Profesa BAREGU ndiye kinara wa kupinga dual citizenship

Profesa BAREGU ndiye kinara wa kupinga dual citizenship

Hivi sababu zilizotufanya tukatae "dual citizenship' hapo awali zime'expire' (zimeisha muda wake) ama bado?

Hivi kama unaipenda nchi yako....kwa nini unaahaa kutafuta nchi uraia wa nchi nyingine...hivi mnajua kwa nini nchi zilizoendelea zinapenda dual citizenship...? Raia wake karibu wote wanaouwezo wakukabliana na yeyote kiuchumi nakadhalika,Tanzania tuna rasilimali nyingi watanzania wengi hawawezi kukabiliana kiuchumi na yeyote...kitendo cha kuruhusu dual citizenship..maana yake sasa hata Mmarekani , mchina ana haki ya kuomba uraia hapa na kupewa huku akiendela kuwa mchina....mmarekani ki-uraia. Naye atataka fursa sawa na mtanzania hoehae (ambao tuko wengi) katika nyanja za kiuchumi...hivyo yeye kwakuwa anao uwezo wakiuchumi atafaidika zaidi na rasilima zetu kuliko wenyeji wa nchi hii. Ili litatudidimiza kabisa...tukubali kuwa na Dual citizenship tukishajiridhisha kuwa Watanzania karibu wote sasa wanao uwezo wakukabiliana na raia yeyote yule hapa Ulimwenguni katika ushindani wa kiuchumi...

Kwa ufupi, Tanzania, hatujawa tayari kuwa na Dual Citizenship...kwa sababu nilizozitoa hapo juu.

....."hivyo kwakuwa yeye ana uwezo wa kiuchumi utatudidimiza...."

Unamaanisha nini!?
Na huo uwezo wa Watanzania kukabiliana na raia yeyote wa kigeni una maanisha nini?

Ngoja nikupe mtazamo wangu.

Kwanza;
Kinachoombwa hapa, ni sheria iwaruhusu Wa Tanzania wanaoishi nje wasipoteze uraia wao kwakuwa tu wamepata haki za uraia huko waliko!

Pili;
Watanzania hawa waliopata sifa za kupata uraia huko nje, wengi "wapo tayari kukabiliana" na changamoto zinazoletwa na raia wasio wazawa lakini wanapata Uraia wa Tanzania bila kuathiri uraia wa nchi walizotoka.



#MosKwito !
 
Huwa tunaheshimu maoni ya wenzetu! nao pia ni ustaarabu especially kwenye issues ambazo ni mtambuka kama hii

ni katika heshima hiyohiyo ni vizuri kutoa feedback kwa mtu abnaemislead, either kwa kujua au kutokujua
 
Hivi Katika sheria za Tanzania zinaruhusu mgeni tuseme mfano mhindi kupewa uraia wa Tanzania?
Na kama ndivyo, je ni nani anaye pose hatari kubwa kati ya tuseme mhindi alizaliwa India akakulia India akaja kupewa uraia wa Tanzania. Na mtanzania mzawa anayemiliki passport ya UK, kupewa passport nyingine ya Tanzania?

Ukitambua mantiki ya hiki nilichoandika hapa, utajua hoja zote zinazojengwa na wapinga wenzao watanzania kurudishiwa haki yao ya msingi si hoja bali ni umasikini wa kufikiri.

Mfano, Mchina aliyezaliwa China na kukulia China kaja Tanzania kaukana uraia wa China akapewa uTanzania, na je vita ikitokea kati ya China na Tanzania huyu mtanzania-mchina atasimamia wapi? Lakini kumbuka huyu mchina anapewa uTanzania eti kwa sababu ya maneno tu kukana uchina, good and fine, eti kwa akili za Kitanzania huyu haatarishi masilahi ya Tanzania. Tuangalie upande wa pili.

Mtanzania aliyezaliwa Tanzania akakulia Tanzania akaenda China ktk harakati za maisha, akapata passport ya China. Na je huyu vita ikitokea kati ya China na Tanzania atasimamia wapi? eti kwa akili za kiTanzania huyu jamaa hapaswi kupewa passport ya Kitanzania kwa sababu ni hatari kwa mustakbali wa Tanzania kuliko yule mchina hapo.
What a shame!!!!!!!!!!!
 
