Profile la kijana mkataa ndoa

Profile la kijana mkataa ndoa

1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30 and under.

2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially.

3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.

4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,

5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.

Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
Hahaha asee
 
Mapimbi ya Ndoa kwenye ubora wao.

ACHANA NAO.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Tukisema ndoa inapovunjika sheria za kugawana mali, child support na divorce alimony ziondolewe. Vile vile upimaji wa DNA uwe mandatory kisheria mtoto anapozaliwa tu, wanawake wanapinga

Halafu mapimbi katika ubora wao bado wana-support ndoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom