Wasichana wa kazi wa ndani

Ricky Blair

JF-Expert Member
Mar 13, 2023
391
873
Jamani nafikiri muda wa kubadilisha sheria au ku enforce vizuri na vikali sawa; wasichana wa kazi iwe marufuku kulipwa at the very most minimum ya 200k kwa mwezi na wale wa kwenda na kurudi at least 150k and I thk minimum salary is around hiyo kwa Serikali; which means hata kama ukiwaongeza Poa tu na kodi walipe.

But hii tabia ya kuchukua watoto wa watu below 18 uko kijijini kuja kumlipa 50k per month bado matusi, unyanyasaji(mostly wanawake ndo wanaongoza; coz wanaume the worst case ni Akita or kingono au akubake but asipotaka most men hawatokusumbua km wanawake) so iwe illegal to hire anyone under 18 coz anatakiwa awe shule.

Pia msichana huyo apitishwe at least basic haki zake na ajue pa kulalamika in case akinyanyaswa Au hata kupigwa na awe na simu hata tochi na kuwe na Union ya hawa watu ili wafuatiliane kama kuna mmoja hajatucheki wiki nzima na kama yupo hai au mzima.

Lakini hii tabia ya kulipa wadada wa watu 50k na akivunja glass sijui tunakata kw salary sijui nini ni uhuni. Hawa wadada wanavumilia mengi sana na wanafanya kazi sana kuliko hata hao wabunge na matumbo yao.

Wanastahili heshima na utu; pia kama una hela nyingi unaweza kumsaidia kidogo kidogo ajiendeleze kwenye maisha sio abaki kwako permanently tu.

Kuna mijitu itaanza oh analala kwangu, anakula kwangu sijui nini??? Nyooo jaribu kwenda kufanya Kazi kwa mtu uone raha yake of seeing your life stuck and others are flying tu; pia kama Wewe mtu wa maisha ya Kati basi you can't afford domestic worker kaa chini do your own work coz wanyanyasaji wakubwa ni hawa middle incomers wao wenyewe watu wa laki laki watataka two house girls( manina) fanya kazi mwenyewe tu waache hao wanaoingiza 40m achukue two house girls and walipwe at least 500k; hawa hata wakifoka utaona kweli hela anatoa. Lakini bado kwa urafi na uchoyo wa waTZ wanaojiita wa jamaa mtu anaweza akawa anaingiza 50m na bado msichana wa kazi anapata 50k or 60k hawa watu cjui wanalalaje usiku?😳

Oh cjui hana adabu cjui nn basi mpe hela yake na nauli kwaheri sio kumpiga au kumtukana unaweza kuongea naye vizuri tu yakaisha km mjeuri kweli mwache aende. Pia ana haki ya kuwa na boyfriend hata kufanya ngono chumbani kwake akiwa ameheshimu muda na hajasababisha wizi wowote Au hata akikuaga anaenda kwa malavidavi ana haki iyo; hajaja hapo kuwa bikira maria Achezewe na watoto wenu wa kiume tu then abwagwe wakienda kudate akina Lulu Diva uko when yeye afue nguo zote hadi chupi na anaambulia 50k. This is evil inanikumbusha Filamu ya "A cry for Help" ya Nigeria kuhusu unyanyasaji wa Yule Yatima Ble Ble.

Most of our families are guilty and pia sisi tusimame kukana awe mama yetu, dada zetu kw kunyanyasa wasichana wa kazi. Ivi mtu anasaidia kulea watoto wako, anapika, anafua unapata wapi ujasiri wa kumnyanyasa? Akiwawekea sumu wanao na kusepa au kuwatelekeza uko? Na tunawaonea wadada coz tunajua wakaka au houseboys sio popular uku km West Africa pia changamoto za wanaume na ubabe sio rahisi kumtesatesa all the time bila kupokea ngumi; pia we know risk ya wanaume in terms of sexual abuse; most men sio wabakaji wa watoto au wanawake but most rapists ni wanaume so that's why tunakimbilia safer option which is female domestic workers basi tuwatreat kwa heshima na tuwalipe minimum to have decent life km huwezi Acha. Yaani so far wazungu tu ndo wanalipwa wasichana vizuri
 
Una mawazo mazuri, lakini hivi vitu haviji hivi hivi, serikali iboreshe hali ya maisha Tanzania, unakuta huyo boss mshahara wake ni 500k tu kwa mwezi.

Yote 9,10 sasa hali ngumu binti(mtu) ndio anatafuta kazi huo mshahara wa elfu 50 kula kulala juu yako anaona ni lulu.

Kikubwa tu, tuishi nao vema, tuwatendee wema, una cha kumsaidia msaidie. Vikozi vikozi hivi unampeleka, ni vema zaidi, sote hatuijui kesho yetu.
 
Hilo suala unaloliongelea kwa mazingira yetu hapa tz umepuyanga
Mtu anagonga hodi apewe kazi apate hata pesa ya kula unaanza kusema mambo ya 200k 150k kwa mwezi
Mwandishi ni comedian, hajui chochote kuhusu maisha ya watanzania. Serikali anayo shauri itunge sheria ya malipo haina uwezo wa kuajiri na kulipa. Graduates wanatumikishwa na serikali kama watu wa kujitolea kwa malipo kidogo sana. House girls wanalipwa ambacho hawezi kukipata mitaani. Wananyanyaswa na waajiri wasio jitambua, house girl ameshikilia dhamana ya maisha ya familia anatakiwa kuthaminiwa sana.
 
