Prof. Mukandala afanya kufuru UDSM

Prof. Mukandala afanya kufuru UDSM

hata kwenye kampeni helikopta zinatumika. Sembuse yeye kwenda kukagua chuo kwa ndege maana pengine alitaka kurudi haraka dar!!!
Kwa hizo gari kufukuza upepo hapo nawaachia wengine !!!!
 
Kuna jamaa zangu wanafanya kazi udsm jinsi wanavyolalamika na ukwasi uliopo hapo udsm kiasi kwamba wanafikiria kuacha kazi. Ukiangalia story nzima wanamlalamikia huyo jamaa, na kama ndio anafanya ufisadi wa namna hiyo basi hafai kuwepo hapo ili kukinusuru hicho chuo. mbona wakati wa luhanga mambo yalikuwa mazuri!!!.

ukwasi maana yake ni utajiri mkuu, washauri wasiache kazi.
 
Kuja na ndege si hoja ila kutuma magari tupu hii ni kufuru ata kwa mola!
Uko uhayani kuna watu kibao wanakufa na wanitaji msaada leave alone sehemu zingine za Tanzania
 
chuo kina ukwasi halafu watu wanaacha tena kazi? They must be crazy!


Yaani huyu huenda anataka kushindana na Mkuu wake ( J. K) kwani kaika safari zake nje ya nji anatumia 4Mil.

Sasa naye ndio maana kaamua kutumia hizo fueza; kwani hapati safari ya kuruka nje ya nji sasa afanyeje kama si na yeye kujipangia safari za kutembelea vyuo.

bado Waziri Mponda na yeye atapaga safari ya kutembelea Zahanati za Serikali mikoani.

Kwani tule wapi wajameni mnahoji kila kitu lakini kwa mkuu wetu anayetufundisha HAMUHOJI!!!!!!!!!



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
don't worry' there is always a rise before a fall. Acha watumie mapesa wayalimbikize wawape watoto wao maela yetu wa rise sana huku majority ikiteseka wachochee hasira ambazo zita lead to their fall.
 
Milioni 4 tu kukodi ndege? si kama pete tatu tu za mheshimiwa Malima? na chenji inabaki?

Mie nakwambia nchi hii, wakiendelea hivi, Somalia itakuwa cha mtoto.
 
Hey, hey... Check it out..!! Professor ana kazi mbili huyo.
 
Kweli watanzania wengi hatujabarikiwa umakini na udadisi. Vinginevyo si rahisi kunywa hii story kaka ilivyo.

Kwa kuanza, what is million nne kwa serikali au taasisi zaidi ya kununua rims za karatasi haitoshi hata toner ya printer 10 ije kuwa maslahi ya wafanyakazi

hueleweki!ina maana 4ml ni ndogo sana?
 
Kweli watanzania wengi hatujabarikiwa umakini na udadisi. Vinginevyo si rahisi kunywa hii story kaka ilivyo. Kwa kuanza, what is million nne kwa serikali au taasisi zaidi ya kununua rims za karatasi haitoshi hata toner ya printer 10 ije kuwa maslahi ya wafanyakazi
source please!!!! mind u no research no right to speak
 
Mi imeniuma sana hii kuna hospital hazina Ambulance alafu huyu kikalagosi anatuma V8 mbili zikampokee Nduli
 
Hii tabia ilianza kimya kimya kwa mawaziri sasa inasambaa kwa watumishi wengine. Hakuna magari Iringa? Chuo cha Mkwawa hawawezi kumtembeza huyu Mukandala kwa muda mfupi aliokuwa hapo Iringa? Kwa nchi maskini kama hii inakuwaje mkuu wa chuo (mkuu wa chuo!) asafiri kwa ndege huku gari lijazwe mafuta na kumfuata Iringa kwa safari za hapo mtaani Iringa? Kweli Mukandara anaweza kusimama mbele za watu na kuhubiri utawala bora?

Huyu Mukandala siyo hilo tu, anaishi kwenye nyumba yake Makongo, lakini kwa tamaa zake bado amechukuwa nyumba za lecturers hapo chuo kikuu? Sijui inakuwaje anakaa kwenye nyumba mbili kwa wakati mmoja? Au anatumia kwa shughuli 'maalum?'. Sijui ni kitu gani waliangalia na kumfanya huyu Prof awe mkuu wa chuo? Anakiuwa kabisa.
Hapo penye Bold red: Waligundua yeye ni kada wa CCM na bingwa wa kujipendekeza kwa magamba!

 
mkuu mm apo kwenye red hzo gari zinafana na zile ndege zinazoendeshwa bila rubani? mana unasema bila m2 yyto ndani

Tofautisha mtu,abiria na dereva. Ni kwa mazoea watu huwaona tofauti.
 
