Prof. Tibaijuka: Mimi nilikataa Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi kujengwa Jangwani, Sikuwa na Madaraka ya Kuzuia

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
Prof. Anna Tibaijuka amesema wakati akiwa Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, hakutoa Kibali cha Ujenzi wa Kituo cha Mabasi Yaendayo Kasi katika eneo hilo lakini ulifanyika kwa maamuzi yasiyo sahihi

Tibaijuka amesema "Jangwani haina kibali changu kuwa pale. Mimi nilikataa lakini sikuwa na madaraka kuzuia na hivyo pakajengwa, nilikataa kabisa Serikali yote inajua. Nilisema mimi kama mtaalamu wa Mipango Miji hamuwezi kuweka Kituo cha Mabasi kwenye eneo la Bwawa. Pale panajulikana ni Bwawa patafurika"

Ameongeza kuwa suala Upangaji Miji ni uamuzi wa Rais si Utaalamu, ujenzi wa eneo la Jangwani ulikuwa na mvutano kwasababu hakukuwa na Utashi wa Kisiasa (Political Will) ambapo kama pangetolewa uamuzi wa juu pasingejengwa Kituo cha Mabasi.
 
Prof. Anna Tibaijuka amesema wakati akiwa Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, hakutoa Kibali cha Ujenzi wa Kituo cha Mabasi Yaendayo Kasi katika eneo hilo lakini ulifanyika kwa maamuzi yasiyo sahihi

Tibaijuka amesema "Jangwani haina kibali changu kuwa pale. Mimi nilikataa lakini sikuwa na madaraka kuzuia na hivyo pakajengwa, nilikataa kabisa Serikali yote inajua. Nilisema mimi kama mtaalamu wa Mipango Miji hamuwezi kuweka Kituo cha Mabasi kwenye eneo la Bwawa. Pale panajulikana ni Bwawa patafurika"

Ameongeza kuwa suala Upangaji Miji ni uamuzi wa Rais si Utaalamu, ujenzi wa eneo la Jangwani ulikuwa na mvutano kwasababu hakukuwa na Utashi wa Kisiasa (Political Will) ambapo kama pangetolewa uamuzi wa juu pasingejengwa Kituo cha Mabasi.
Lete evidence kwamba ulikataa
 
Prof. Anna Tibaijuka amesema wakati akiwa Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, hakutoa Kibali cha Ujenzi wa Kituo cha Mabasi Yaendayo Kasi katika eneo hilo lakini ulifanyika kwa maamuzi yasiyo sahihi

Tibaijuka amesema "Jangwani haina kibali changu kuwa pale. Mimi nilikataa lakini sikuwa na madaraka kuzuia na hivyo pakajengwa, nilikataa kabisa Serikali yote inajua. Nilisema mimi kama mtaalamu wa Mipango Miji hamuwezi kuweka Kituo cha Mabasi kwenye eneo la Bwawa. Pale panajulikana ni Bwawa patafurika"

Ameongeza kuwa suala Upangaji Miji ni uamuzi wa Rais si Utaalamu, ujenzi wa eneo la Jangwani ulikuwa na mvutano kwasababu hakukuwa na Utashi wa Kisiasa (Political Will) ambapo kama pangetolewa uamuzi wa juu pasingejengwa Kituo cha Mabasi.
Yawezekana ni kweli alikataa lakini akazidiwa nguvu na wenzake ukizingatia kwamba Mamlaka ya Mabasi ya Usafiri wa Mwendokasi (BRT) haikuwa chini ya Wizara ya Ardhi, na hata sasa haiko chini ya Wizara hiyo.
 
Mtaalam wa mipango miji ####£&

Mipango miji gani mmeshafanya

Kuhusu jangwani hilo eneo lote

Linafamika kama hazardous area

Kwanini wataalam sijui wasomi walienda jenga hapo?

Kwanini serikali iliwachilia pia watu wajenge maeneo hayo?

Nchi hii ngumu sana

Ova
 
Wote tunajua, Kikwete akiwa rais akitoa sahihi ujenji wa barabara Morocco alisema anashangaa udart wamejenga Jangwani. Kama rais mwenye mamlaka anasema anashangaa unategemea Nini.
Sahihi mimi mwenyewe nilishangaa Raisi anashangaa wamejengaje pale palijengwa enzi zake akiwa Raisi lakini alitoa hotuba kushangaa Tena kipindi hicho Wala hakukuwa na mafuriko Sasa kama Kuna wajanja waweza Jenga hata wazuri au Raisi hajui mradi mkubwa kama DART Kuna shida utendaji serikalini .Waziri Tibaijuka anakana kutoa Kibali Raisi wa wakati huo Kikwete anakana kutoa Kibali nani huyo mwenye nguvu kuliko Waziri wa Ardhi na Raisi aliyeidhinisha stendi Kuu ya UDART ijengwe jangwani kwenye dimbwi au mafuriko?
 
Sahihi mimi mwenyewe nilishangaa Raisi anashangaa wamejengaje pale palijengwa enzi zake akiwa Raisi lakini alitoa hotuba kushangaa Tena kipindi hicho Wala hakukuwa na mafuriko Sasa kama Kuna wajanja waweza Jenga hata wazuri au Raisi hajui mradi mkubwa kama DART Kuna shida utendaji serikalini .Waziri Tibaijuka anakana kutoa Kibali Raisi wa wakati huo Kikwete anakana kutoa Kibali nani huyo mwenye nguvu kuliko Waziri wa Ardhi na Raisi aliyeidhinisha stendi Kuu ya UDART ijengwe jangwani kwenye dimbwi au mafuriko?
"Katika nchi za Afrika hakuna Serikali, Bali kuna magenge ya watu walioshika silaha na kupora rsilimali za nchi ili kujinufaisha wao wenyewe binafsi pamoja na vibaraka wao."
Jonas Savimbi.
 
Back
Top Bottom