shingwengwe
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 1,152
- 127
Kuna Madakari wengi wapo nje pamoja na wasomi/na wabeba box wanakosa hizi fursa.
wabeba box kama chriss lukosi bila shaka!
Kuna Madakari wengi wapo nje pamoja na wasomi/na wabeba box wanakosa hizi fursa.
Ndugu katafiti tena wanaopewaga uraia huwa wanakuwa wameukana uraia wa huko wanakotoka.
Bwana mdogo,
Sio Prof Baregu peke yake anayepinga hili suala. Mimi na wengineo wengi tunaoipenda TZ na kuamua kuifia hatutaki hilo kwa sababu moja ya msingi "Huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja". Hulazimishwi kumtumikia umtumikie nani ila huwezi kuwepo kote. Wengi wetu hatuna ndoto za kulowea kokote hivyo hatuoni sababu yoyote ya kubadilisha msimamo wetu.
Mbona kama ni uwekezaji tunawaona wageni wengi wanakuja na kuwekeza halafu wakichuma wanarudi kwao? Mbona sioni wakiomba uraia wa TZ kwa udi na uvumba? Kwani nyinyi ni nani usiende ughaibuni ukachuma hafu ukarudi kwenu? Nafikiri WaTZ hatuna sababu ya kuruhusu watu wetu kuwa popo. Kuwa M-TZ kama ulizaliwa Mtanzania ni haki yako mpaka utakapoikataa. Sheria zetu hazikatazi wewe kwenda nje na kufanya kazi ukiwa "proud kuwa MTanzania".
Wewe na wenzako wa aina yako muamue kunyoa au kusuka. Hainihusu mimi wa kijijini.
Sheria yetu hairuhusu hayo, na ikiwa wanafanya hivyo wanavunja sheria. Tatizo letu ni utekelezaji wa sheria. Udhaifu huu hauwezi kutufanya tutunge sheria ya kukubali uria pacha!hivi hujiulizi hawa wazungu tunaowapa uraia hapa Tanzania wao wanaendelea kutambulika kwao? sasa kama ni hivyo nini unakataa na nini unazuia?
Kwa kuwa haikuhusu basi hutaki iwe hivyo.kama ni hivyo basi kulikuwa hakuna haja ya kuwa na viwanja vya ndege maana haviwahusu watanzania wengi wa vijijini.hakuna haja ya kuwa na barabara nzuri DSM maana haiwahusu watu wa mtera.
Ukiangalia kwa mapana unaona kuwa kuna watu wanaumia na wangehitaji kupata nafasi ya kutumikia nchi yao.lakini pia wangependa kuendelea kuwa watanzania wa kuzaliwa na hata kama wewe haitakufaidisha uwe na furaha kwani watanzania wenzako watafaidika nayo kama wanavyofaidi uwepo wa airport na barabara nzuri DSM
Sorry, I did not know I was commenting on something some people do not understand OR their power of reasonable analysis is well below a dimwit. I expected you to argue your way as to why the status quo is invalid given that no one said you should not adopt any nationality of your choice.
Hujataja ni faida gani hizo ambazo kukosa uraia wa nchi mbili kumekuzuia kuisaidia Tanzania. Ukweli ni kuwa hakuna. Bado unaweza kufanya vyote unavyotaka ukiwa nje na bado ni mtanzania. Wengi wenu mnataka huu uraia wa nchi mbili ili muweze kufaidi cheap services kama raia huko mliko but this is CHEATING and an honourable person will not resort to that kind of behaviour. I personally worked in various countries with my Tanzanian passport and had never contemplated adopting other nationalities. You should fight to build a social order in your own country similar to the european OR Australian or whatever instead of wanting to reap where you did not sow. Tujenge nchi yetu ili wengine waitamani kuwa raia wake kama unavyotamani huko badala ya kukimbilia uraia wao. You must excuse me but I have difficult understanding guys like you. I might be forced to call you guys a nasty name but I am above that.
We are well above that and I can assure you, the debate is closed "NO DUAL NATIONALITY" as far as many of us who can argue for a single nationality are alive. We shall tell the majority poor why it should not be allowed in the country. Not because others are adopting, but because we do not need it in Tanzania.
With this article what do you entail? That you can't have dual citizenship similarly to nationality. What is confusing most of us and even politicians is that they seek for nationality of two nations which according to your article is absolutely IMPOSSIBLE!Difference Between Nationality and Citizenship
Nationality vs Citizenship
Nationality and citizenship are two terms that are sometimes used interchangeably. Some people even use the two words '" citizenship and nationality - as synonyms. But this is not true and they differ in many aspects.
First of all let's see what nationality means. In simple words, nationality can be applied to the country where an individual was born. Then what does citizenship stands for? It is a legal status, which means that an individual has been registered with the government in some country.
An individual is a national of a particular country by birth. Nationality is got through inheritance from his parents or it be called a natural phenomenon. On the other hand an individual becomes a citizen of a country only when he is accepted into that country's political framework through legal terms.
Elaborating the two words, an individual born in India, will be having Indian Nationality. But he may have an American citizenship once he has registered with that country.
Well, No one will be able to change his nationality but one can have different citizenship. An Indian can have an American or Canadian citizenship but he cannot change his nationality. Another example is that people of the European Union may have European Union Citizenship but that person's nationality does not change.
Coming to citizenship, some nations also confer honorary citizenship to individuals. But no country can confer honorary nationality on any one as his birthplace cannot be changed.
Nationality can be described as a term that refers to belonging to a group having same culture, traditions history, language and other general similarities. On the other hand, citizenship may not refer to people of the same group. For example, an Indian and may be having a US citizenship but he will not be belonging to the same group as that of the American nationals.
Summary
1. Nationality can be applied to the country where an individual has been born. Citizenship is a legal status, which means that an individual has been registered with the government in some country.
2. Nationality is got through inheritance from his parents or it be called a natural phenomenon. On the other hand an individual becomes a citizen of a country only when he is accepted into that country's political frameworkthrough legal terms.
3. No one will be able to change his nationality but one can have different citizenship.
Read more: Difference Between Nationality and Citizenship | Difference Between | Nationality vs Citizenship Difference Between Nationality and Citizenship | Difference Between | Nationality vs Citizenship
With this article what do you entail? That you can't have dual citizenship similarly to nationality. What is confusing most of us and even politicians is that they seek for nationality of two nations which according to your article is absolutely IMPOSSIBLE!
Neno la Kiswahili Uraia ndo nafikiri wengi wenu linawachanganya. Hili si kosa lenu bali ni kosa la lugha ya kiswahili kutokuwa na msamiati sahihi. Naomba mtofautishe kwa kutumia neno la kiingereza.
1.Nationality
2. Citizenship
Watanzania wanaochukua Citizenship huko waliko, hawawezi kuchukua Nationality ya huko pia. Nationality ni moja tu sehemu ulipozaliwa ktk jamii yako, hili ni swala linalofungamana na social, lingua nk. Na nationality hauwezi kuwa renounced. Hivyo kuwa nyanganya watanzania nationality yao ni uvunjifu wa haki za binadamu. Kwa maana kwamba haitakuja siku mtanzania akapata nationality ktk nchi yeyote ile.
Citizenship ndo suala la kisiasa ambalo unaweza chukua ya nchi yoyote ile, hii ndo imeambatana na kupewa passport ama ID. Na unaweza renounced mda wowote ule hii citizenship. Na ndio maana , ktk nchi zote duniani isipokuwa Tanzania tu, mtu mwenye nationality lakini hana citizenship(passsport) anaruhusiwa kwenda kwao na kufanya mambo kwao.
Hili suala la Tanzania kunyang'anya watu Nationality kumbuka sio citizenship, ni Nationality ni uvijifu wa haki za binadamu at the highest order possible.
