Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Enzi za Manji walikuwa wanalipiwa wanaingia bure, msimu uliopita na huu Ahmed Ally wakati anapita mitaani na kispika wasemaji wao Yanga walisema kwa majira tofauti kwamba hawawezi kupita mtaani na kispika mashabiki wao watakuja tu wenyewe uwanjani.
Juzi wametangaza kiingilio ni bure ila uwe na jezi original but ni kuzuga tu ila bure mageti yatafunguliwa hamna atakayeweza kuhakiki hizo jezi, kwanza usalama utakuwa mdogo maana ni bure mashabiki watajaa lazima warukute mageti au kuyavunja.
Walipowafunga Simba wakagawa supu bure ,walijaa jangwani kufuata supu.
Kwani mashabiki wa hii timu wanapenda dezo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi wametangaza kiingilio ni bure ila uwe na jezi original but ni kuzuga tu ila bure mageti yatafunguliwa hamna atakayeweza kuhakiki hizo jezi, kwanza usalama utakuwa mdogo maana ni bure mashabiki watajaa lazima warukute mageti au kuyavunja.
Walipowafunga Simba wakagawa supu bure ,walijaa jangwani kufuata supu.
Kwani mashabiki wa hii timu wanapenda dezo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app