Ndugu zangu kama kwaida huwasikurupuki kuchangia mada humu nafanya utafiti kwanza. Kwa hili mtoa hojaameshindwa kuthibitishia umma ukweli wa swala hili, naungana na Satellitekuomba source ya aliyoaandika. Labda mimi niweke wazi unafiki wa mtoa mada nakuueleza umma kuwa mtoa mada is not matured interms of reasoning and factsearching bali ni mchochezi yeye pamoja na wanaowahamasisha wanafunzi wastrikebila kuwaeleza uwazi wa jambo lenyewe. Ingawa mimi siyo msemaji wa USDM wala waserikali ila tu mdau wa chuo kile kwa utafiti wangu napenda kujibu hoja kamaifuatavyo ili mwenye akili atafakari na mwenye kutafiti apinge majibu kwautafitina bila unafiki.

1. Kwenda Iringa: Ni kweli Prof. Mukandala na Msaidizi wake walienda Iringa
2. Kutembelea MUCE: Ukweli ni kwamba Prof. Mukandala alikwenda MUCE kuhudhuriamkutano wa 21 wa Governing Board Na sio just kutembelea chuo.
3.Hoja ya kukodi ndege: Ndege haijakodishwa ila Ukweli ni kwamba Prof.Mukandala na msaidizi wake walikwenda iringa kwa ndege ya shirika la ndegelinalojulikama kama Auric Air inayofanya safari zake kwenda Iringa na Mbeyakila siku kwenda asubuhi kurudi mchana. Kupata ukweli wa hili wasiliana naAuric Air kwa namba zifuatazo 0783233334.
4. Kukodi Ndege kwa Million nne (4): Hivi ni nani atakubali kutoa ndege yakekutoka Dar kwenda Iringa kwa milion 4? tuache uongo Kwenda Iringa kwa kukodindege nulizia Tanzaniair watakupa gharama ambazo ni minimum costs. Garamahalisi walizotumia kwenda Iringa kwa wote waeili wanazo Auric Air na unawezakupitia website yao. Nimefanikiwa kupata invoice na receipt ya malipoyaliyolipwa mkitaka kujua amount mseme nitawapatia.
5. Magari V8 kutangulia bila mtu: Acheni uongo wajameni muangalie tu UDSM wanaV8 ngapi? Kampuni yetu ndiyo inatengeneza magari yao ila fanyeni utafiti.Mukandala mwenyewe anatumia VX la kizamani. Hapa nipo Iringa na wakati Raisanasuburiwa kuingia Prof. Mukandala ndiyo alikua anaondoka na nimeona ameletwa naNissan ya Prof. Mushi wa MUCE sasa sijui hayo ma VX mawili yalienda kufanyanini huko? Tafakari

6. Kuhusu Ukwasi: Hapa siwezi sema mengi ila najua UDSM wanategemea pesa toaserikalini mtumeni CAG akafanye kazi yake kama ukwasi unatokana na matumizi mabovuau la.

7. Matumizi mabaya ya fiedha: Mi ninavyomjua huyu bwana anajaribu sanakupunguza matumizi na nikipiga mahesabu ya kwenda Iringa kwa gari yaani: Muda,mafuta, tahadhari, na posho za wote na siku watakazo kuwa huko utagundua ni kwakiasi gani huyu bwana alivyoliona hilo na kushukuru kampuni ya Auric kupelekausafiri wa ndiege Iringa. Tafakari!

8. Mliman City wanakula: ukweli ni kwamba mwekezaji lazima anataka kula lakiniMradi huu hakuuanza Mukandala ujue, pia tangu ameingia madarakani lazima tufanyeutafiti kujua chuo hicho kinafaidikaje na mradi huo. Nilikutana na moja wawakurugenzi wa pale nilopokwenda Botswana last week wakasema VC wa sasa paleUDSM anawabana sana.

9. Chuo Kimeharibika: Ukweli ni kwamba anayejenga na kubomoa chuo ni wewe, mimina waliopo chuoni pale; wewe unaambia wanafunzi waandamane kupinga kituulichotunga kisicho na ukweli, unwatakia mema wanafunzi na chuo kwa ujumla?watasoma saa ngapi? watatafiti pumba na makande saa ngapi kama mnawajazaemotional greefs.

Wandugu nitaendelea kusema ukweli hata kwa kifo uongo, majungu na fitina kwangumwiko. Tuache makelele, tuongee; tuache siasa za chuki tujenge hoja tuibuemijadala ya kifikra na kimaendeleo; tuache uvivu wa kufikiri na kutenda,tufanye kazi kwa bidii.

 
Na bado! Kama tuhuma hz ni kwel, kila m2 ataomba ukuu wa chuo.

