Profesa Mark Mwandosya kuwa Rais kwa kipindi kimoja, Roho Mtakatifu amenituma niseme

Tanzania tuna uhuru wa maon na mawazo tunaliheshimu wazo na maoni yako tunasubir muda ufke unabii wako utimie kaka
 
Unaijua vizuri sauti ya Roho Mtakatifu ndugu? Kama huna uhakika kama ni sauti ya Roho Mtakatifu, basi andika kuwa ni mawazo yako. Usi msingizie Mungu kwa jambo ambalo hajakutuma uliseme.
Mkuu Ingekuwa mawazo yangu ningeweza kuvumilia lakini nimevumilia kwa zaidi ya miezi 6 sasa nimeuliza watu wakaniambia sema tu utaona hali inaondoka yenyewe
 
Nianze kwa kusema tu sina uhusiano wa aina yoyote na Profesa Mark Mwandosya, hanijui kwa jina wala sura pia kwa upande wangu namjui kwa jina na kumuona kwenye picha na video tu hatujawahi kukutana.

Ila hii sauti imeanza kuniijia kwa zaidi ya miezi sita sasa niliipuuzia lakini nimeshindwa inanisumbua sana. Sauti inaniambia niseme Profesa Mark Mwandosya aambiwe agombee urais atashinda lakini ataongoza kwa kipindi kimoja tu, ahakikishe anawapa mamlaka wananchi na kuipa dira ya kiuchumi na kiutawala nchi.

Ahakikishe mgombea mwenza wake ni competent enough kuongoza nchi . Ni hayo tu kwa kufikisha ujumbe hapa nahisi sauti hii inakoma kuniijia.

Aksante
Najuwa unaota ndoto, ila ukijisikia unakwenda chooni tafadhali AMKA !! La sivyo utajinyea mavi
 
Najuwa unaota ndoto, ila ukijisikia unakwenda chooni tafadhali AMKA !! La sivyo utajinyea mavi
Asante mkuu, lakini sijalala nikaota hii sauti naisikia nikiwa macho , nikiwa nimekaa peke yangu eneo tulivu, sauti ambayo hata ukiziba sikio inakuja, nimeuliza wakaniambia tafuta namna ya kufikisha ujumbe itaisha yenyewe, na leo nafikisha hapa, ukikejeli sawa maana mimi sina chochote ninachohitaji zaidi ya kukoma kuijiwa na hii sauti
 
Usia wa baba sasa tutauzingatia kikamilifu, upresidaa usikanyage kwenye maeneo ya manne aliyoyabainisha
 
Mkuu Ingekuwa mawazo yangu ningeweza kuvumilia lakini nimevumilia kwa zaidi ya miezi 6 sasa nimeuliza watu wakaniambia sema tu utaona hali inaondoka yenyewe
Haya. Ngoja tusubiri. Ni suala la muda tu. Ikiwa ni unabii wa Mungu kweli utatimia...... mwaka 2024 sio mbali ni keshokutwa tu .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom