Profile la kijana mkataa ndoa

Profile la kijana mkataa ndoa

Mnafiki Kwa Ngedere na vimbwa!
Hiyo sio shida, Mimi ndiye nimemruhusu.
Kwangu shida ni akileta Utapeli kama wako
Haaa utajuaje kama akileta utapeli kama hata kujua anapretend ama not hujui???

eti umemruhusu kuwa mnafiki, yeye ni mnafiki wa kuzaliwa..haihitaji ruhusa yako labda apretend anahitaji ruhusa yako na wewe ulivyo kubwa jinga unaona umempa ruhusa.
 
Tufanye usawa hakuna, ila hizi sheria zilitungwa na wanawake pekee?? si ni jopo la wanaume pia ndio walitunga hizo sheria?? na mbona kuna wanaume wenzenu kibao tu wanaoa ingawa wanajua kabisaa wakiachana mali zinagawanywa pasu? au ni wajinga nyie ndio werevu sana???!
Suala la nani alitunga sheria kwa sasa halina umuhimu cha kuzingatia ni je izo sheria zinatenda haki? Wewe binafsi unaonaje. Je sheria ya ndoa inatenda haki kwa jinsia zote mbili? Tuchukulie mfano wa ndoa ya klyn na mzee mengi., je klyn ana haki ya kurithi mali wakati huo utajiri wote aliukuta?
 
1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30's and under...

2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially..

3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.

4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,

5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.


Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
6. Wengine ni mashoga
 
Twende nae taratibu,ukute anatafuta mchumba humu JF

Wenzake wanawaza kuwa Marais, wabunge, madokta, waalimu, n.k. yeye anawaza kuolewa ahudumiwe kama maiti useme hapo kuna mwanamke wa kuoa?

Wenzake wanaomba wapewe mitaji wafanye biashara ili wawasaidie waume zao kwani wao ni Wake, yeye anatanguliza ubinafsi.
Hivi kina mwanaume WA maana atachugua Mwanamke wa aina hiyo Zama hizi.

Ni mtoto gani atataka Zama hizi azaliwe na Mama mwenye mawazo ya kitapeli kama hayo.
 
Suala la nani alitunga sheria kwa sasa halina umuhimu cha kuzingatia ni je izo sheria zinatenda haki? Wewe binafsi unaonaje. Je sheria ya ndoa inatenda haki kwa jinsia zote mbili? Tuchukulie mfano wa ndoa ya klyn na mzee mengi., je klyn ana haki ya kurithi mali wakati huo utajiri wote aliukuta?
I think walizozitunga waliangalia time, namaanisha wewe ukiachana na mkeo una uhakika wa kupata mke mwingine,,ila sio rahisi kwa mwanamke kupata mume mwingine ingawa wapo wanaopata waume wengine, hivyo muda unakuwa umepotezwa pia na kulea kuna consume time, hivyo time is the biggest factor,
 
Anaeweza kuiandika hii hesabu jamani anisaidie.

nimeshindwa kumuelewa mleta mada kaongea nini hapa kwenye umri😅😅
Screenshot_20230222-195131.png
 
Tufanye usawa hakuna, ila hizi sheria zilitungwa na wanawake pekee?? si ni jopo la wanaume pia ndio walitunga hizo sheria?? na mbona kuna wanaume wenzenu kibao tu wanaoa ingawa wanajua kabisaa wakiachana mali zinagawanywa pasu? au ni wajinga nyie ndio werevu sana???!
Mpka sasa sijaona sehemu umejibu hoja za hawa vijana umewashambulia PERSONAL sasa umuhimu wa ndoa utauonyesha vipi kama unajibu kimuhemko
 
Wenzake wanawaza kuwa Marais, wabunge, madokta, waalimu, n.k. yeye anawaza kuolewa ahudumiwe kama maiti useme hapo kuna mwanamke wa kuoa?

Wenzake wanaomba wapewe mitaji wafanye biashara ili wawasaidie waume zao kwani wao ni Wake, yeye anatanguliza ubinafsi.
Hivi kina mwanaume WA maana atachugua Mwanamke wa aina hiyo Zama hizi.

Ni mtoto gani atataka Zama hizi azaliwe na Mama mwenye mawazo ya kitapeli kama hayo.
Mbona unsmshambulua sana Anita Marikita
 
Haaa utajuaje kama akileta utapeli kama hata kujua anapretend ama not hujui???

eti umemruhusu kuwa mnafiki, yeye ni mnafiki wa kuzaliwa..haihitaji ruhusa yako labda apretend anahitaji ruhusa yako na wewe ulivyo kubwa jinga unaona umempa ruhusa.

Mimi ndiye Mwalimu wake, lolote akifanya nimemruhusu na nimemfundisha.

Wenzako Wanawaza vitu vya maana ili wajenge Familia imara na Bora wewe unadhani familia imara ni MKE kuhudumiwa 😂😂
Angalau ungesema MKE apewe uwezo wa kujisimamia na kujitegemea ungeonekana unaakili Kwa Mbali.
Lakini unawaza kuhudumiwa utadhani mtoto yatima, au mlemavu.

Hapo kuna MKE au Utapeli
 
Ukweli ni upi????utaje,kama ni kuelezea mabaya nimekuuliza kwa nini humu JF relatively wanaozungumzia mabaya ni wengi kuliko wanaozungumzia mazuri,naona hujanibu?
Jitahidi basi kui-shughulisha akili yako coz inachosha kurudia kutype jambo ambalo ni commented,,,rudia kusoma comments zangu then urudi na hoja nyingine siyo hii.
 
Wenzake wanawaza kuwa Marais, wabunge, madokta, waalimu, n.k. yeye anawaza kuolewa ahudumiwe kama maiti useme hapo kuna mwanamke wa kuoa?

Wenzake wanaomba wapewe mitaji wafanye biashara ili wawasaidie waume zao kwani wao ni Wake, yeye anatanguliza ubinafsi.
Hivi kina mwanaume WA maana atachugua Mwanamke wa aina hiyo Zama hizi.

Ni mtoto gani atataka Zama hizi azaliwe na Mama mwenye mawazo ya kitapeli kama hayo.
Mbona mama yako alikuzaa mtoto unachukia wanawake kama yeye????

ETI wanaomba wapewe mitaji si ndio kuhudumiwa kwenyewe huko??? usimpe mkeo mtaji basi si ni libepari?!
 
Jitahidi basi kui-shughulisha akili yako coz inachosha kurudia kutype jambo ambalo ni commented,,,rudia kusoma comments zangu then urudi na hoja nyingine siyo hii.
Umekosa la kuongea, hujanijibu unless sijaona comment yako, weka number ya comment yako
 
Tuwakatae kwanza feminists wa 50/50. Wale ambao macho yao yote kumlinda mtoto wa kike huku wakimbagua wa kiume na kumshushia kila aina ya lawama na mizigo yote. Huwezi kushawishi mtu aoe kiumbe ambaye tayari kajazwa sumu za kila aina na feminists.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom