Profile la kijana mkataa ndoa

Profile la kijana mkataa ndoa

1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30 and under.

2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially.

3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.

4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,

5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.

Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
Hahaha asee
 
Mapimbi ya Ndoa kwenye ubora wao.

ACHANA NAO.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Tukisema ndoa inapovunjika sheria za kugawana mali, child support na divorce alimony ziondolewe. Vile vile upimaji wa DNA uwe mandatory kisheria mtoto anapozaliwa tu, wanawake wanapinga

Halafu mapimbi katika ubora wao bado wana-support ndoa
 
1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30 and under.

2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially.

3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.

4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,

5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.

Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
Ulikuwa na hoja
 
Ndugu mjumbe, Mimi kama RAISI WA CHAMA LA WAKATAA NDOA TAIFA, naomba nikujibu kama ifuatavyo:-

1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30's and under...

YAP NINA MIAKA 33 (1990)

2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially..

HAPANA:-
Pasipo na maana ya kujisifia ila ....
NINA BIASHARA YENYE MTAJI WA MIL 42 na ajira yenye mshahara wa greater than 1.5Mil
Lakini pia ni mkulima mwenye Eka 57 za matunda na miti mbao.

3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.

HAPANA:-
Katika jambo nalosisitiza hata kwa watoto wangu ni "Share what you get"
Mungu amekupa baraka basi na wewe gawa.

4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,

HAPAN:-
Mimi ni muomgeaji hasaa na napenda kukaa na watu na sanaa kuongelea mambo ya pesa.

5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.

HAPANA:
Sina mama na SIJAWAHI kumjua sanaaa.
RIP my mum.

Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.

SIO KILA WAZO NDIO WAZO SAHIHI.

Nakala:-
Katibu Mkuu, dronedrake - Aione kwenye jalada

#YNWA
Issue siyo kujibu hoja generally, lazima ujibu hoja kwa data
 
1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30 and under.

2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially.

3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.

4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,

5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.

Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
Hawatakubali. Kuna watu msiba wa wengi kwao ni sherehe!.
Hawa ni wa kuwazoea tu.

Sarakasi zinazoendelea kwenye Ndoa nyingi za siku hizi zinazidi kuzaa 'Kataa Ndoa' wengi zaidi
 
Teh..teh..ni mtazamo tu, tusitumie hasira.
Moto uleule unaochoma nyumba ndiyo unapika chakula
"nguvu wanayoitumia kuchukia ndiyo tunayoitumia kupenda"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom