Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,409
- 2,254
- Thread starter
- #241
weka mchele wako tuuone.Huyo dada Hana anachoongea Ni pumba
weka mchele wako tuuone.Huyo dada Hana anachoongea Ni pumba
We unawapangia watu maisha nyie mmechezewa Hadi mmepata mabawa sasa mnataka ndoa ili iweje ndoa ni kwa ajili ya bikra tu that allweka mchele wako tuuone.
Tena ngedere wa maonyeshoMtanivunja mbavu Sasa ngedere amefikaje hapa
![]()



Wewe nawe ni wa kuangaliwa, nadhani ni misogynist mwingine kama Robert Heriel ,nimeku mark nitaangalia michango yako,najua kama ni mmojawapo mada za wanawake nitakukuta tu umejaza utumbo wako.We unawapangia watu maisha nyie mmechezewa Hadi mmepata mabawa sasa mnataka ndoa ili iweje ndoa ni kwa ajili ya bikra tu that all
labda nikukumbushe tu kuwa wapo waliowahi kuweka hizo profile data za wakataa ndoa,, wewe siyo wa kwanza lakini waliambulia patupu,, my take: jaribuni kuwa na ushawishi wa tofauti na si kuwashambulia wao,, coz kila mwanadamu ana uamuzi juu ya maisha yake.kitu nilichoweka hapa ambacho wewe unakiona ni personal attacks,,,, hayo mazuri ya ndoa ni topic inayojitegemea
😂😂Wakuwapelekea fire wapo kibao mkizidiwa na upwiru huwa baadhi yenu mnawapa hadi bodaboda.
tatizo kuu ni kuwa watu wanakwepa kuishi nyumba moja na mamba na ndiyo maana mleta mada anapiga Yowe kubwa hapa.
Bikra unayo unataka ndoa bikra hauna ndo Nini sasa?Wewe nawe ni wa kuangaliwa, nadhani ni misogynist mwingine kama Robert Heriel ,nimeku mark nitaangalia michango yako,najua kama ni mmojawapo mada za wanawake nitakukuta tu umejaza utumbo wako.
😂😂😂Humu ukijifanya serious utakufa mapemaTena ngedere wa maonyesho
JF hata ukija umenuna utacheka tu hata ufanyeje...
Nani kashambulia??? wewe kusemwa una mguu mmoja ni kushambuliwa kama una mguu mmoja?? hao wanaoweka hizi mada hapa ni watoto tu kama nilivyoweka na kisha labda hujaona michango ya wakataa ndoa ni mingi mbona hatulalamikii ushawishi wao?labda nikukumbushe tu kuwa wapo waliowahi kuweka hizo profile data za wakataa ndoa,, wewe siyo wa kwanza lakini waliambulia patupu,, my take: jaribuni kuwa na ushawishi wa tofauti na si kuwashambulia wao,, coz kila mwanadamu ana uamuzi juu ya maisha yake.
Nakuangalia kwanza michango yako, kama na wewe una shida na mama yako anza ku make peace sababu hutakua na ndoa ya furaha uoe bikira ama NOTBikra unayo unataka ndoa bikra hauna ndo Nini sasa?
Umegeuka mchawi sikuizi sasaSiku mkutane uwanjani mzichape
Watazamaji tupo![]()


Hakuna kuoa tuache usitupangie MaishaNakuangalia kwanza michango yako, kama na wewe una shida na mama yako anza ku make peace sababu hutakua na ndoa ya furaha uoe bikira ama NOT
Chukua time,ningetaka kuongelea kwenye ndoa ningeweza kuchomekea kwenye topic zilizopo,mimi kuwa na degree ama kutokua nayo hayakuhusu,sina mazoea na ma misogynists mimi. Hujaielewa mada yangu period.
Baki kuwa padre nani kakupangia maisha?Hakuna kuoa tuache usitupangie Maisha
Mimi nazagamua wake za watuBaki kuwa padre nani kakupangia maisha?
Degree kama yako una mawazo ya kijima sijui uliipata lini??? nimetaka kuongelea profile lenu wakataa ndoa leo unakuja na ndoa ni utapeli, halafu unajiona una akili...Unaongelea ndoa alafu unasema ungetaka kuzungumzia ndoa. 😂😂😂
Hizi degree za siku hizi zinavioja Mno.
Polepole kamanda...Hizo ndoa zinavowapeleka mputa mputana wake zenu walivo cheap siku hizi hadi raha



zagamua labda hata mama yako alizagamuliwa ukatokea wewe.Mimi nazagamua wake za watu