wew mkali...
And u prove dat,no 100%...
Scientifically...hakuna association yeyote kati ya 'kwenda club' na 'kuwa/kutokuwa na bikra'!
hii sijui umeitoa wapi
wengi wanaoenda club huwa wametoroka makwao
na wengu hurudi kabla wazazi wao hawajashtuka
so chance ya ku sex wakiwa out sio kubwa ki vile
but sema huko club wanaweza pata contacts za kuja ku sex nazo
baadae tena wakiwa sober....
nazuungumza from experience.....
Kuwa na bikra ni moja ya dalili za ushamba
Boss katika experience yako... Uli note unywaji wa pombe wa hao mabinti? Naomba kama hutajali usema ilikuwepo, ama minimal ama excessive... Take note kasema wanaoenda club na kunywa pombe...
Scientifically...hakuna association yeyote kati ya 'kwenda club' na 'kuwa/kutokuwa na bikra'!
Kuna mambo mengi ambayo ni kweli na hakika lakini ni vigumu sana kuthibitisha....!!
Mimi nasema "hakuna msichana ambaye anakunywa POMBE na kwenda CLUB katika umri wowote ule,,then akawa BIKIRA.....
Ur welcm..
Aiseeee
Kaunga kwanini umerejea Catholic? Sisi wakatoliki hatuna unafiki na hata tunakunywa hadharani na tunajiheshimu vile vile. Ungemjibu tuu mtoa hoja kanusho au kukubaliana na hoja yake badala ya kuingiza imani kwenye mjadala. Mfano kule kibosho wanaamini mbege ni kinywaji kama ilivyo soda na watoto hutengewa mgao kama kuna sherehe lakini haimaanishi wanaishia kwenye uasherati baada ya kunywaLabda kwa kuwa umesema kunywa pombe NA kwenda club, ingekuwa au ningesema baadhi ya catholic nuns wanakunywa pombe and baadhi yao ni virgins.
Lakini pamoja nao, nafikiri kuna frigid girls ambao wanaparty na kuchill lakini they are virgins, au hata lesbians ambao hawatumii dildos
Kuwa na bikra ni moja ya dalili za ushamba