Watu wameoa na kuolewa, kwa sheria hii ya unjifu wa haki ya binadamu ya Kitanzania Explicitly ina state kwamba, Mtanzania haruhusiwi pia kuoa ama kuolewa nje ya nchi. Ni sheria ya zaidi ya kihuni, ukishindwa kuona huu uhuni kwa kweli itatia shaka ktk level nyingine. Ni sheria ya kurithi ya walugaluga wa mtemi Isike.
Ndio maana nchi kama Marekania mtanzania ambaye ameasiliwa uraia wa nchi hiyo huitwa 'Tanzanian American'
Difference Between Nationality and Citizenship
Nationality vs Citizenship
Nationality and citizenship are two terms that are sometimes used interchangeably. Some people even use the two words '" citizenship and nationality - as synonyms. But this is not true and they differ in many aspects.
First of all let's see what nationality means. In simple words, nationality can be applied to the country where an individual was born. Then what does citizenship stands for? It is a legal status, which means that an individual has been registered with the government in some country.
An individual is a national of a particular country by birth. Nationality is got through inheritance from his parents or it be called a natural phenomenon. On the other hand an individual becomes a citizen of a country only when he is accepted into that country's political framework through legal terms.
Elaborating the two words, an individual born in India, will be having Indian Nationality. But he may have an American citizenship once he has registered with that country.
Well, No one will be able to change his nationality but one can have different citizenship. An Indian can have an American or Canadian citizenship but he cannot change his nationality. Another example is that people of the European Union may have European Union Citizenship but that person's nationality does not change.
Coming to citizenship, some nations also confer honorary citizenship to individuals. But no country can confer honorary nationality on any one as his birthplace cannot be changed.
Nationality can be described as a term that refers to belonging to a group having same culture, traditions history, language and other general similarities. On the other hand, citizenship may not refer to people of the same group. For example, an Indian and may be having a US citizenship but he will not be belonging to the same group as that of the American nationals.
Summary
1. Nationality can be applied to the country where an individual has been born. Citizenship is a legal status, which means that an individual has been registered with the government in some country.
2. Nationality is got through inheritance from his parents or it be called a natural phenomenon. On the other hand an individual becomes a citizen of a country only when he is accepted into that country's political frameworkthrough legal terms.
3. No one will be able to change his nationality but one can have different citizenship.
Read more: Difference Between Nationality and Citizenship | Difference Between | Nationality vs Citizenship Difference Between Nationality and Citizenship | Difference Between | Nationality vs Citizenship
Sorry, I did not know I was commenting on something some people do not understand OR their power of reasonable analysis is well below a dimwit. I expected you to argue your way as to why the status quo is invalid given that no one said you should not adopt any nationality of your choice.
Hujataja ni faida gani hizo ambazo kukosa uraia wa nchi mbili kumekuzuia kuisaidia Tanzania. Ukweli ni kuwa hakuna. Bado unaweza kufanya vyote unavyotaka ukiwa nje na bado ni mtanzania. Wengi wenu mnataka huu uraia wa nchi mbili ili muweze kufaidi cheap services kama raia huko mliko but this is CHEATING and an honourable person will not resort to that kind of behaviour. I personally worked in various countries with my Tanzanian passport and had never contemplated adopting other nationalities. You should fight to build a social order in your own country similar to the european OR Australian or whatever instead of wanting to reap where you did not sow. Tujenge nchi yetu ili wengine waitamani kuwa raia wake kama unavyotamani huko badala ya kukimbilia uraia wao. You must excuse me but I have difficult understanding guys like you. I might be forced to call you guys a nasty name but I am above that.
We are well above that and I can assure you, the debate is closed "NO DUAL NATIONALITY" as far as many of us who can argue for a single nationality are alive. We shall tell the majority poor why it should not be allowed in the country. Not because others are adopting, but because we do not need it in Tanzania.