Q & A ya Mhe. Rais & Mhe. Abdallah Possi

Q & A ya Mhe. Rais & Mhe. Abdallah Possi

eti wanapewa uongozi watu wanaofanya majaribio ya kuongoza..
kizungu kilichompa elimu hakijui..
sheria hata za ofisi yake hazijui..
ushauri hataki..
toba toba..
tutaogopa hata kujitambulisha nje,maana kiongozi hutoa taswira ya anaowaongoza..
ila bahati mbaya hatukumchagua sisi..
 
Mkuu Chige, hii ni number nyingine, ila ingekuwa issue ni realization ya kuchemsha, angetengua uteuzi wa mmoja wa hao wateule wapya kabla hajaapishwa.

Ni kweli Dr. Posi atamwandikia Spika barua ya kujiuzulu, hivyo wabunge wanaume wa kuteuliwa wabakie 5, ila watu msianze kushangilia kwa kudhania atateua wabunge wanawake 3 ili watimie watano, anaweza kuteua au anaweza asiteue simply kwa sababu Tanzania hatuna wanawake wa kutosha wenye sifa na vigezo vya kuteuliwa.

Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa! .

Paskali

Paskali, kutoa suluhisho katika maamuzi ya mtu mwingine ambaye hamna umoja wala ushirika katika kutumia ubongo pamoja ni propaganda nzuri sana katika kufanya character assassination lakini ubaya wake mbinu hiyo hiyo inapotumika kumu assassinate aliyeianzisha impact yaku huwa kubwa kwani inakuwa tayari imepatiwa uhalali na yule aliyeianzisha. Mfano mwanaume aliyekimbiwa na mkewe kwa sababu tu ya kushindwa kuelewana ndani ya nyumba akisema Tz hatuna wanawake wenye vigezo na sifa na watu wakakubali. Ikaja keshokutwa yake mtu mwingine akisema yule mwanaume aliye mock kuwa wanawake hawana vigezo ni shoga, hawawezi wanawake, kwani mwanamke wake wa kwanza alimkimbia baada ya kukuta akitendewa sivyo na mwanaume mwenzake. Ma girlfriend zake wengine watatu wamemuacha pamoja na chapaa yake kwa kuwa ameshaharibika an yule mnayemuona yuko nae kwa sasa ni kwa vile tu yeye anajali chapaa tu. Msimshangae maneneo yak kwani wanaume wakishaharibika sehemu zao maneno huwa yanawatoka hovyo hovyo wakitafuta pa kufia.

Kuna muda hata kama tunafanya satire na mockery basi tufanye wa kuweka akiba. Ushauri tu. Siasa ni mchezo, ukizifahamu sheria zake vizuri utaucheza kwa umahiri. Ukiweza kutumia rules of the game kumkirihisha mpinzani wako hapo ndipo raha huzidi, kama vile mtego uliokubali wenye draft.
 
Pascal Mayalla unawadhalilisha wanawake japo sijasoma hiyo link ya Uzi uliouweka. Hiyo ni tuhuma Kali sana lusema hakuna wanawake wenye sifa za kuteuliwa ubunge.

Sasa kama wanaume tu ndio wenye sifa za kuteuliwa ubunge, kwanini amteue mbunge wa kuteuliwa kuwa balozi? Ikumbukwe anapinga MTU mmoja kuhodhi vyeo.

Bottom line, kuna makosa ya kikatiba yalifanyika kwenye hizi teuzi za wabunge. Nnachosikitika bado makosa mengine yanaweza kufanyika kwa lengo la kurekebisha kosa la awali.
wanawake watakaoona kama hapo kuna udhalilishaji ni wa vyama pinzani tu,lakini wale wa chama cha ndiooo!!!!!kwao haiwahusu
 
Labda tujiulize kabla ya kulaumu au kuona rais kachemka,,je rais alikua hajui kua anapaswa kuteua watano?na je alimteua Mr posi bila kumpa taarifa?na je kama lengo lake ni kuoanisha idadi sawa na watano kila upande je hatuoni kua alishaona hali hyo ndio maana akamtoa posi ili idadi iwe kamili?je tunataka kuamini kua mitandao ya kijamii ndio imemkumbusha rais? Hapana alishaamua kabla ya lawama za kukosoa na ndio maana hali ikawa hii,mabalozi hawajateuliwa Leo hao waliopangiwa vituo Jana Ila tunaweza kusema kimoja kilitangazwa kabla ya kingine ambacho kilipaswa kutangazwa,so hakuna kosa LA kiufundi vyote vimezingatia utaratibu
 
Labda tujiulize kabla ya kulaumu au kuona rais kachemka,,je rais alikua hajui kua anapaswa kuteua watano?na je alimteua Mr posi bila kumpa taarifa?na je kama lengo lake ni kuoanisha idadi sawa na watano kila upande je hatuoni kua alishaona hali hyo ndio maana akamtoa posi ili idadi iwe kamili?je tunataka kuamini kua mitandao ya kijamii ndio imemkumbusha rais? Hapana alishaamua kabla ya lawama za kukosoa na ndio maana hali ikawa hii,mabalozi hawajateuliwa Leo hao waliopangiwa vituo Jana Ila tunaweza kusema kimoja kilitangazwa kabla ya kingine ambacho kilipaswa kutangazwa,so hakuna kosa LA kiufundi vyote vimezingatia utaratibu
Umejichanganya sana
 
Anaweza kugoma kujiuzulu lakini akafukukuzwa uanachama wa fisiem... au tu ikatokea bahati mbaya akafungwa gerezani kwa miezi 12 au akatangulia mbele ya haki...

