uongo ni sumu mbaya kwa ndoa

Ndoa nyingi zinaingia dosari na hatimaye kuzusha migogoro mikubwa,kwa sababu za uongo wa wanandoa.Sasa mmeamua wenyewe kuoana,kwani mnaongopeana?.Acheni hii tabia mnasababisha taasisi ya ndoa kupigwa dhoruba,na sisi ambao tumejitolea kusaidia watu kuoana,tunapata taabu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Funguka usaidiwe. Kimekukuta nini!? Au nani!?
 
Back
Top Bottom