye mali bali kwenye uhai..
Yaani unapangiwa kudhulumiwa haki yako ya kuishi hivi hivi mchana kweupe na watu hawajali wala kuogopa!
Nimekuta mahali taarifa ya kifo imetolewa siku moja kabla mhusika umma haujatangaziwa kifo chake
Sent using Jamii Forums mobile app