Hahaha asee1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30 and under.
2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially.
3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.
4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,
5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.
Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
Mkuu usiirudishe hii mada juu please sina energy
Don't worry energy ya nini sasa?Mkuu usiirudishe hii mada juu please sina energy
😅🤣🤣🤣Haya ndio madhara ya kuzaa watoto nje ya ndoa, matokeo yake ni lazima waje kupinga ndoa.
Ukiona mtu anakataa ndoa basi kuna uwezekano mkubwa amezaliwa na malaya.
Mapimbi ya Ndoa kwenye ubora wao.
Hiyo hadhi toka kwa jamii unaweza kuitumia kama dhamana kukopa hela benki?ila pia ukioa kuna hadhi flani unapata kutoka kwa jamii inayokuzunguka.
Tukisema ndoa inapovunjika sheria za kugawana mali, child support na divorce alimony ziondolewe. Vile vile upimaji wa DNA uwe mandatory kisheria mtoto anapozaliwa tu, wanawake wanapingaMapimbi ya Ndoa kwenye ubora wao.
ACHANA NAO.
#YNWA
#YANGA_BINGWA