Profesa BAREGU ndiye kinara wa kupinga dual citizenship

Profesa BAREGU ndiye kinara wa kupinga dual citizenship

Kwa kukusaidia tu Profesa ambaye yupo UDSM na alikuwepo kwenye tume ni Prof. Palamagamba Kabudi, ila sijui kama ndie aliekazania hiyo hoja yako.
 
mleta maada toa hoja usimu abuse mtu kwa taaluma yake na huenda we ukijumlisha elimu za ukoo wenu ndo umfikie prof. Baregu kwani ye amepinga kwa hoja gani lete hoja tujadili sio ushabik wa kijinga

Mi nadhani yupo sahihi sisi watanzania hatujui kutumia uhuru tukipewa chochote lazima tukizidishe hapa sheria haijapita wageni kibao walianza wahindi wako kibao saiz wachina wamejaa tz sasa fkiria tukiwapa uraia wote itakuwaje na wengine wakija itakuwaje?? itakuwa nchi au shirika la wakimbizi??

tumeshindwa kuuinua uchumi wetu tukiwa wenyewe tukiongeza na wengine wataokuwa na uraia hapa si ndo tutakuwa wa mwisho hebu fikiri kwa kutumia akili hapo ndo unaonesha utofauti wako na prof tungekuwa tunaweka sheria kwa kuangalia nchi basi tungehalalisha ushoga coz nchi kubwa zmehalalisha
 
Yaani Baregu si ni yule wa CDM?....hivi mtu wa CDM< anaweza kukwamisha mambo ya serikali? ....ukiona hivyo wanatafuta mtu wa kumsigizia .....ila kuna mahali nisoma juu ya hilo la urai wa nchi mbili, nadhani kwa Tanzaia bado sana, labda kama kuna jambo njuma ya pazia.....mfano Mh. Membe najua alikaa sana USA, inawezeka watoto wake wana uraia wa USA, sasa wanataka wasikoso keki ya taifa ambayo wao wanaitafuna sasa......sio kila jambo tunalikimbilia tu
 
Kwa Mtanzania wa kweli sidhani kama anaweza kushabikia hoja hii. Bila shaka manufaa ni kwa kundi dogo sana la watu ambalo mwisho wa siku watakuja ku-abuse hiyo haki.

Hivi Baregu gani yuko UD Fanya utafiti kabla ya kuleta mada hapa JF na mijitu mingine inakurupuka kusaport mada bila kujiuliza.
 
Sidhani kama ni prof Baregu maana hayuko UD muda mrefu kabla hata hii hoja haijaanza. Ila nilipata kusikia mjumbe mmoja wa tume akisema Marehemu Mvungi ndiye alijenga hoja kwamba serikali isikwepe jukumu la kuendeleza raia wake halafu inalilia uraia wa nchi 2 ili raia wake wakaendelezwe na serikali nyingine.
 
kila JK akizungumzia suala hili la dual citizenship anasema kuna profesa yuko UD anaongoza kwa kupinga hili suala

sasa kwa kuwa hapa we dare TALK OPENLY nathubutu kumtaja kuwa ni profesa BAREGU sababu zake hazina msingi. kama kweli tuko serious kwa nini tusifanye kama CHINA au ISRAEL au NIGERIA au KENYA au ETHIOPIA tukawatumia hawa diaspora?


In the end inashangaza sana PROFESA BAREGU kuwa na mawazo mgando kama haya

Kwanza Baregu hayuko UDSM. Pili hata angekuwa UDSM tupe sababu alizotoa huyo anaepinga ili tuzifanyie tafakuri kusema tu sababu zake hazina msingi haitoshi.

Hivi uraia wa nchi mbili unamnufaisha nani hasa? Nani anastahil huo uraiya wa nchi mbili? Kukiwa na vita nani atapigana yule ambae hana pengine kwa kwenda labda awe kimbizi au yule raia naeishi nje ya Tanzania na uraia wake wa nchi nyingine?. Wakifanya hovyo hawa wenye uraia wa nchi mbili tutawadhibiti vipi? Nikipata majibu ya haya ndio nitalifikiria hili jambo kwa undani.
 
HEKIMA NI UHURU.
Mtoa mada ulitakuwa uziweke hizo sababu za huyo prof. Kukataa uraia wa nchi mbili ili tujadili vinginevyo ni kumchafua mtu tu bila sababu zenye mashiko.
 
Kimsingi hakuna sababu,lakini nikuulize kwa nini watanzania wanashindwa utanzania.Mtu mkubwa alisema naye hajui kwa nini watz ni masikini.Hivyo namimi sababu ya watz kukosa utz siijui nahisi ni njaa.
Wenye mabilioni uswiss walisomea uchina?
Utaifa ni kuangalia mambo ya msingi yanayoliletea taifa maendeleo na siyo kutanguliza ulaji,take it from me,wote wanaogombea dual citizenship ni wale wenye kutaka kutorosha meno ya tembo,na kuuza unga bila kudaiwa visa za nchi husika/wanazopeleka mizigo.
Zamani ilikuwa mtu akiiba fedha kufikia milioni ishirini ulikuwa unafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi,leo hii walioiba mabilioni ya EPA wanaombwa warudishe kabla hawajachukuliwa hatua,je hapo kuna utanzania?

Mkuu kilio chako ni kilio changu na kilio cha wengi kabisa. Kwa maoni yangu ninakubaliana na wewe ila swala dual lisiwe na kisingizio kama hicho. Ninakubaliana kuwa hiyo mianya itatumiwa na baadhi ya wajanja kufanya uharamia wao. Lakini isiwe sababu ya kuharibu yanayowezekana na pia kuwa na faida. Wewe angalia hapa wasomi wote wanataka kuwa wabunge, mtu ni engineer wa umeme, ujenzi, mitambo eti priority ni kuwa mbunge '' uliona wapi'' Ninaona dual citzenship isikutoe kwenye mawazo yako mazuri. Tuikubali hini ya umakini kama wa Ghana haitakuwepo tatizo. Mkuu ninaomba unijulishe kidogo haya kama ulisomea TZ, hivi kule katika universities zenu wanafundisha nini has zaidi? Engineer anatayarishwa kuwa mwana siasa au vipi?
 
kila JK akizungumzia suala hili la dual citizenship anasema kuna profesa yuko UD anaongoza kwa kupinga hili suala

sasa kwa kuwa hapa we dare TALK OPENLY nathubutu kumtaja kuwa ni profesa BAREGU sababu zake hazina msingi. kama kweli tuko serious kwa nini tusifanye kama CHINA au ISRAEL au NIGERIA au KENYA au ETHIOPIA tukawatumia hawa diaspora?


In the end inashangaza sana PROFESA BAREGU kuwa na mawazo mgando kama haya
Person interest ndizo zinaku-drive kuandika mambo haya juu juu bilia kuwa na hoja ya msingi.
 
Kwanza Baregu hayuko UDSM. Pili hata angekuwa UDSM tupe sababu alizotoa huyo anaepinga ili tuzifanyie tafakuri kusema tu sababu zake hazina msingi haitoshi.

Hivi uraia wa nchi mbili unamnufaisha nani hasa? Nani anastahil huo uraiya wa nchi mbili? Kukiwa na vita nani atapigana yule ambae hana pengine kwa kwenda labda awe kimbizi au yule raia naeishi nje ya Tanzania na uraia wake wa nchi nyingine?. Wakifanya hovyo hawa wenye uraia wa nchi mbili tutawadhibiti vipi? Nikipata majibu ya haya ndio nitalifikiria hili jambo kwa undani.

