Q & A ya Mhe. Rais & Mhe. Abdallah Possi

Q & A ya Mhe. Rais & Mhe. Abdallah Possi

Sawa MKUU....mimi naomba kufahamishwa.....!!

Je mheshimiwa POSSI....kapanda CHEO ama kashushwa..??! Maana ninavyojua huyu bwana alikuwa ni MBUNGE na WAZIRI pia....na JE?

Huyu bwana POSSI tuamini kwamba ameshindwa kweli kutumikia nafasi alizo kuwa nazo (Ubunge na Uwaziri) na atamudu kuwajibika katika nafasi ya UBALOZI....!!? naomba mawazo yenu wana JF....

MIMI IMENICHANGANYA HII....!!
 
Sawa MKUU....mimi naomba kufahamishwa.....!!

Je mheshimiwa POSSI....kapanda CHEO ama kashushwa..??! Maana ninavyojua huyu bwana alikuwa ni MBUNGE na WAZIRI pia....na JE?

Huyu bwana POSSI tuamini kwamba ameshindwa kweli kutumikia nafasi alizo kuwa nazo (Ubunge na Uwaziri) na atamudu kuwajibika katika nafasi ya UBALOZI....!!? naomba mawazo yenu wana JF....

MIMI IMENICHANGANYA HII....!!
Kama kumbukumbu zangu zipo sahihi, Possi ni Naibu Waziri na sio Waziri Kamili. Balozi ni cheo kikubwa ukilinganisha na Deputy Minister.
 
Mkuu Chaque Number, sijasema kuhusu sifa tuu, nimesema sifa na vigezo, jee unavijua vigezo? , kama huvijui then naomba tuu ukubaliane na mimi kuwa hatuna wanawake wa kutosha wenye kukukidhi sifa na vigezo, wangekuwepo, wangeteuliwa. Kitendo cha kuteuliwa wanaume 6 wanawake 2, ni proof kuwa wanawake hawapo wa kutosha!.

Paskali
Mkuu paskali ni vigezo gani unavyovitumia hadi unaconclude kwamba hakuna wanawake wenye sifa na vigezo???? Tuache kuwaona watoto wa kike na wanawake kwa ujumla hawawezi kuongoza, wako wengi na wanauwezo mkubwa.
Ninachokiona kwakuwa wenye mamlaka makubwa wameona kuwa hawafai, wameamua kukaa kimya kwasababu hawana tena msuli wa kupambana ndani ya uongozi huu.
I like them, and I believe they have something kwenye kuongoza kuliko hata baadhi ya wanaume wanaotuongoza.
 
Mkuu paskali ni vigezo gani unavyovitumia hadi unaconclude kwamba hakuna wanawake wenye sifa na vigezo???? Tuache kuwaona watoto wa kike na wanawake kwa ujumla hawawezi kuongoza, wako wengi na wanauwezo mkubwa.
Ninachokiona kwakuwa wenye mamlaka makubwa wameona kuwa hawafai, wameamua kukaa kimya kwasababu hawana tena msuli wa kupambana ndani ya uongozi huu.
I like them, and I believe they have something kwenye kuongoza kuliko hata baadhi ya wanaume wanaotuongoza.
Mkuu Bwai, there you are, sifa za mtu kuteuliwa mbunge zimeainishwa na katiba, nafasi zenyewe ni 10 tuu, Kati ya Watanzania milioni 45, tuna Watanzania zaidi ya milioni 3 wenye sifa hizo wakiwemo wanaume zaidi ya milioni, na wanawake zaidi ya milioni 2, hivyo ili kupata watu 10 out of pool ya watu milioni 3, unaweka vigezo unavyovijua wewe ndipo kisha unateua.

Kwa vigezo hivyo mpaka sasa wamepatikana wanawake wawili tuu waliokidhi vigezo lakini wanaume ni wamepatikana 6. Kwa hesabu hii, kwa kutumia just a simple logic, hatuna wanawake wa kutosha wanaokidhi vigezo, wangekuwepo wangeteuliwa!.

Hili nimeliongea kwa kirefu kwenye mada yangu hii

Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa!
Paskali
 
Kanuni ya kupotea njia:
Ukienda safari na kubaini uendako siko na hivyo umepotea, unatakiwa urudi mpaka ulipoanzia safari (au pale unapopajua vizuri) kisha (utafakari au uulize) uanze tena kuifuata njia sahihi. Ukijitia mjuaji kutafuta njia sahihi kuanzia hapo ulipopotea, uwezekano wa kupotea zaidi na zaidi ni mkubwa sana.

Huu ni uzoefu wangu wa kutembea maporini kutafuta kuni za mwalimu wa darasa. Lau ikiwa umemkanyaga yule mdudu wa kupoteza, basi wewe tena pori ni halali yako.
Nakuunga mkono Mia kwa mia
 
→→Siku zote kiongozi anafanana na anaowaongoza...

