Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 34,143
- 79,581
sasa kimbwa kukipa soda si ndio unafiki wenyewe huo?,tufanye mimi ni kimbwa kweli does that mean mkeo ni mnafiki kweli? khaa
Mnafiki Kwa Ngedere na vimbwa!
Hiyo sio shida, Mimi ndiye nimemruhusu.
Kwangu shida ni akileta Utapeli kama wako