Kujiuzulu ndio busara na njia nzuri zaidi ya kuwa balozi mwema, tena mlemavu anayesubiria kupangiwa kituo cha kazi.

Hahaha!!!, umesema moja kufukuzwa, kama sivyo kwa bahati mbaya anaweza kufungwa, la sivyo kwa bahati anaweza kupoteza maisha.
Mmh aya
 
Ndio tatizo la kukataa kushauriwa watu wana kuacha,halafu mwisho ndo wanakwambia mkuu hapo umekosea lakin tayari ameshajianika......wanamfanyia kusudi aumbuke,na bado
 
Please please please..Jaribu kumwelewa Paskali.
Ukitulia utaelewa kuwa Mt. Yohana hana imani na wanawake. Mke anaye na makamu yupo ambao wangekuwa "wanamsaidia" asiwe anachemka sana lakini wapi!

CC: Paskali, MTK, etal


Afunguke basi au naye ameshajaa woga? Enzi za kitendawili ....tega; palikuwa blah blah sio communication bali a barrier to communication, coded language ni ya kazi za intelijensia, kwenye jamnvi kama hili tunakwazika!
 
Mkuu Chige, hii ni number nyingine, ila ingekuwa issue ni realization ya kuchemsha, angetengua uteuzi wa mmoja wa hao wateule wapya kabla hajaapishwa.

Ni kweli Dr. Posi atamwandikia Spika barua ya kujiuzulu, hivyo wabunge wanaume wa kuteuliwa wabakie 5, ila watu msianze kushangilia kwa kudhania atateua wabunge wanawake 3 ili watimie watano, anaweza kuteua au anaweza asiteue simply kwa sababu Tanzania hatuna wanawake wa kutosha wenye sifa na vigezo vya kuteuliwa.

Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa! .

Paskali
U are being so unfair Paskalli!!! Unless una maelezo mengine ya ziada haujayaweka kwenye haya maandiko yako
 
Mkuu Chige, hii ni number nyingine, ila ingekuwa issue ni realization ya kuchemsha, angetengua uteuzi wa mmoja wa hao wateule wapya kabla hajaapishwa.

Ni kweli Dr. Posi atamwandikia Spika barua ya kujiuzulu, hivyo wabunge wanaume wa kuteuliwa wabakie 5, ila watu msianze kushangilia kwa kudhania atateua wabunge wanawake 3 ili watimie watano, anaweza kuteua au anaweza asiteue simply kwa sababu Tanzania hatuna wanawake wa kutosha wenye sifa na vigezo vya kuteuliwa.

Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa! .

Paskali
Na pia sheria haimlazimishi kuteua nafasi zote 10, ni busara yake pale anapoona inafaa(angeweza asiteue hata mmoja). Kwa hiyo ateue asiteue sio issue cha msingi ni katiba ifuatwe.
 
Kanuni ya kupotea njia:
Ukienda safari na kubaini uendako siko na hivyo umepotea, unatakiwa urudi mpaka ulipoanzia safari (au pale unapopajua vizuri) kisha (utafakari au uulize) uanze tena kuifuata njia sahihi. Ukijitia mjuaji kutafuta njia sahihi kuanzia hapo ulipopotea, uwezekano wa kupotea zaidi na zaidi ni mkubwa sana.

Huu ni uzoefu wangu wa kutembea maporini kutafuta kuni za mwalimu wa darasa. Ikiwa umemkanyaga yule mdudu wa kupoteza, basi wewe tena ....
hahahaha
 
Mkuu Chige, hii ni number nyingine, ila ingekuwa issue ni realization ya kuchemsha, angetengua uteuzi wa mmoja wa hao wateule wapya kabla hajaapishwa.

Ni kweli Dr. Posi atamwandikia Spika barua ya kujiuzulu, hivyo wabunge wanaume wa kuteuliwa wabakie 5, ila watu msianze kushangilia kwa kudhania atateua wabunge wanawake 3 ili watimie watano, anaweza kuteua au anaweza asiteue simply kwa sababu Tanzania hatuna wanawake wa kutosha wenye sifa na vigezo vya kuteuliwa.

Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa! .

Paskali

1. Only kutengua mmoja wa hawa wapya aliowateua ndiyo itakuwa sahihisho sahihi la kosa lake. Lakini very funny kwamba, kosa litakuwa limeandikwa na liko ktk record. Hapa nakubaliana na wewe

2. Sambamba na hilo ni kuwa, ukweli unabaki pale pale kuwa tayari alishafanya teuzi za wabunge wake wanaume 6 hata kama kuna ujanja ujanja huu wa Possi unatumika kutaka kuzuga kujaribu kufunika kosa lisilofunikika.....

3. Hili ni sawa na kosa la kocha wa football aliyemaliza kufanya substution ya reserve players wake wote ktk zile nafasi 3. Bahati mbaya mmoja aliyeingia kama sustitute akaumia na kulazimika kutolewa nje kimoja halafu huyo huyo kocha akadhani kuwa anaweza kufanya substution nyingine kum -replace aliyeumia eti tu kwa sbb ameumia!!

Kiukweli, kocha aache timu yake icheze tu na na wachezaji 9 hadi mchezo umalizike because there is no way other around ku - reverse hilo kosa....

Hili ni sawa tu na Possi aidha atajiuzuru ama atakuwa mtoro kwa mikutano mi3 mfululizo, haitaondoa ukweli kuwa ndume 6 zilishateuliwa na imetoka hiyo kinyume na 5 tu zinazopaswa kuteuliwa....

The mistake has already been done and it is ireversible!!
 
Back
Top Bottom