Kabla ya kumnyooshea kidole JPM tuanze kujitizama sisi tuliomchagua....
Unauhakika gani kama tulimchagua wakati Mwenyekiti na wakurugenzi wa tume ya uchaguzi wanateuliwa na yeye mwenyewe.
 
Unauhakika gani kama tulimchagua wakati Mwenyekiti na wakurugenzi wa tume ya uchaguzi wanateuliwa na yeye mwenyewe.
Wakati wote lazima watokee wa kujaribu kuhalalisha hata uovu wa wazi kabisa lakini kwa bahati, mara zote wanaishia kuumbuka wenyewe!!
 
Mkuu Chige, hii ni number nyingine, ila ingekuwa issue ni realization ya kuchemsha, angetengua uteuzi wa mmoja wa hao wateule wapya kabla hajaapishwa.

Ni kweli Dr. Posi atamwandikia Spika barua ya kujiuzulu, hivyo wabunge wanaume wa kuteuliwa wabakie 5, ila watu msianze kushangilia kwa kudhania atateua wabunge wanawake 3 ili watimie watano, anaweza kuteua au anaweza asiteue simply kwa sababu Tanzania hatuna wanawake wa kutosha wenye sifa na vigezo vya kuteuliwa.

Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa! .

Paskali
This is the most discriminating comment of the day against women, it is highly disrespectful, haya ndio mawazo ya mtu aliyetawaliwa na mfumo dume, halafu unajiita msomi, nawahurumia sana mama yako, dada zako, mke wako na binti zako... I am deeply saddened, nchi nzima hii wakosekane wanawake watatu tu(maana wawili wameshateuliwa) kwenye sifa za kuteuliwa kuwa wabunge
 
This is the most discriminating comment of the day against women, it is highly disrespectful, haya ndio mawazo ya mtu aliyetawaliwa na mfumo dume, halafu unajiita msomi, nawahurumia sana mama yako, dada zako, mke wako na binti zako... I am deeply saddened, nchi nzima hii wakosekane wanawake watatu tu(maana wawili wameshateuliwa) kwenye sifa za kuteuliwa kuwa wabunge
Sounds so but try to understand Paskal:
Mimi natoka Kanda fulani, wengi wetu tunakabiliwa na tatizo la kisosholojia na kisaikolojia liitwalo "male chauvinism" ambapo we don't believe in "strength of a woman",or in "girls powers".

Kwetu sisi "a woman's place is at the kitchen", ila pamoja na kuwaona wanawake stahili zao ni jikoni tuu, watu wa kabila langu ndio tunaoongoza kuthamini wanawake kwa kupenda nchini Tanzania, na tunapenda wanawake wengi hadi kujikuta tunaona sifa!, tena tunaongoza kwa kuhonga, kuanzia kuhonga pesa nyingi, gari hadi nyumba na wengine wetu tumehonga hadi ghorofa!, (mfano nyumba, ninayoishi, nimehonga kale cheupe), hivyo naishi kama mpangaji tuu, lakini linapokuja suala la kuwaamini wanawake kwenye mambo makubwa!, no way!, nafasi yao ni jikoni tuu!

Hivyo ukiniambia nitafute wanawake 5 wa kuwateua ubunge, nikajitahidi nikapata angalau wawili, ushukuru sana na kunipongeza badala ya kunilaumu, maana hapo ndio ujue kuwa nimejitahidi sana kuwateua hao niliowateua, vinginevyo...

Wasalaam

Paskali
 
Paskal needs to apologise to women and you stay out of it, unless you are a male chauvinistic pig as well
Ni sarcastic way of writing... ndo maana nimekuambia try to understand! The problem unasoma texts as they are!!! Halafu ulivyo na lugha kali hata kwa mtu ambae hajakuletea ukali wala ufedhuli wowote, sidhani kama utakuwa tofauti na hao unaowashutumu!!!
 
Poleni Watanzania kama mlidhani hayo mambo ya kufuata katiba ni kipaumbele cha kila kiongozi. Viongozi wetu ni tatizo na wala hawana utamaduni wa kufuata misingi na ndio maana kila kitu kipo shaghalabaghala.
 
hizo ndizo akili zinazoitwa za mwendo kasi...na mbaya zaidi mwenye akili hizo ndiye tuliye mkabidhi panga atufyekee kichaka...kichaka ambacho ndani yake kuna miti tunayoitegemea ya dawa...nadhani miti yote ata ile yenye kutoa matunda ivi sasa imekatwa na kuharibiwa vibaya.
Umenena mkuu.
 
Back
Top Bottom