Hivi Katika sheria za Tanzania zinaruhusu mgeni tuseme mfano mhindi kupewa uraia wa Tanzania?
Na kama ndivyo, je ni nani anaye pose hatari kubwa kati ya tuseme mhindi alizaliwa India akakulia India akaja kupewa uraia wa Tanzania. Na mtanzania mzawa anayemiliki passport ya UK, kupewa passport nyingine ya Tanzania?

Ukitambua mantiki ya hiki nilichoandika hapa, utajua hoja zote zinazojengwa na wapinga wenzao watanzania kurudishiwa haki yao ya msingi si hoja bali ni umasikini wa kufikiri.

Mfano, Mchina aliyezaliwa China na kukulia China kaja Tanzania kaukana uraia wa China akapewa uTanzania, na je vita ikitokea kati ya China na Tanzania huyu mtanzania-mchina atasimamia wapi? Lakini kumbuka huyu mchina anapewa uTanzania eti kwa sababu ya maneno tu kukana uchina, good and fine, eti kwa akili za Kitanzania huyu haatarishi masilahi ya Tanzania. Tuangalie upande wa pili.

Mtanzania aliyezaliwa Tanzania akakulia Tanzania akaenda China ktk harakati za maisha, akapata passport ya China. Na je huyu vita ikitokea kati ya China na Tanzania atasimamia wapi? eti kwa akili za kiTanzania huyu jamaa hapaswi kupewa passport ya Kitanzania kwa sababu ni hatari kwa mustakbali wa Tanzania kuliko yule mchina hapo.
What a shame!!!!!!!!!!!


Mkuu wakati nakubaliana na wewe kwa kiwango kikubwa na nikiwa sina tatizo sana na Watz wanaopata uraia pacha lakini ningependa ubaki ktk sababu za msingi. Watanzania ninao wafahamu hata hawa wageni wanaopewa uraia wa Tanzania hapa nyumbani bado wanawachukulia kama siyo Watanzania wenzao.

Nadhani unawaelewa vizuri wengi wa watu weusi ambavyo wamejaa kasumba ya kutukuza uzungu. Kwa hiyo panapo matatizo hawa jamaa wengi watajitambulisha kama Waamerika,Waingereza,Wajerumani. Ni wachache wataipigania na kuitukuza Tanzania hata kama ni taifa lao la asili na ambako wanafamilia wao wengi wanatokea!
 
Mkuu wakati nakubaliana na wewe kwa kiwango kikubwa na nikiwa sina tatizo sana na Watz wanaopata uraia pacha lakini ningependa ubaki ktk sababu za msingi. Watanzania ninao wafahamu hata hawa wageni wanaopewa uraia wa Tanzania hapa nyumbani bado wanawachukulia kama siyo Watanzania wenzao.

Nadhani unawaelewa vizuri wengi wa watu weusi ambavyo wamejaa kasumba ya kutukuza uzungu. Kwa hiyo panapo matatizo hawa jamaa wengi watajitambulisha kama Waamerika,Waingereza,Wajerumani. Ni wachache wataipigania na kuitukuza Tanzania hata kama ni taifa lao la asili na ambako wanafamilia wao wengi wanatokea!

Mkuu
Nakupata, lakini hoja yangu hapa ni kuwa sababu zote zinazotolewa na wapinga dual citizenship kwa watanzania wenzano hazina mawani ktk darubini ya hoja. Hii ni kwa sababu, Tanzania inaruhusu kuwapa uraia, raia wa kigeni ambao wameishi na kuzaliwa na kuwa na tamaduni huko ugenini. Sasa basi kama Tanzania inatoa uraia kwa wageni basi hii sheria ina nullify hoja zote za ma anti-dual.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mkuu wakati nakubaliana na wewe kwa kiwango kikubwa na nikiwa sina tatizo sana na Watz wanaopata uraia pacha lakini ningependa ubaki ktk sababu za msingi. Watanzania ninao wafahamu hata hawa wageni wanaopewa uraia wa Tanzania hapa nyumbani bado wanawachukulia kama siyo Watanzania wenzao.

Nadhani unawaelewa vizuri wengi wa watu weusi ambavyo wamejaa kasumba ya kutukuza uzungu. Kwa hiyo panapo matatizo hawa jamaa wengi watajitambulisha kama Waamerika,Waingereza,Wajerumani. Ni wachache wataipigania na kuitukuza Tanzania hata kama ni taifa lao la asili na ambako wanafamilia wao wengi wanatokea!

.....ningeomba utoe mifano michache kwa tafsiri yako, una maanisha nini kuipigania na kuitukuza Tanzania.




#MosKwito !
 
Mkuu
Nakupata, lakini hoja yangu hapa ni kuwa sababu zote zinazotolewa na wapinga dual citizenship kwa watanzania wenzano hazina mawani ktk darubini ya hoja. Hii ni kwa sababu, Tanzania inaruhusu kuwapa uraia, raia wa kigeni ambao wameishi na kuzaliwa na kuwa na tamaduni huko ugenini. Sasa basi kama Tanzania inatoa uraia kwa wageni basi hii sheria ina nullify hoja zote za ma anti-dual.

Kama ulivyo jadili hapo awali wengi wetu hawajui Nationality na Citizenship zina tofauti gani na kwa kiwango ndipo tatizo la mjadala huu na itakayo fuata itajikita.

Kama sikosei hata Tume ya Warioba wamelikwepa hilo wamelitupia Bunge na Serikali walimalize. Kwa maoni yangu ni kwamba kuwepo haki msingi za Kikatiba ambazo Nationals wote wa Tanzania watakua nazo bila kujali citizenship zao. Na ziwepo haki fulani fulani ambazo yule aliye chukua uraia wa nje atazikosa! Na tunaweza andika kwamba raia kwa mfano toka nchi zote jirani hawatapewa uraia pacha!
 
Wa Bongo kwa chuki tuu hatujambo

cha ajabu viongozi wetu karibuni wote watoto wao wana passports za nje

chuki kitu kibaya sana
 
Nimesoma hizo hoja kwenye katiba ya kenya

na pia nimetazama hiyo video

sisi hata tufanye nini hatutoweza kuwafikia hawa waKenya

Hilo lazima tulikubali

hizi chuki hazitotufikisha mahala kokote kule
 
Kwa wanao-support dual citizenship, naomba mtutajie hasara za kuwa na Dual citizenship system kwenye nchi.
 
Kwa wanao-support dual citizenship, naomba mtutajie hasara za kuwa na Dual citizenship system kwenye nchi.


soma hapa:

Israeli-diaspora.png




Jewish diaspora - Wikipedia, the free encyclopedia
 
hata siafiki dual citizenship. wenye uraia wa nchi zingine ni watoto wa vigogo ambao wanataka kuwa na uwezo wa kugombea uongozi baada ya kupata mafanikio ugaibuni. hawa si wazalendo hata kidogo lazima tuwaogope kama ukoma.
 
Kuna jamaa aliyekuwa akiishi Ulaya na vita ilipoanza kwao MALI, basi aliomba ruhusa na wakamruhusu kwenda kwao kusaidia majeshi yanayopigana kuwakomboa Wana Mali. Kuna kijana pia M-Libya aliondoka na kwenda kwao kupigana na wanajeshi wa Ghadaff. Hata TV nyingi zilionyesha watu wa namna hiyo walioondoka USA, Ulaya nk kuja kupigana.

Nina imani kabisa wale wote wa kupewa Passport za Libya, walichukua Mapipa na Meli haraka na kukimbia.

Inatakuwa kuwa TAAHIRA kutokujua nani ni Mtanzania hasa. Hivi Mafisadi na wauza unga ni Watanzania kweli?

majangili.jpg

Hivi Katika sheria za Tanzania zinaruhusu mgeni tuseme mfano mhindi kupewa uraia wa Tanzania?
Na kama ndivyo, je ni nani anaye pose hatari kubwa kati ya tuseme mhindi alizaliwa India akakulia India akaja kupewa uraia wa Tanzania. Na mtanzania mzawa anayemiliki passport ya UK, kupewa passport nyingine ya Tanzania?

Ukitambua mantiki ya hiki nilichoandika hapa, utajua hoja zote zinazojengwa na wapinga wenzao watanzania kurudishiwa haki yao ya msingi si hoja bali ni umasikini wa kufikiri.

Mfano, Mchina aliyezaliwa China na kukulia China kaja Tanzania kaukana uraia wa China akapewa uTanzania, na je vita ikitokea kati ya China na Tanzania huyu mtanzania-mchina atasimamia wapi? Lakini kumbuka huyu mchina anapewa uTanzania eti kwa sababu ya maneno tu kukana uchina, good and fine, eti kwa akili za Kitanzania huyu haatarishi masilahi ya Tanzania. Tuangalie upande wa pili.

