sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Kili lili liliiii... Mie nshasimama mlangoni nashangilia kwa raha zangu.. Gee tuwekee kiburudisho bana!Gee hebu harakisha mlete mtoto Malkia hapa tafadhali!
Kili lili liliiii... Mie nshasimama mlangoni nashangilia kwa raha zangu.. Gee tuwekee kiburudisho bana!Gee hebu harakisha mlete mtoto Malkia hapa tafadhali!
Usiwe na wasiwasi. Queen si mtu wa papara na si mdotcom kivile. Atakuja tu.
Kumbuka, good things come to those who wait.
Shaka ondoa, upo kwenye maombi tayari ikibidi tutafunga siku 7!nisaidieni kwa maombi ili tuweze kupiga vigelegele wakuu.
Baby mama drama/ baby daddy drama follows those who are dramatic.
Nimeandaa ulimi kwa kigelegele
Hahahaaa kweli we chiboko, sio mambo ya kuitwa tu na kukurupuka...lol
Kwa hiyo Ngabu ndo atakuwa dadiye eeh?
Mike, kumtanguliza Mungu kwa yote ni jambo jema sana.
Umekuja kwa heshima na uadilifu na sishangazwi kabisa na responce unayopata
Kila la kheri kaka!
la msingi mkuu baada ya bodi ya viwango kukupasisha ni kuamini ile nadharia ya CCM kuwa ushindi ni lazima. Usipoteze u gentlemanly wako, lkn unahakikisha hapindui
Eeh na alokosa mbuyu basi huyo Arudi motoni...lol!Yaani humu ndani kila shetani na mbuyu wake. Queen na Ngabu, Gee na ...., Bee na ....
Tunaombwa tusindikize kwa burudani.
anakuja jamani qeen jiandaeni!!
mimi hujaniona?
nawashukuru sana aisee,ujue ukiwa serious na jambo lazima utumie heshima na uadilifu.Hata hivyo lazima nije kwa heshima sababu nawaheshimu sana mkuu.
Eeh na alokosa mbuyu basi huyo Arudi motoni...lol!
Sweetlady upo hapo....
Achia kitu cha burdani basi, unabana sana siku hizi!
Nipo mpendwa, mwambie bana aache uchoyo huyu Gee, mda wote mgeni anamwaga sera hajapata hata burudani ya kuzisindikiza sera zake!Eeh na alokosa mbuyu basi huyo Arudi motoni...lol!
Sweetlady upo hapo....
Achia kitu cha burdani basi, unabana sana siku hizi!
Hapana, Malkia lazima kwanza amsome Mr. anavyo interact na watu. Anasoma hulka taratibu, baadae atajichomoza
Ikiwa time tayari, Ngabu atakuja nae )
Hahahaaa kweli we chiboko, sio mambo ya kuitwa tu na kukurupuka...lol
Kwa hiyo Ngabu ndo atakuwa dadiye eeh?
Weka sasa...Eee special dedication nitaweka mchiriku wa Ferooz "Ndege mtini"
Shaka ondoa, upo kwenye maombi tayari ikibidi tutafunga siku 7!