Ulivyosikia Prof. Bunsen Burner anapongeza hotuba ya Kikwete kupitia kwa waliokuwa watumishi wa EAC,sorry! Wazee wa Dar es salaam ulidhani pongezi zile zilikuwa na maana gani.
 
Kweli watanzania wengi hatujabarikiwa umakini na udadisi. Vinginevyo si rahisi kunywa hii story kaka ilivyo.

Kwa kuanza, what is million nne kwa serikali au taasisi zaidi ya kununua rims za karatasi haitoshi hata toner ya printer 10 ije kuwa maslahi ya wafanyakazi
Acha upuuzi wako wewe mwanamke. Milioni 4 kwa nchi hii ambayo akina mama wanalala chini wakati wa kujifungulia m4 unapata vitanda vya hospitali vitano ambavyo vitawasaidia akina mama 10 kila siku na 3650 kwa mwaka mzima. Which means watoto zaidi ya 4000 wangezaliwa kitandani badala ya sakafuni kwa mwaka.

Tatizo nyie WABEBA MABOX mnajifanya hamjui kabisa shida huku kwenu kisa tu David Cameron kawawekea safi masuala mazima ya kiafya
 
Kweli watanzania wengi hatujabarikiwa umakini na udadisi. Vinginevyo si rahisi kunywa hii story kaka ilivyo.

Kwa kuanza, what is million nne kwa serikali au taasisi zaidi ya kununua rims za karatasi haitoshi hata toner ya printer 10 ije kuwa maslahi ya wafanyakazi

Rudia sentensi ya I na ya mwisho....teh teh....kukodi ndege kwenda Mafia au Mabwepande?
 
ndio nshomile bwana`bila kukodi ndege na vx kutangulia mtajuaje kama yy ni mtu mkubwa?
msishangae hiyo tu hata fedha za miradi ya mliman city zinaliwa who cares?
kula baba hata ukiweza uza na chuo kabisa

Nimeipenda sana hii msg(red) it means who cares! wakubwa hawana hata habari! maana wengine wenda wanachukua mgao kutoka hapo chuo! hasa pesa za miradi ya wafadhili....
 
1. Kwenda Iringa: Ni kweli Prof. Mukandala na Msaidiziwake walienda Iringa
2. Kutembelea MUCE: Ukweli ni kwamba Prof. Mukandala alikwenda MUCE kuhudhuriamkutano wa 21 wa Governing Board Na sio just kutembelea chuo.
3.Hoja ya kukodi ndege: Ndege haijakodishwa ila Ukweli ni kwamba Prof.Mukandala na msaidizi wake walikwenda iringa kwa ndege ya shirika la ndegelinalojulikama kama Auric Air inayofanya safari zake kwenda Iringa na Mbeyakila siku kwenda asubuhi kurudi mchana. Kupata ukweli wa hili wasiliana naAuric Air kwa namba zifuatazo 0783233334.
4. Kukodi Ndege kwa Million nne (4): Hivi ni nani atakubali kutoa ndege yakekutoka Dar kwenda Iringa kwa milion 4? tuache uongo Kwenda Iringa kwa kukodindege nulizia Tanzaniair watakupa gharama ambazo ni minimum costs. Garamahalisi walizotumia kwenda Iringa kwa wote waeili wanazo Auric Air na unawezakupitia website yao. Nimefanikiwa kupata invoice na receipt ya malipoyaliyolipwa mkitaka kujua amount mseme nitawapatia.
5. Magari V8 kutangulia bila mtu: Acheni uongo wajameni muangalie tu UDSM wanaV8 ngapi? Kampuni yetu ndiyo inatengeneza magari yao ila fanyeni utafiti.Mukandala mwenyewe anatumia VX la kizamani. Hapa nipo Iringa na wakati Raisanasuburiwa kuingia Prof. Mukandala ndiyo alikua anaondoka na nimeona ameletwa naNissan ya Prof. Mushi wa MUCE sasa sijui hayo ma VX mawili yalienda kufanyanini huko? Tafakari

 
Acha upuuzi wako wewe mwanamke. Milioni 4 kwa nchi hii ambayo akina mama wanalala chini wakati wa kujifungulia m4 unapata vitanda vya hospitali vitano ambavyo vitawasaidia akina mama 10 kila siku na 3650 kwa mwaka mzima. Which means watoto zaidi ya 4000 wangezaliwa kitandani badala ya sakafuni kwa mwaka.

Tatizo nyie WABEBA MABOX mnajifanya hamjui kabisa shida huku kwenu kisa tu David Cameron kawawekea safi masuala mazima ya kiafya

acheni kujustify the 'unjustifiable', kama mna chuki na current VC UDSM tafuteni issue nyingine za kumpaka matope sio kubwabwaja hearsays, kwa hili ni big no, anzeni upya period
 
Back
Top Bottom