Neuro
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 1,551
- 1,726
lakini wanaokataa ndoa wana hoja nzito kuliko hata unavyofkilia wewe.1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30's and under...
2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially..
3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.
4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,
5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.
Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
Nikipata muda nitaangalia hio education representation kati ya wanaume na wanawake Tanzania, ila i guess haiko sawa hata sasa hivi, na itachukua muda kuwa sawa, ndio maana watunga sheria waka consider hilo...Iyo ilikua applicable kwa zamani ambapo wanawake walinyimwa fursa nyingi za elimu na uchumi na wengi wao walikua wanajua nafasi zao kwenye familia lakini kwa sasa 50/50 imeshamili tuna wanawake wengi ambao wanamiliki biashara na wana kazi nzuri na pia wameelimika na kwa kujua kwamba sheria inawabeba wengi wanafanya ulaghai kwa kuyaangalia mahusiano na ndoa kwa ujumla kama financial breakthrough kwaiyo izo sheria zipo outdated ni wakati sasa wa sheria kumwangalia mwanamke kama predator na sio innocent creature kama ilivyo sasa, sheria za masuala ya ndoa na mahusiano kuna mambo mengi sana ya kuyarekebishwa, wanawake mmeamua kuwa wakali na kuleta kejeri kwenye hili suala kwa sababu mnajua nyie ni wanufaika
LIFE IS SO FUCKING UNFAIR MAN ME NAUMIA KUONA HIVO SANA HIZI NDOA HIZI ZINA MAMBOOOPolepole kamanda...
Tuliooa tunaumia![]()
Sasa Mimi na wewe Nani anamawazo ya kijima?Koma wewe, una lipi uliloandika la maana, au hizi kejeli unaona unaandika kitu?!
Mjinga sophy sio mimi...kwa kuolewa na lijitu lenye mawazo ya kijima kama yak
Hahhah haki na ukweli unaoutetea ni upi na umeanza lini????wewe ambaye kila mwanamke kwako ni zimwi lisilofaa kujaliwa,leo unatetea lipi???
Eti umepima, umepimia kwa kipimo gani????tuambie?lol
Mjima ni wewe unayedhani mwanamke ni mtu asiyepaswa kuhudumiwa, wewe na topics zako zote unazoleta humu zinakuonesha wewe ni mjima.Sasa Mimi na wewe Nani anamawazo ya kijima?
Kwenye ujima Mwanamke ndio kama mifugo mingine, anafugwa,
Lakini zama za sasa Wanawake wanatakiwa kuchangia kwenye ujenzi wa familia na Taifa.
Sasa wewe wakuhudumiwa kama maiti au Mdoli na Mimi nani mjima?
Mimi ni sumu ya ma Misogynists kama wewe.Mimi ni sumu ya matapeLi na mazimwi manyonyaji kama wenye mawazo Kama yako.
Mjima ni wewe unayedhani mwanamke ni mtu asiyepaswa kuhudumiwa, wewe na topics zako zote unazoleta humu zinakuonesha wewe ni mjima.
Mimi ni sumu ya ma Misogynists kama wewe.
Achana na izo mambo za kuconsider sijui wakina nani walizitunga izo sheria elekezo mawazo yako kwenye usawa wa sheria husika naona unajitahidi sana kuwarushia mpira hao waliotunga izo sheria, tuseme hawakua sahihi na wanaume waliokwepo walifanya uzembe kushindwa kuitetea jinsia yao lakini je ndio tuziache ivyo ivyo wakati tunaona zinakandamiza upande mmoja?Nikipata muda nitaangalia hio education representation kati ya wanaume na wanawake Tanzania, ila i guess haiko sawa hata sasa hivi, na itachukua muda kuwa sawa, ndio maana watunga sheria waka consider hilo...
Njaa ndo zinafanya mkimbilie ndoamwenye mtindio wa 'ubungo' ni wewe usiyejitambua mpaka ukajiita white skunk
Je kufanya hayo kunahitaji ndoa?Huna padre unayemjuwa ambaye amezaa na mwanamke Kwa siri?
Hata Dr Slaa humjuwi?
🤣🤣🤣🤣🤣 Wewe upo wapi kwenye hizi pande mbili?Siku mkutane uwanjani mzichape 😂😂😂
Watazamaji tupo 😂
Mm mpenz mtazamaji 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 Wewe upo wapi kwenye hizi pande mbili?
1.Kuna namna tumepungukiwa na maadili. Kwasababu ni sahihi mtu kutokutaka kitu fulani ila kuwahubiria watu wote wakatae hapo ndio maswali yangu yanaibuka juu ya hii kampeni.