ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,381
- 5,223
Kuna rafiki yangu nilifanya naye kazi tukiwa katika shirika la WFP lakini baada ya COVID 19 ikaharibu mambo na hatujaonana tena.
Sasa mwezi wa 7 amenialika kutembelea huko na kufurahia, niko nafatilia passport japo kuna usumbufu naupata.
Naomba mdau aliyefika taifa hilo anielekeze maisha yakoje, utamaduni, tabia gani nijiepushe nazo.
Mimi napendelea sana kupiga kilaji (pombe) sijui hii huduma nitapata au ni kama Zanzibar.
Tuombeane heri nikamilishe mipango ya safari na me nikapaone huko duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mwezi wa 7 amenialika kutembelea huko na kufurahia, niko nafatilia passport japo kuna usumbufu naupata.
Naomba mdau aliyefika taifa hilo anielekeze maisha yakoje, utamaduni, tabia gani nijiepushe nazo.
Mimi napendelea sana kupiga kilaji (pombe) sijui hii huduma nitapata au ni kama Zanzibar.
Tuombeane heri nikamilishe mipango ya safari na me nikapaone huko duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app