Mtanzania aliyezaliwa Tanzania akakulia Tanzania akaenda China ktk harakati za maisha, akapata passport ya China. Na je huyu vita ikitokea kati ya China na Tanzania atasimamia wapi? eti kwa akili za kiTanzania huyu jamaa hapaswi kupewa passport ya Kitanzania kwa sababu ni hatari kwa mustakbali wa Tanzania kuliko yule mchina hapo.
What a shame!!!!!!!!!!!
 
Kumbuka huyu unayemsema kwamba ni Mtanzania alikwishakuukana Utanzania wake pale alipochukua uraia wa nchi nyingine. Leo hii ukileta hoja ya uzalendo ni vigumu kukubaliana na wewe kwa sababu kitendo cha kuukana Utanzania ni ushahidi tosha kwamba uzalendo haupo bali ni maslahi ndiyo yanakuja mbele. Kulikuwepo na wimbi la vijana kujilipua na hilo limesaidia kuongeza idadi ya watu wanaoshiriki biashara haramu kwa kuukana Utanzania na kujivisha uraia wa mataifa ya Ulaya. Tujadili kuhusu merits na demerits za uraia wa nchi mbili huku tukiacha kuangalia maslahi binafsi. Napata tabu sana kuukubali uraia wa nchi mbili kama nipatavyo tabu kuamini kwamba mtu anaweza kuzipenda nchi mbili zinazomuhusu kwa kujigawa. Watani ni watani ama una uzalendo nao au huna huwezi kuugawa uzalendo ama upo au haupo.
 
Kumbuka huyu unayemsema kwamba ni Mtanzania alikwishakuukana Utanzania wake pale alipochukua uraia wa nchi nyingine. Leo hii ukileta hoja ya uzalendo ni vigumu kukubaliana na wewe kwa sababu kitendo cha kuukana Utanzania ni ushahidi tosha kwamba uzalendo haupo bali ni maslahi ndiyo yanakuja mbele. Kulikuwepo na wimbi la vijana kujilipua na hilo limesaidia kuongeza idadi ya watu wanaoshiriki biashara haramu kwa kuukana Utanzania na kujivisha uraia wa mataifa ya Ulaya. Tujadili kuhusu merits na demerits za uraia wa nchi mbili huku tukiacha kuangalia maslahi binafsi. Napata tabu sana kuukubali uraia wa nchi mbili kama nipatavyo tabu kuamini kwamba mtu anaweza kuzipenda nchi mbili zinazomuhusu kwa kujigawa. Watani ni watani ama una uzalendo nao au huna huwezi kuugawa uzalendo ama upo au haupo.

....unapoandika kujigawa kuzipenda nchi mbili maana yake nini?
Mbona wewe ni kabila fulani mwenye asili ya mkoa fulani lakini upo mjini na umejijenga?


#MosKwito !
 
Nyie mnaopinga dual citizenship si msiseme ukweli hamtaki competition ya kula bata Tanzania? Mnajua mkiruhusu uraia wa nchi mbili, hao wabongo walioko nje watakuja kuingia kwenye siasa na sehemu zingine nyeti na watawazibia rizki. Tusije kufanya kama Cuba lakini. Maana wale wa Cuba walioko Marekani kila siku wanaipiga vijembe Cuba na mpaka leo Cuba na Marekani hawana uhusiano. Ukisikia Marekani inataka kuanza uhusiano na Cuba, wa Cuba walioko Marekani wanapiga kelele.
 
Kimsingi hakuna sababu,lakini nikuulize kwa nini watanzania wanashindwa utanzania.Mtu mkubwa alisema naye hajui kwa nini watz ni masikini.Hivyo namimi sababu ya watz kukosa utz siijui nahisi ni njaa.
Wenye mabilioni uswiss walisomea uchina?
Utaifa ni kuangalia mambo ya msingi yanayoliletea taifa maendeleo na siyo kutanguliza ulaji,take it from me,wote wanaogombea dual citizenship ni wale wenye kutaka kutorosha meno ya tembo,na kuuza unga bila kudaiwa visa za nchi husika/wanazopeleka mizigo.
Zamani ilikuwa mtu akiiba fedha kufikia milioni ishirini ulikuwa unafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi,leo hii walioiba mabilioni ya EPA wanaombwa warudishe kabla hawajachukuliwa hatua,je hapo kuna utanzania?
Hivi mkiandika huwa hasomi kwanza kabla ya ku-post ili ujue ulichoandika??maana sikuelewi hata ulitaka kuandika kuhusu meno ya tembo au dual citizenship!!kichwa chako kinawaza kama ma**ko ya bata akitaka kuharisha!!!
 
Back
Top Bottom