Hii Raba ukiniletea hata bure sipokei inauzwa $98 yaani unapata Safari boot mpya kama nne.View attachment 846733
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaaa nilijua tuuuuu! Wacha weeee ,nigawie cha kufanyia majoeji
Wanakamatwa sana na sheria inakuambia haina mjingaWaliomuuzia nao walifanywaje? What if nikisema sijui tofauti ya feki na og?
Haswaaaaa.Vipi, ni vijuri kama alivyo dada eeh? Dada naye mjuuri kweli...
Yaaani USD 1590 x Tzs 2,200/= .........3,489,000/= !!!!! Hiyo bei si ni ya uwanja kule kwenye Jiji Jipya !!
Mwanaume kujiita Pretty inaleta alarm fulaniKuna watu wanapenda gucci balaa, mimi namkubal kiaina sababu nna madizaina wangu wengine kama Louis V, Ila Kuna jamaa IG anajiita @prettymikeoflagos aisee anapenda gucci balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume kujiita Pretty inaleta alarm fulani