Mkuu kuhusu Dr Baregu alitoa sababu zipi sijui. Ila mkuu ninaomba nikuulize hapo juu uliposema nchi ikiwa na vita hao jamaa tuta watumiaje! E bwana kama hicho ni kigezo basi ninaona kazi ipo kweli! Hawa watu hawafiki hata asilimia 1 ya watanzania. Pili mkuu kumbuka kuna watu wana passport za kitanzania ambao sio watanzania. Nikupe mfano mdogo, angalia pale western bank, hasa ktk nchi za nje mtu anataka kutuma pesa anaonyesha passport ya TZ, wewe ukiwa karibu muulize hee ndugu unatokea sehemu ipi ya kwetu, utaona maajabu ya MUSA!
 
kila JK akizungumzia suala hili la dual citizenship anasema kuna profesa yuko UD anaongoza kwa kupinga hili suala

sasa kwa kuwa hapa we dare TALK OPENLY nathubutu kumtaja kuwa ni profesa BAREGU sababu zake hazina msingi. kama kweli tuko serious kwa nini tusifanye kama CHINA au ISRAEL au NIGERIA au KENYA au ETHIOPIA tukawatumia hawa diaspora?


In the end inashangaza sana PROFESA BAREGU kuwa na mawazo mgando kama haya
Kama ni hayo, hata mimi namuunga mkono Prof. Uzalendo ni pamoja na kushikilia ulichonacho siyo kukikana tu ati kwa sababu unataka kupata kazi, elimu, afya kwa unafuu!
 
swala la kumzuia mtanzania asiwe na uraia pacha ni kumdulumu haki yake ya kuwa mtanzania,
nimezaliwa tanzania na ni raia wa tanzania nikienda nje ya Tanzania na nikaona kuna unafuu wa mambo kama vile elimu,afya,mikopo na mengineyo na sharti likawa ni kuwa raia,kwanini nisiombe uraia wa nchi ile,lakini wakati huo huo bado niendelee kuwa raia wa nchi yangu niliko zaliwa?
wanakuja wazungu na wahindi hawa hata kiswahili hawajui na bado wanapewa uraia wa Tanzania,yaani huyo anaaminiwa sana kuliko mie niliyezaliwa mpwapwa,nimekulia mpwapwa,nimesomea mpwapwa,nimeolea mpwapwa na kutafutia maisha nje ya Tanzania?
Unafuu wa elimu, afya, mikopo n.k. Yanakufanya uchukue uraia wa kigeni, lakini unataka ubaki na uraia wako wa kuzaliwa! Ninashangaa kwa sababu kule unakochukua uraia wanakutegemea uwe mzalendo na uishi uraia huo. Wakati huo wewe unataka kuishi 'huku wataka kule wataka'...
 
Kama Baregu ana kura ya VETO serikalini basi CDM ina hazina na inastahili kwena ikulu.HIVI KARIBUNI kumezuka uzushi mbalimbali dhidi ya cdm kama wao ndo wana serikali.Kuna mweh.u humu alipata kuweka mada ikiituhumu CDM kupandisha bei ya UMEME..JF imevamiwa.
 
Kwanza Baregu hayuko UDSM. Pili hata angekuwa UDSM tupe sababu alizotoa huyo anaepinga ili tuzifanyie tafakuri kusema tu sababu zake hazina msingi haitoshi.

Hivi uraia wa nchi mbili unamnufaisha nani hasa? Nani anastahil huo uraiya wa nchi mbili? Kukiwa na vita nani atapigana yule ambae hana pengine kwa kwenda labda awe kimbizi au yule raia naeishi nje ya Tanzania na uraia wake wa nchi nyingine?. Wakifanya hovyo hawa wenye uraia wa nchi mbili tutawadhibiti vipi? Nikipata majibu ya haya ndio nitalifikiria hili jambo kwa undani.
Tukiwa na vita wanaopigana ni wanajeshi

Kuhusu dual citizenship waliokimbia Rwanda hawakuwa nazo

It is also silly kuongrlea vita kwani havitokei kila siku... I would rather focus on opportunities za investment na kupuza mchoto wa wageni kwa kulink zaidi priviledges za biashara kwa more than one country has a kwenye funding na companies restrictions
 
kila JK akizungumzia suala hili la dual citizenship anasema kuna profesa yuko UD anaongoza kwa kupinga hili suala

sasa kwa kuwa hapa we dare TALK OPENLY nathubutu kumtaja kuwa ni profesa BAREGU sababu zake hazina msingi. kama kweli tuko serious kwa nini tusifanye kama CHINA au ISRAEL au NIGERIA au KENYA au ETHIOPIA tukawatumia hawa diaspora?


