shamajengo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,217
- 1,433
Mkuu kwa bulembo naona Kama kulipa fadhila tu hamna kingineHivi mtu wa level ya udaktari wa sheria analazimika kumpisha bulembo?
Kweli ccm janga la taifa
Mkuu kwa bulembo naona Kama kulipa fadhila tu hamna kingineHivi mtu wa level ya udaktari wa sheria analazimika kumpisha bulembo?
Kweli ccm janga la taifa
paskali kwani bulembo ana sifa zipi kuzidi mke wako?Mkuu Chige, hii ni number nyingine, ila ingekuwa issue ni realization ya kuchemsha, angetengua uteuzi wa mmoja wa hao wateule wapya kabla hajaapishwa.
Ni kweli Dr. Posi atamwandikia Spika barua ya kujiuzulu, hivyo wabunge wanaume wa kuteuliwa wabakie 5, ila watu msianze kushangilia kwa kudhania atateua wabunge wanawake 3 ili watimie watano, anaweza kuteua au anaweza asiteue simply kwa sababu Tanzania hatuna wanawake wa kutosha wenye sifa na vigezo vya kuteuliwa.
Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa! .
Paskali
Kwa mkuu anayemuhitaji ni Dr Tulia Ackson pekee?Mkuu Chige, hii ni number nyingine, ila ingekuwa issue ni realization ya kuchemsha, angetengua uteuzi wa mmoja wa hao wateule wapya kabla hajaapishwa.
Ni kweli Dr. Posi atamwandikia Spika barua ya kujiuzulu, hivyo wabunge wanaume wa kuteuliwa wabakie 5, ila watu msianze kushangilia kwa kudhania atateua wabunge wanawake 3 ili watimie watano, anaweza kuteua au anaweza asiteue simply kwa sababu Tanzania hatuna wanawake wa kutosha wenye sifa na vigezo vya kuteuliwa.
Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa! .
Paskali
Kwa aibu kama hii lazima mawaziri, makatibu wakuu na watumishi waandamizi wa serikali wabaki midomo wazi. Hivi huyu Rais ana washauri?
Pascal Mayalla unawadhalilisha wanawake japo sijasoma hiyo link ya Uzi uliouweka. Hiyo ni tuhuma Kali sana lusema hakuna wanawake wenye sifa za kuteuliwa ubunge.
Sasa kama wanaume tu ndio wenye sifa za kuteuliwa ubunge, kwanini amteue mbunge wa kuteuliwa kuwa balozi? Ikumbukwe anapinga MTU mmoja kuhodhi vyeo.
Bottom line, kuna makosa ya kikatiba yalifanyika kwenye hizi teuzi za wabunge. Nnachosikitika bado makosa mengine yanaweza kufanyika kwa lengo la kurekebisha kosa la awali.
Nadhani, kwa busara tu, akishapangiwa kituo cha kazi anakuwa amejivua ubunge.....mfano Dr migiro alipokwenda UN
Hawa wanataaluma waliokubali kuja kusujudia siasa wameamua kwa makusudi kuja kudhalilishwa na taaluma zao🙁🙁Hivi mtu wa level ya udaktari wa sheria analazimika kumpisha bulembo?
Kweli ccm janga la taifa
Na baraza la mawaziri nao muda siyo mrefu litafanyiwa marekebisho tena, naona viwanda vinakuja kwa kasi sana.Haya ndio madhara ya kumpa mtu kitu asiejua maana yake.
Na baraza la mawaziri nao muda siyo mrefu litafanyiwa marekebisho tena, naona viwanda vinakuja kwa kasi sana.
Sasa hivi gari imepata dereva haswa, teua tengua mpaka viwanda vijae kabisa.Ndio,Bulembo ni lazima awe waziri.
Mkuu, huwa unamsoma vizuri pasco? Huyu anaweza kuweka heading kama ya magazeti ya shigongo vile lakini utakachokuta humo ndani utashangaa.Nimejitendea haki mkuu, lakini hapa tunaongelea ukiukwaji wa katiba. Hiyo ya sifa za wanawake tuiweke pembeni kwanza. Hoja ni wabunge zaidi ya watano kiume wameteuliwa, ikiacha nafasi mbili tukiongeza na mbili zilizopo zinakua NNE kwa wanawake. Contrary to the current katiba iwe ya kiswahili au ya kiingereza.
Na kuonyesha kwamba kuna tatizo, ndio imekuja hii ya uteuzi wa mbunge mteule kuwa balozi.
Katiba kwa nchi za kiafrika ni utata mtupu.
Great thinkers tuwe na uzoefu wa kusoma miandiko (hati) ya wachangiaji humu. Kwa kumlaumu Paskali ni wazi kuwa hadi leo hujaelewa 'mwandiko' wa huyu mchangiaji maarufu. Ikibidi rudia rudia maandishi yake, utamwelewa. Anaandikaga mlazo wa kinyume nyume sana.Ni hayo tu.
Possible polite grounds
1.Kujihuzuru
2.Kutohudhuria vikao 3 kwa mfululizo bila taarifa kwa Spika.
Akigoma kujiuzulu Ibara hiyo hiyo ya ukomo wa Ubunge inaweza kumhusu kwa njia nyengine..... Labda ya "kifo cha mapema zaidi"Aisee hii kweli siasa naomba niulize tu,kwa mfano Dr. Possy akagoma kujiuzulu vipi hatma ya mkulu??