Unaleta maisha ya ulaya mkuu ,hebu fikiria tu mshahara wa mwalimu grade A take home haifiki laki 5 amezaa katoto kake inabidi aingie darasani afu atafute mfanyakazi wa ndani wakukaa na mtoto amlipe laki 2 ? Kuna wa TZ wengi ndio wanamudu kulipa hiyo 200K lakini wangapi ?

Afu nahisi wewe hujazaliwa kwenye dhiki ndo maana unaongea hizo story wengine wanataka hata wafanye kazi za ndani wapate chakula na mavazi tu
 
Jamani nafikiri muda wa kubadilisha sheria au ku enforce vizuri na vikali sawa; wasichana wa kazi iwe marufuku kulipwa at the very most minimum ya 200k kwa mwezi na wale wa kwenda na kurudi at least 150k and I thk minimum salary is around iyo kwa serikali; which means hata km ukiwaongeza Poa tu na kodi walipe. But hii tabia ya kuchukua watoto wa watu below 18 uko kijijini kuja kumlipa 50k per month bado matusi, unyanyasaji( mostly wanawake ndo wanaongoza; coz wanaume the worst case ni Akita or kingono au akubake but asipotaka most men hawatokusumbua km wanawake) so iwe illegal to hire anyone under 18 coz anatakiwa awe shule; pia msichana uyo apitishwe at least basic haki zake na ajue pa kulalamika in case akinyanyaswa Au hata kupigwa na awe na simu hata tochi na kuwe na Union ya hawa watu ili wafuatiliane km kuna mmoja hajatucheki wiki nzima na km yupo hai au mzima. Lakini hii tabia ya kulipa wadada wa watu 50k na akivunja glass cjui tunakata kw salary cjui nn ni uhuni. Hawa wadada wanavumilia mengi sana na wanafanya kazi sana kuliko hata hao wabunge na matumbo yao. Wanastahili heshima na utu; pia km una hela nyingi unaweza kumsaidia kidogo kidogo ajiendeleze kw maisha sio abaki kwako permanently tu.
Kuna mijitu itaanza oh analala kwangu, anakula kwangu cjui nn??? Nyooo jaribu kwenda kufanya Kaz kwa mtu uone raha yake of seeing your life stuck and others are flying tu; pia km Wewe mtu wa maisha ya Kati basi you can't afford domestic worker kaa chini do your own work coz wanyanyasaji wakubwa ni hawa middle incomers wao wenyewe watu wa laki laki watataka two house girls( manina) fanya kazi mwenyewe tu waache hao wanaoingiza 40m achukue two house girls and walipwe at least 500k; hawa hata wakifoka utaona kweli hela anatoa. Lakini bado kwa urafi na uchoyo wa waTZ wanaojiita wa jamaa mtu anaweza akawa anaingiza 50m na bado msichana wa kazi anapata 50k or 60k hawa watu cjui wanalalaje usiku?😳
Oh cjui hana adabu cjui nn basi mpe hela yake na nauli kwaheri sio kumpiga au kumtukana unaweza kuongea naye vizuri tu yakaisha km mjeuri kweli mwache aende. Pia ana haki ya kuwa na boyfriend hata kufanya ngono chumbani kwake akiwa ameheshimu muda na hajasababisha wizi wowote Au hata akikuaga anaenda kwa malavidavi ana haki iyo; hajaja hapo kuwa bikira maria Achezewe na watoto wenu wa kiume tu then abwagwe wakienda kudate akina Lulu Diva uko when yeye afue nguo zote hadi chupi na anaambulia 50k. This is evil inanikumbusha Filamu ya "A cry for Help" ya Nigeria kuhusu unyanyasaji wa Yule Yatima Ble Ble. Most of our families are guilty and pia sisi tusimame kukana awe mama yetu, dada zetu kw kunyanyasa wasichana wa kazi. Ivi mtu anasaidia kulea watoto wako, anapika, anafua unapata wapi ujasiri wa kumnyanyasa? Akiwawekea sumu wanao na kusepa au kuwatelekeza uko? Na tunawaonea wadada coz tunajua wakaka au houseboys sio popular uku km West Africa pia changamoto za wanaume na ubabe sio rahisi kumtesatesa all the time bila kupokea ngumi; pia we know risk ya wanaume in terms of sexual abuse; most men sio wabakaji wa watoto au wanawake but most rapists ni wanaume so that's why tunakimbilia safer option which is female domestic workers basi tuwatreat kwa heshima na tuwalipe minimum to have decent life km huwezi Acha. Yaani so far wazungu tu ndo wanalipwa wasichana vizuri
Mkuu nimelike post yako sababu una kitu kizuri ulitaka kukiwakilisha, lakini kuna missing gap fulani.

Ungefanya utafiti wa kufahamu kima cha chini cha mfanyakazi wa Tanzania iwe sekta binafsi au serikali. Hapa ungepata figures nzuri za kupendekeza katika malipo yao.
 
Back
Top Bottom