In the end inashangaza sana PROFESA BAREGU kuwa na mawazo mgando kama haya

ni bora mawazo mgando yaliyo mazito kuliko mawazo mepesi yanayokauka hata kwa kupata joto dogo...hiyo double citizenship itamsaidiaje mkulima wa Kanyigo na kishuro uko kagera wilayani muleba? au kule baashay karatu anayelima viazi vitamu anataka kweli uraia wa kenya na south africa? mnachokitaka watu wasiozidi kitongoji kimoja cha mkoa wa dodoma ni kuwa mnataka kuwa kama popo, asubuhi mtanzania jion mkenya.
Pia kisheria kuna complications kibao, kuna wakati unakuja ambapo tutalazimika kumkamata bwana 'arigold' ili kumfungulia mashtaka ya kula unga mbovu then akimbilie jamaica ,tukimfuata uko anasema eti mbona hii kitu kwao jamaica ni mchicha na unauzwa sokoni?double citizenship iyo,,,au kumradhi , natoa mfano tu...kuna siku tutaitaji kupitisha sheria ya kunyonga mashoga, kumbe mbeba box mmoja ni shoga, atachukua mme wa mtu pale arusha, tukienda kumkamata kumnyonga then tunamkuta marekani ,then anaomba kushitakiwa kwa sheria za uko wakati kwao...KUENENDA KINYUME NA MAAGIZO YA MUNGU kwao ruksa, na sheria inahitaji geographical jurisdisction, je tutafanyeje ktk mazingara ayo?,,,
Mkuu kiukweli mnaotulazimaisha hii kitu mnayo yenu jambo,kwa nini mnaona tabu kuwa only Tanzanian?mnataka mzaliwe na mpate uhalali wa mahala popote mnakotaka wakati Tandaimba hakuna watu kuna misitu kibao? Tuijaze Tanzania then ndo tuwajazie wengine...
Hatuitaji kuchukua dume la punda lizalishe jike la mbuzi maana ndama atayezaliwa tutashindwa kumkamua maziwa akikua...kwa kuwa kuna siku atatuambia...baba yangu alisema sisi punda hatukamuliwi maziwa....
Watanzania Hatujasau usanii mliotufanyie na mmarekani mweusi marehemu 'dhahania' R.(not)I.P. Dr Ballali Daudi, kwa ufisadi then unaenda kufia kwenu.
 
hivi Prof. Baaregu ni UD au ni WA UDSM?
kila JK akizungumzia suala hili la dual citizenship anasema kuna profesa yuko UD anaongoza kwa kupinga hili suala

sasa kwa kuwa hapa we dare TALK OPENLY nathubutu kumtaja kuwa ni profesa BAREGU sababu zake hazina msingi. kama kweli tuko serious kwa nini tusifanye kama CHINA au ISRAEL au NIGERIA au KENYA au ETHIOPIA tukawatumia hawa diaspora?


In the end inashangaza sana PROFESA BAREGU kuwa na mawazo mgando kama haya
 
Prof.Baregu yupo SAUT sasa ingawa toka achaguliwe kwenye tume hajaonekana tena chuoni.. Au labda UD kuna Prof.Baregu mwingne..naona mtoa mada katoka povu lisilo na faida..
 
natambua kuwa mara nyingi mtu akipatwa na mkasa huwa anampoint mbaya wake mfano akifiwa na mtoto badala ya kuuliza daktari iyo kipindupindu imetoka wapi ikamuua mwanangu?yeye atakonkudi kuwa ile kipindupindu ilitumwa na jirani kwa kuwa hawasalimiani...
Mleta mada ameweka vizuri hoja ya kukataa dual citizenship ila kamumtupia profesa baregu ilo zigo. profesa si mwalimu wa udsm , kwa ilo hatupati shida kujua kuwa karushwa tu...kwa msimamo huu kama kweli ni wa jk, basi kuna mtu/or mchawi mwingine wa uraia huu pale udsm....ni nani??? SAY NO TO DOUBLE CITIZENSHIP!
 
Back
Top Bottom